Subiri nimsaidie kujibu ila kwa saivi nina pirika nyingine nitajibu kidogo baadae nikipta mda nitajibu kwa mapanaUislamu umem-define vipi Allah?
This kind of shit does not make sense hereHalafu leo hii m.damu anasema hakuna Mungu wakati hata iyo simu tu unotumia apo saivi yupo aloitengeneza kwanini asiwepo muumbaji wa mbingu na Ardhi ?
kwanini asiwepo anobadilisha usiku na mchana? Yni nyie sijui mna akili za wapi msoamini Mungu anyway Mungu yupo na kama huamini leo utakuja kuamini siku ambayo haitokufaidisha Imani yako mana utakua umechelewaView attachment 1991640
Sawaaa we endelea kuamini unavoamini tu sisi hatumlazimishi mtu kusilimu ila Imani ikishamuingia mtu moyoni atakuja mwenyewe kuutaka UislamuThis kind of shit does not make sense here
Kuna idadi nyingi ya miungu na dini zao unazipinga licha ya kua zina holy sriptures, nini kinachofanya maandiko ya dini yako yawe special?
Binadamu ni mjinga sana amini hivyo kuna watu humtafuta Mungu wakiwa na shida wakifanikiwa hawamjui ,ukuaji wa technology na maisha bora ya ulaya,wazungu wengi hawashiki dini,kila wanachohitaji duniani wanaweza kukipata bila kutegemea miujiza ya kimunguUnajua hata nikikuuliza hapo kwanini watu wanaamini Mungu?najua hutoweza kunijibu halafu ajabu unahusisha kusoma sana na kutoamini uwepo wa Mungu kana kwamba katika dunia hii waliyosoma sana ni atheists tu au kwamba wanasayansi wote ni wakanaji uwepo wa Mungu.
Allah اللهUislamu umem-define vipi Allah?
Umenipa jibu ambalo haliendani na swaliHivi Uislamu ndo unavomdefine Allah ila wewe Scars hutoweza na hutaki kuamini bcz huamini kwenye MunguView attachment 1991645
Naomba jina la hii appHivi Uislamu ndo unavomdefine Allah ila wewe Scars hutoweza na hutaki kuamini bcz huamini kwenye MunguView attachment 1991645
Somehow umejaribuAllah الله
Ni kiarabu cha maneno mawili 'Al' na Llah
AL kwa kiarabu ina maana ya neno 'The' ambalo hali a tafsiri moja kwa moja kwa kiswahili, na llah ni ina maana ya mungu
Hivyo Allah mana yake ni 'The God'
Kwa kiswahili ni Mungu mmoja,
Na Allah halitumiwi na waislamu tu, waarabu wa dini zote humuita mungu Allah (the God)
Kumbuka Allah ni jina General la mungu kwa kiarabu, ila mungu ana majina yake mengine ya sifa zake
We inaonekana mgeni kwenye hizi mada, hapa mahubiri sio sehemu yake ebu jifunze kwa wenzakoSawaaa we endelea kuamini unavoamini tu sisi hatumlazimishi mtu kusilimu ila Imani ikishamuingia mtu moyoni atakuja mwenyewe kuutaka Uislamu
Kwenye uislamu Allah (the God) amedifainiwa kama Mungu mmoja, hakuna mungu mwengine zaidi yake. Kuamini mungu mwengine zaidi yake ni ushirikinaSomehow umejaribu
Lakini ulichokijibu hapa naona ni kama umetafsiri neno allah kwa kiswahili na sio kwamba umefafanua kwa definition allah ni nini.
Kwasababu basically najua kua allah ni neno linalowakilisha mungu (wa kiislamu), so point ni kujuma definition yw mungu, mungu ni nini?
Kwahiyo watu wanaamini Mungu kwa sababu ya Miujiza au kwamba Mungu ni miujiza?Binadamu ni mjinga sana amini hivyo kuna watu humtafuta Mungu wakiwa na shida wakifanikiwa hawamjui ,ukuaji wa technology na maisha bora ya ulaya,wazungu wengi hawashiki dini,kila wanachohitaji duniani wanaweza kukipata bila kutegemea miujiza ya kimungu
Somehow umejaribu
Lakini ulichokijibu hapa naona ni kama umetafsiri neno allah kwa kiswahili na sio kwamba umefafanua kwa definition allah ni nini.
Kwasababu basically najua kua allah ni neno linalowakilisha mungu (wa kiislamu), so point ni kujuma definition yw mungu, mungu ni nini?
Ingia playstore download hiyo app ya Qur'anNaomba jina la hii app
We kaa pembeni waache wakusaidie wenzako, unaonekana ni vingi kwenye uislamu huvijuiUnaona sasa? Unataka definition ya mungu kwa kutumia maelezo ya Allah.
Nenda kwa mwamposa utaaminiKwahiyo watu wanaamini Mungu kwa sababu ya Miujiza au kwamba Mungu ni miujiza?
Point sio kujua vingi bali ni hiki unachokiuliza, hata mtu akijua vyote bado utaona anashindwa kujibu swali lako na ni kwa sababu tatizo ni swali lako mwenyewe. Tatizo una uelewa mdogo ila unataka kujitutumua humu, huku kuzunguka kwako kote naona unataka kwenda wapi.We kaa pembeni waache wakusaidie wenzako, unaonekana ni vingi kwenye uislamu huvijui
Watu kwenda kwa Mwamposa kwa sababu ya Miujiza haina maana kwamba Mungu ni miujiza, hao wanaoenda kwa Mwamposa na wasioenda kwa Mwamposa wote wanaamini Mungu huyohuyo mmoja. Kwahiyo usichanganye mambo ya watu kupenda miujiza na kuamini Mungu.Nenda kwa mwamposa utaamini
Waache wanaojua vingi nifanye nao mjadala we ukae pembeni ukijifunza kupitia kwaoPoint sio kujua vingi bali ni hiki unachokiuliza, hata mtu akijua vyote bado utaona anashindwa kujibu swali lako na ni kwa sababu tatizo ni swali lako mwenyewe. Tatizo una uelewa mdogo ila unataka kujitutumua humu, huku kuzunguka kwako kote naona unataka kwenda wapi.
Hahaha..lazima unikimbie kama mwenzio Kiranga, mimi nakaa pembeni ulivyosema halafu tuone.Waache wanaojua vingi nifanye nao mjadala we ukae pembeni ukijifunza kupitia kwao