UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Siwezi kukurupuka kujibu swali bila kupata ufafanuzi wa swali lako kwanza
Raisi wa marekani, ni finctional au realistic?
Marekani ipo au haipo?
Tunaweza kuthibitishika uwepo wake?
Tukimaliza hapo tutarejea kwenye swali lako ili tuone kwa njia hizo hizo tulizotumia hapo juu kama tunaweza kuthibitisha huyo mungu yupo
Sasa mbona umekurupuka kuanza kusema Mungu ni dhana badala ya kueleza kwanza Mungu ni kitu gani?