Siwezi kukurupuka kujibu swali bila kupata ufafanuzi wa swali lako kwanza
Raisi wa marekani, ni finctional au realistic?
Marekani ipo au haipo?
Tunaweza kuthibitishika uwepo wake?
Tukimaliza hapo tutarejea kwenye swali lako ili tuone kwa njia hizo hizo tulizotumia hapo juu kama tunaweza kuthibitisha huyo mungu yupo
Mbona nimekujibu kua ni kitu cha kufikirikaSasa mbona umekurupuka kuanza kusema Mungu ni dhana badala ya kueleza kwanza Mungu ni kitu gani?
Mimi sijauliza kama ni kitu cha kufikirika au ni kitu halisi? vitu vya kufikirika vipo vingi mkuu ndio maana nikauliza Mungu ni nini sasa ukisema tu ni kitu cha kufikirika mimi nitawezaje kujua ni kitu gani Mungu katika vitu vingi vya kufikirika vilivyopo?Mbona nimekujibu kua ni kitu cha kufikirika
Kwani nani kasema umeuliza swali la multiple choice kati ya kuchagua kufikiria au uhalisia kiasi cha mimi kukupa jibu useme hujaniuliza kama ni kitu cha kufikirika au ni halisi?Mimi sijauliza kama ni kitu cha kufikirika au ni kitu halisi? vitu vya kufikirika vipo vingi mkuu ndio maana nikauliza Mungu ni nini sasa ukisema tu ni kitu cha kufikirika mimi nitawezaje kujua ni kitu gani Mungu katika vitu vingi vya kufikirika vilivyopo?
Mi naona wewe ndio unashida samahani lakini... Kiranga anaamini kwamba mungu ni “dhana” tu maana yake ni fikra tu za watu sasa hawa watu wanatofautiana kwenye hizi fikra unapomwambia aelezee hiyo dhana itambidi aende India akawaulize dhana kuhusu Krishna aende arabuni akawaulize kuhusu Allah ... swali lako ni General sana ...kama unataka kupata jibu uliza moja kwa mojaSi kwamba nakataa jibu lako bali hujatoa kabisa jibu, ulichofanya ni kusema tu kuwa Mungu ni dhana tu ila hujaeleza huyo Mungu ni kitu gani ambacho ndio unadai ni dhana tu? Nikatoa mfano kuwa hata uwepo wa Superman ni dhana lakini naweza kukuelezea Superman ni nini ukamuelewa huyo Superman ni nani pamoja na kuwa uwepo wake ni dhana.
(1)Mungu
(2)Dhana
Hivi hauoni hata unavyojichanganya unaponiambie nikutajie Mungu ambaye ni zaidi ya dhana? kwa sababu dhana ni fikra au wazo tu la jambo lisilokuwa na hakika ndio maana unaniambie nikutajie Mungu(hujaeleza ni kitu gani) ambaye si dhana.
Tufanye kuwa Mungu ni dhana, lakini huyo Mungu ndio kitu gani hicho ambacho wewe unadai hicho kitu ni dhana tu?
Swali la Mungu ni nani au ni nini uliza mtu anaeabudu mana kila mtu ana mtazamo wake kuhusu MUNGU wake.Mimi sijauliza kama ni kitu cha kufikirika au ni kitu halisi? vitu vya kufikirika vipo vingi mkuu ndio maana nikauliza Mungu ni nini sasa ukisema tu ni kitu cha kufikirika mimi nitawezaje kujua ni kitu gani Mungu katika vitu vingi vya kufikirika vilivyopo?
Dhana kwa sababu ni fikra kila mtu anaya kwake ikitokea zinafanana ndio jumuiya za kiimani zinazaliwa ... uliza swali vizuriUshasema Mungu ni dhana na ndio umetaka tuelewe hivyo sasa ukianza tena habari za sijui Mungu huyu na wale unakuwa unanichanganya, mimi naelewa Mungu ni dhana basi sielewi lengine zaidi ya hapo.
Mimi namuuliza mtu ambaye anasema hakuna Mungu, sasa ni yeye ndio ataeleza kwa mtazamo wake Mungu ni nini ambaye yeye anasema hayupo. Kwahiyo hakuna kilichoharibika.Swali la Mungu ni nani au ni nini uliza mtu anaeabudu mana kila mtu ana mtazamo wake kuhusu MUNGU wake.
Ni fikra kila mtu anayo ya kwake, sasa neno Mungu linaingiaje hapo kwenye hizo fikra tofautitofauti za watu? hapo ndipo napotaka kujua maana ya Mungu ni nini?Dhana kwa sababu ni fikra kila mtu anaya kwake ikitokea zinafanana ndio jumuiya za kiimani zinazaliwa ... uliza swali vizuri
Mi naona wewe ndio unashida samahani lakini... Kiranga anaamini kwamba mungu ni “dhana” tu maana yake ni fikra tu za watu sasa hawa watu wanatofautiana kwenye hizi fikra unapomwambia aelezee hiyo dhana itambidi aende India akawaulize dhana kuhusu Krishna aende arabuni akawaulize kuhusu Allah ... swali lako ni General sana ...kama unataka kupata jibu uliza moja kwa moja
Nataka kujua meli ndio nini unaniambia ni chombo cha usafiri,sasa vyombo vya usafiri viko vingi kuna gari kuna treni kuna pikipiki kuna ndege. Hivyo vyote ni vyombo vya usafiri ila ni vitu tofauti vina sifa tofauti.Kwani nani kasema umeuliza swali la multiple choice kati ya kuchagua kufikiria au uhalisia kiasi cha mimi kukupa jibu useme hujaniuliza kama ni kitu cha kufikirika au ni halisi?
Kwa point hiyo mtu huyo anakua amekubali kua meli ni chombo cha usafiri ila anataka kujua usafiri wa aina gani si ndiyo, ok kwa situation hii nadhani angeambiwa ni chombo cha usafiri wa majini angeelewa, nadhani ndo ilikua point yakoNataka kujua meli ndio nini unaniambia ni chombo cha usafiri,sasa vyombo vya usafiri viko vingi kuna gari kuna treni kuna pikipiki kuna ndege. Hivyo vyote ni vyombo vya usafiri ila ni vitu tofauti vina sifa tofauti.
Hakuna aina moja ya chombo cha usafiri majini,kuna boat ambayo ni tofauti na Meli na kuna mtumbwi ambao ni tofauti na nyambizi.Kwa point hiyo mtu huyo anakua amekubali kua meli ni chombo cha usafiri ila anataka kujua usafiri wa aina gani si ndiyo, ok kwa situation hii nadhani angeambiwa ni chombo cha usafiri wa majini angeelewa, nadhani ndo ilikua point yako
So kwa mfano huo tukija kwenye hoja yangu ni kwamba wewe unakubali kua mungu ni dhana ya kufikirika haipo katika uhalisia ila unataka mimi nikuambie ipo katika category gani sindiyo?
Ukiulizwa john ni nani we utatoa jibu gani mana kina-john wako wengiNi fikra kila mtu anayo ya kwake, sasa neno Mungu linaingiaje hapo kwenye hizo fikra tofautitofauti za watu? hapo ndipo napotaka kujua maana ya Mungu ni nini?
Sasa swali lilitakiwa liwe hivi ... kwa jinsi ya uelewa wako embu nielezee dhana ya ki-mungu.Yeye amesema kiujumla kuwa Mungu ni dhana, sasa kabla ya kujadili Allah au Krishna kwanza lazima uijue hiyo dhana ya Mungu ni nini ndipo tuje hilo la Allah na Krishna, usipojua dhana ya Mungu ni ipi hutoelewa ni nini kinakusudiwa ukisikia Mungu Allah au Krishna.
Mbona sijampangia eleze dhana ya Mungu mbali na uelewa wake.Sasa swali lilitakiwa liwe hivi ... kwa jinsi ya uelewa wako embu nielezee dhana ya ki-mungu.
Kuna tofauti ya John ni nini na John ni nani?Ukiulizwa john ni nani we utatoa jibu gani mana kina-john wako wengi
Swali duniani kila jamii inamiungu wake na kila jamii inasema miungu wake ndio sahii , tuzungumzie miungu hii mitatu jehova ,yssu and allah wote hawa wamesema kuna siku ya mwisho je kama wakitofautiana kuita siku ya mwisho yani kila mmoja amepanga siku yake tofauti itakuwaje. Nani atakuwa sahihiTofauti ni ipi kati ya anayeamini Mungu(anasema yupo) na anayesema Mungu hayupo/hakuna?
Maana wote wawili wanakielewa hicho kitu ndio maana mmoja anadai hicho kitu hakipo na mwengine anadai kipo, sasa hapo inakuaje mmoja tu ndio awe na wajibu wa kukielezea hicho kitu? huo wajibu umejengeka kwa msingi gani? hebu tujaribu kuelewa muache kukariri tu.
Swali duniani kila jamii inamiungu wake na kila jamii inasema miungu wake ndio sahii , tuzungumzie miungu hii mitatu jehova ,yssu and allah wote hawa wamesema kuna siku ya mwisho je kama wakitofautiana kuita siku ya mwisho yani kila mmoja amepanga siku yake tofauti itakuwaje. Nani atakuwa sahihi