Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

They want us to bow,down to our knees
And pray to the God, we dont beleive
 
Sio sielewi dhana ni nini bali sielewi ni dhana ipi hiyo? umesema Mungu ni dhana ok sawa ila sasa eleza hiyo dhana tuijue kwamba Mungu ni dhana fulani au dhana yenyewe ni kuhusu jambo fulani.

Mungu gani huyo unayemzungumzia?

Wewe unataka nimjadili Mungu ambaye hata kumtaja huwezi?

Mfano, Mungu wa Wakristo, Waislamu na Wayahudi ni dhana ya muumbaji wa ulimwengu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Dhana hii ina logical contradiction katika the problem of evil. Logical contradiction hii inaonesha Mungu huyu hawezi kuwepo.

Kama una Mungu ambaye si dhana tu, mtaje hapa tumjadili.

Kama hujamtaja, hujaweza kukanusha hoja yangu.
 
Mungu gani huyo unayemzungumzia?

Wewe unataka nimjadili Mungu ambaye hata kumtaja huwezi?

Mfano, Mungu wa Wakristo, Waislamu na Wayahudi ni dhana ya muumbaji wa ulimwengu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Dhana hii ina logical contradiction katika the problem of evil. Logical contradiction hii inaonesha Mungu huyu hawezi kuwepo.

Kama una Mungu ambaye si dhana tu, mtaje hapa tumjadili.

Kama hujamtaja, hujaweza kukanusha hoja yangu.

Kwa maelezo kama hayo basi swali lako la kuuliza Mungu ni Nini linakuwa halina maana, nilikuuliza Mungu ni nini ukajibu Mungu ni dhana na nilipokuuliza dhana ipi? unakuja kuniuliza tena Mungu gani ?na kuanza kuzungumzia sijui Mungu wa wakristo,waislamu na wayahudi.

Mungu ni nini kwanza tuelewane hapa kabla ya kuanza kujadili huyo Mungu wa Wayahudi waislamu na wakristo.
 
Kuna kukaa kwa maana ya mahali unapoishi, mfano niseme Kibukuasili anakaa Buza.
Kibukuasili ameketi kwenye kiti cheusi

Unaiwekea pattern gani hapo ionekane tofauti na kuhusisha matako kukalia hicho kiti?
 
Nimekuuliza hiyo sentensi ina maana gani nyingine tofauti na kuhusisha makalio kukalia kiti?
Sasa mimi nitawezaje kujua? Siwezi kujua kusudio maana pengine hicho kiti cheusi kina maana tofauti, ni sawa na kusema kukalia kuti kavu.
 
Sasa mimi nitawezaje kujua? siwezi kujua kusudio maana pengine hicho kiti cheusi kina maana tofauti, ni sawa na kusema kukalia kuti kavu.
Sijazungumzia rangi ya kiti, nimezungumzia neno "keti" lina maana gani tofauti na kitendo cha kukaa?
 
Kwa maelezo kama hayo basi swali lako la kuuliza Mungu ni Nini linakuwa halina maana, nilikuuliza Mungu ni nini ukajibu Mungu ni dhana na nilipokuuliza dhana ipi? unakuja kuniuliza tena Mungu gani ?na kuanza kuzungumzia sijui Mungu wa wakristo,waislamu na wayahudi.

Mungu ni nini kwanza tuelewane hapa kabla ya kuanza kujadili huyo Mungu wa Wayahudi waislamu na wakristo.
Mimi nakwambia Baba ni mwanamme.

Unaniuliza mwanamme yupi?

Nakwambia kuna wanaume wengi, ila, kila baba ni mwanamme, kama unabisha, nitajie baba ambaye si mwanamme.

Unashindwa kunitajia Baba ambaye si mwanamme.

Nakwambia nitajie baba yako ni nani nikuoneshe kwamba ni mwanamme.

Unaogopa, unashindwa kumtaja baba yako ni nani.

Kwa sababu unajua, ukimtaja tu baba yako ni nani, utakuwa umeonesha kuwa baba yako ni mwanamme.

Ndiyo maana unafanya juu chini usimtaje baba yako ni nani.

Mtu akibadilisha hapo juu neno baba, akiweka Mungu, na neno mwanamme, akiweka neno dhana, ataona kwa nini hutaki kumtaja Mungu wako.
 
Mimi nakwambia Baba ni mwanamme.

Unaniuliza mwanamme yupi?

Nakwambia kuna wanaume wengi, ila, kila baba ni mwanamme, kama unabisha, nitajie baba ambaye si mwanamme.

Unashindwa kunitajia Baba ambaye si mwanamme.

Nakwambia nitajie baba yako ni nani nikuoneshe kwamba ni mwanamme.

Unaogopa, unashindwa kumtaja baba yako ni nani.

Kwa sababu unajua, ukimtaja tu baba yako ni nani, utakuwa umeonesha kuwa baba yako ni mwanamme.

Ndiyo maana unafanya juu chini usimtaje baba yako ni nani.

Mtu akibadilisha hapo juu neno baba, akiweka Mungu, na neno mwanamme, akiweka neno dhana, ataona kwa nini hutaki kumtaja Mungu wako.
Unafikiria kama mtoto, unasikitisha sana.

Hivi mimi nikikuuliza kwamba unajua kuhusu xyzwnss? kisha ukasema hujui na ukaniuliza xyzwssn ndio nini? Halafu nikakwambia xyzwsnn ni dhana, utakuwa umeelewa xyzwsnn ndio nini?

Dhana ni fikra ya jambo lisilokuwa na hakika; wazo, fikira.
Na kuna dhana mbalimbali, sasa ukisema Mungu ni dhana inakuwa bado hujaeleza Mungu ni nini.
 
Unafikiria kama mtoto, unasikitisha sana.

Hivi mimi nikikuuliza kwamba unajua kuhusu xyzwnss? kisha ukasema hujui na ukaniuliza xyzwssn ndio nini? halafu nikakwambia xyzwsnn ni dhana, utakuwa umeelewa xyzwsnn ndio nini?
Watoto wana uwezo wa kuuliza maswali magumu sana ya msingi kutokana na kutolishwa ujinga mwingi.

Unavyoandika "unafikiria kama mtoto" derisively unaonesha bias yako dhidi ya watoto.

xyzwnss ni herufi.

Wewe hujaweza kusema Mungu wako ni nini.

Hivyo siwezi kujadiliana nawe kuhusu Mungu ambaye hata wewe mwenyewe hujaweza hata kututajia ni nini au yupi.

Inaonekana hata wewe mwenyewe huamini katika uthabiti wa kuwepo kwa huyo Mungu.

Ndiyo maana unashindwa hata kutueleza Mungu huyo ni nini, ni yupi.
 
Watoto wana uwezo wa kuuliza maswali magumu sana ya msingi kutokana na kutolishwa ujinga mwingi.

Unavyoandika "unafikiria kama mtoto" derisively unaonesha bias yako dhidi ya watoto.

xyzwnss ni herufi.

Wewe hujaweza kusema Mungu wako ni nini.

Hivyo siwezi kujadiliana nawe kuhusu Mungu ambaye hata wewe mwenyewe hujaweza hata kututajia ni nini au yupi.

Inaonekana hata wewe mwenyewe huamini katika uthabiti wa kuwepo kwa huyo Mungu.

Ndiyo maana unashindwa hata kutueleza Mungu huyo ni nini, ni yupi.

Bado naendelea kusisitiza kuwa unafikiri kama mtoto.

Kiranga,gari,elimu,xylitol...hizo zote ni herufi pia na herufi ndio huunda majina au maneno mbalimbali. Sasa nikikwambia nimeonana na Ex wako utasema Ex ni herufi tu?

Nimekwambia zipo dhana mbalimbali tu kama dhana ya kuzaliwa tena baada ya kufa n.k Sasa unasema Mungu ni dhana nakuuliza ni dhana ipi hiyo unaanza kubwabwaja tu.
 
Bado naendelea kusisitiza kuwa unafikiri kama mtoto.

Kiranga,gari,elimu,xylitol...hizo zote ni herufi pia na herufi ndio huunda majina au maneno mbalimbali. Sasa nikikwambia nimeonana na Ex wako utasema Ex ni herufi tu?

Nimekwambia zipo dhana mbalimbali tu kama dhana ya kuzaliwa tena baada ya kufa n.k Sasa unasema Mungu ni dhana nakuuliza ni dhana ipi hiyo unaanza kubwabwaja tu.
Nitajie Mungu asiye dhana tu.
 
Back
Top Bottom