MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,174
Haya Nimeshajiuliza, kama wasingeliasi katazo hilo mambo haya yote yasingekuwepoUMEWAHI KUJIULIZA VIPI KAMA WANGELITII HILO KATAZO NA WASINGEKULA MATUNDA YA MTI HUO KUNGEKUA NA HAYA MATATIZO?
Tafadhali nisaidie namna Gani naweza Kumtii Mungu Nje Dini? Yaan najuaje kwamba hivi ndo Kumtii Mungu? Na hayo maelekezo Mungu ameyaweka wapi? Ukifanya Hivyo itakuwa msaada kwangu, lakini pia naamini wengine wana Challenge kama yangu hapaMkuu, usitafute kuchagua dini gani, tafuta kumtii Mungu na kutotenda dhambi.
Vipi kama kuwepo kwa hiyo option pia kulikua na lengo kubwa jema nyingine ambalo Mungu aliikusudia?Haya Nimeshajiuliza, kama wasingeliasi katazo hilo mambo haya yote yasingekuwepo
Sasa namimi nikuulize tu na unijibu, Ushawahi kujiuliza kama Mungu asingeweka hiyo Option? (Zingatia kwamba ana uwezo wa kila kitu)
Usijifunge katika dini, Mungu hakuumba dini aliumba binadamu watawale vitu vyote alivyoviumba duniani na wamwabudu yeye Mungu.Tafadhali nisaidie namna Gani naweza Kumtii Mungu Nje Dini? Yaan najuaje kwamba hivi ndo Kumtii Mungu? Na hayo maelekezo Mungu ameyaweka wapi? Ukifanya Hivyo itakuwa msaada kwangu, lakini pia naamini wengine wana Challenge kama yangu hapa
Jibu lako hili bado halijanipa formation ya vitu vilitokeaje, katika ulimwengu huu ulio limited to time, space and matter kila kitu ni lazima kiwe kimeundwa na muundaji, vitu nilivyokuuliza kwenye post #584 bado haujanipa formation ya hivyo vitu mkuu.Nilikujibu hivi
Nimekuambia kutokua na majibu sahihi ya swali haimaanishi jibu lisilo sahihi nikipewa siwezi kulijua
Sio mungu tu ambaye nasema hayupo, kuna unicorns, Flying Spaghetti, spiderman, batman, harrypoter, teapot orbiting the sun nk. Swali lolote nitakaloshindwa kujibu kuhusiana na hao niliowataja, je itathibitisha viumbe hao wapo?
Wewe unakubali kua nicorns, Flying Spaghetti, spiderman, batman, harrypoter, teapot orbiting the sun wapo/vipo kihalisia? unaweza kuthibitisha wapo/vipo?
Bila shaka najua utapinga kua hukazaliwa jana
Lakini unathibitisha vipi kua alien mwenye super intelligent hakukuzaa jana katika umbile hilo hilo ulilonalo kisha kaku edit ubongo uwe unakumbuka kumbukizi za nyuma zinazokuonesha ulikuwepo kabla ya hiyo jana?
Kama unaweza ku disprove hayo madai (kitu ambacho najua huwezi) basi hautakiwi kupinga kua haukuzaliwa jana. Kushindwa kwako kutathibitisha kua wewe ulizaliwa jana
Kwa u athest wangu mtazamo wangu juu ya dunia na vilivyomo huwa nina majibu mawili ya aidha ilianza ama haikuanza,sina uhakika.Bado naona unakimbia kujibu swali, kama neno aliyeumba limekukwaza naliondoka naweka neno formation. Haya nipe formation ya hivyo nilivyokuuliza.
NB: Wajulishe pia na Atheist mwenzio Scars naona amepotelea hewani. Mtoe majibu hayo. Mnipe formation ya swali kwenye post #584
Wadau, vipi kiranga ametoa jibu la formation ya vitu kwenye post #584?
Au ameendelea kuliweka kwenye ignore list? Na hata kama halijui kwanini hataki kutuambia kwamba halijui? Na kama analijua kwanini
Unajitungisha swali na kujiwekea mipaka halafu unataka upewe majibu? Leta ushahidi kwanza wa kwamba hivyo vitu viliumbwa ndiyo tusake jibu la huyo muumbaji.hatupi majibu?
Ulichoandika hiki sicho ulichoulizwa,Unajua mkuu, jinsi uwazavyo ni tofauti na Mungu jinsi anavyofanya utendaji wake.
Namna ya unavyoelezea maneno au mtazamo wako, unauelezea kwa namna ya kidunia ni tofauti kabisa na namna ya utendaji wa Mungu.
Mungu aliumba kila mmea wa matunda wa chakula ili kiumbe me na ke(Binadamu) wale kwa wakati huo, MUNGU ALITOA/ALIWAPA KATAZO KIUMBE ME na KE "KULENI MATUNDA YOTE ILA MATUNDA YA MTI WA UJUZI WA MEMA NA MABAYA MSILE KWAMAANA MKILA MTAKUFA HAKIKA"
Katazo hilo Binadamu akaliasi na kula tunda, hapo kosa ni la binadamu kuasi agizo la Mungu na kusababisha matatizo.
UMEWAHI KUJIULIZA VIPI KAMA WANGELITII HILO KATAZO NA WASINGEKULA MATUNDA YA MTI HUO KUNGEKUA NA HAYA MATATIZO?
Ni akili za Mungu PEKEE ambazo hazichunguziki. Acheni kukufuru. Ninyi ndiyo mnamchukiza Mungu hadi anatuletea mapigo.Akili za Kiranga hazichunguziki mkuu, huyu ni miongoni mwa watu wenye uelewa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote yakiwa kwa ufasaha.
Unampa sifa za bure.Asiyechunguzika akili na mawazo yake ni MUNGU tu.Akili za Kiranga hazichunguziki mkuu, huyu ni miongoni mwa watu wenye uelewa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote yakiwa kwa ufasaha.
Kha!kha!,Leta ushahidi.Asilimia90 ya atheists ni wakatoliki
Basi huyo mungu wenu ni mjinga,Ni akili za Mungu PEKEE ambazo hazichunguziki. Acheni kukufuru. Ninyi ndiyo mnamchukiza Mungu hadi anatuletea mapigo.
Sio kweli,infact ukristu ndo umejibu maswali mengi zaidi kuhusu Mungu,yasiyojibika kwenye ukristu basi hakuna ambaye ana majibu yakeUkristo haujibu maswali tata kuhuusu MUNGU. Ndio maana wengi wao wanakuwa hawana dini.kama saiz ulaya wengi hawasali wameonani ujinga
Lengo la Mungu kuweka mti wa mabaya as well lilikuwa ni kumruhusu mwanadamu ku-exercise freewill,Mungu anataka kuabudiwa,kupendwa kusifiwa lakini iwe ni choice.Mungu hakutaka binadamu awe Robot na sifa kubwa zaidi ya Binadamu ni kuwa na free will.Sasa kama pasingekuwa na choice tungesemaje tunampenda Mungu?Na upendo wake unajidhihirisha pale kati ya option nyingi sana zisizokuwepo mti wa mabaya ulikuwa mmoja tu kati ya mingi ya mema but still binadamu tukayeyusha.Ulichoandika hiki sicho ulichoulizwa,
Umeambiwa hivi;Baba mzuri ni yule anayeweka options zilizo njema kwa watoto wake,
Kisha ukaulizwa; kwa nini Mungu aweke option ya Mti wa mabaya wakati uwezo wa kutouweka kabisa alikuwa nao?
Inamaana kwa ujuzi wake wa mpaka yajayo hakujua kuwa option hiyo hao viumbe wake watafeli na kuleta shida kiasi cha kuanza kusumbuka kuleta tena Mkombozi aje awafie?
Ama alijua italeta shida Ila akaamua aache ili baadae aje ajisumbue tena kuleta wokovu?
Kama ndivyo,inamaana huyo Mungu wenu hana kazi zingine za kufanya zenye tija zaidi kuliko huu utoto anaoufanya?
Mungu akuhurumie.Basi huyo mungu wenu ni mjinga,
Makosa nifanye mimi,
Adhabu aje atupe wote na ambao hamjafanya makosa?
Huyo mungu ni mshenzi kwakweli.
Kama ameweka machaguo,kwanini Sasa aweke adhabu? Wakati ametaka watu wachague wanachokitaka?Lengo la Mungu kuweka mti wa mabaya as well lilikuwa ni kumruhusu mwanadamu ku-exercise freewill,Mungu anataka kuabudiwa,kupendwa kusifiwa lakini iwe ni choice.Mungu hakutaka binadamu awe Robot na sifa kubwa zaidi ya Binadamu ni kuwa na free will.Sasa kama pasingekuwa na choice tungesemaje tunampenda Mungu?Na upendo wake unajidhihirisha pale kati ya option nyingi sana zisizokuwepo mti wa mabaya ulikuwa mmoja tu kati ya mingi ya mema but still binadamu tukayeyusha.