Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Mkuu UHURU JR hao jamaa umewauliza maswali mpaka muda huu hawana majibu wanakimbia kujibu na wana mbinu yao ya kukujibu vibaya ili wakutoe kwenye focus ya mada. Hata mimi pale nilipotaka majibu sijapata mpaka muda huu.

Wataishia kukujibu vibaya, watajifanya kukuweka kwenye ignore list ili iwe kichaka cha uhalali kwao cha kujificha kutotoa majibu.

Nakushauri endelea kuhitaji majibu ya maswali unayowauliza japo najua hawana majibu ndio maana wanazunguka zunguka.

Wao wanauliza maswali wanapewa majibu, wakiulizwa wao maswali hawana majibu wanatumia mbinu ya kupindua hoja na kukupa maneno hasi yenye lengo la kukutoa kwenye focus ili wajifiche wasiweze kutoa majibu.
Kumbe unawajua vizuri, jamaa hawataki kuulizwa maswali wala uwachallange kivyovyote vile wao wanachotaka ni wao tu ndio wakupige maswali hata yakiwa ni maswali ya kijinga ila ukiwachalenji wao wanaanza kukutoa akili na kukuweka kwenye ignore list.
 
Narudia tena kuwa umezungumzia Mungu Allah.
Sasa ulivyokua unauliza mungu gani ulikua una maanisha nini?

Anyway

Kwa mujibu wa hicho chanzo kilichomzungumzia mungu allah, kilimfafanuaje allah?
 
Sasa ulivyokua unauliza mungu gani ulikua una maanisha nini?

Anyway

Kwa mujibu wa hicho chanzo kilichomzungumzia mungu allah, kilimfafanuaje allah?

Kuna aina nyingi ya miungu na wewe hukusema Mungu gani hivyo nilikuwa sawa kukuuliza hivyo.

Ok kwahiyo unataka tumjadili Mungu Allah,si ndivyo?
 
Kuna aina nyingi ya miungu na wewe hukusema Mungu gani hivyo nilikuwa sawa kukuuliza hivyo.

Ok kwahiyo unataka tumjadili Mungu Allah,si ndivyo?
Mimi nimeuliza kwa muktadha wa kiislamu, kama uislamu una series za miungu mingi its okay kunipa maana zao

Kwa mujibu wa hicho chanzo kilichomzungumzia mungu allah, kilimfafanuaje allah?
 
Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu.

Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters




My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
Mshana Jr
nafikiri baada ya kuwa anaabudu sanamu, alilalamika akaambiwa siyo kuabudu ila ni kuiheshimu, akauliza kuna tofauti gani kati ya kuabudu na kuheshimu? wanazuoni wakakosa jibu.
 
Mimi nimeuliza kwa muktadha wa kiislamu, kama uislamu una series za miungu mingi its okay kunipa maana zao

Kwa mujibu wa hicho chanzo kilichomzungumzia mungu allah, kilimfafanuaje allah?
Ok una maanisha unataka kujua sifa za Mungu Allah?
 
Maana ya mungu (allah) jinsi ilivyo elezewa kwa mujibu wa uislamu
Kila jamii au imani hueleza kuhusu Mungu, kwahiyo ukiniambia nikueleze maana ya Mungu kwa mujibu wa uislamu maana nitaeleza kuhusu Allah.
 
Kila jamii au imani hueleza kuhusu Mungu, kwahiyo ukiniambia nikueleze maana ya Mungu kwa mujibu wa uislamu maana nitaeleza kuhusu Allah.

Mimi nimeuliza kwa muktadha wa kiisamu jinsi ulivyomuelezea mungu (so called allah), we unakuja kuniambia habari za jamii au imani, habari hizo zinaingiaje kwenye swali langu linalohusu uislamu?

Uislamu una jamii ngapi?

Kwa mujibu wa uislamu ambao umuedai unam refer mungu kwa jina la allah, uislamu umemfafanua mungu (allah) kwa tafsiri gani?
 
Mkuu UHURU JR hao jamaa umewauliza maswali mpaka muda huu hawana majibu wanakimbia kujibu na wana mbinu yao ya kukujibu vibaya ili wakutoe kwenye focus ya mada. Hata mimi pale nilipotaka majibu sijapata mpaka muda huu.

Wataishia kukujibu vibaya, watajifanya kukuweka kwenye ignore list ili iwe kichaka cha uhalali kwao cha kujificha kutotoa majibu.

Nakushauri endelea kuhitaji majibu ya maswali unayowauliza japo najua hawana majibu ndio maana wanazunguka zunguka.

Wao wanauliza maswali wanapewa majibu, wakiulizwa wao maswali hawana majibu wanatumia mbinu ya kupindua hoja na kukupa maneno hasi yenye lengo la kukutoa kwenye focus ili wajifiche wasiweze kutoa majibu.
We hujaonesha hata nafuu umeshindwa hata kujibu hoja
 
Asilimia90 ya atheists ni wakatoliki
Ukisoma sana elimu dunia ni rahisi kuamini Mungu hayupo ndio maana waislam wanakazania madrasa kuliko skuli wanajua,ulichoaminishwa ni uwezo wa Mungu wanasayansi wanakifanya
 
Mimi nimeuliza kwa muktadha wa kiisamu jinsi ulivyomuelezea mungu (so called allah), we unakuja kuniambia habari za jamii au imani, habari hizo zinaingiaje kwenye swali langu linalohusu uislamu?

Uislamu una jamii ngapi?

Kwa mujibu wa uislamu ambao umuedai unam refer mungu kwa jina la allah, uislamu umemfafanua mungu (allah) kwa tafsiri gani?

Labda utakuwa huelewi unachokiuliza kijana, nimekwambia kuwa Uislamu umemuelezea Allah ambaye uislamu humtambua kuwa ndio Mungu. Kwahiyo ukiniambia nimuelezee Mungu kwa mujibu wa uislamu maana yake moja kwa moja tunakuwa tunamuelezea Allah na si vinginevyo.
 
Hakuna kitu kiitwacho Mungu,ndiyo maana hamuwezi hata kuthibitisha uwepo wake.
hawa ndo binadamu baada ya kupewa pumzi wanamkufuru muumba wao watakavyo
ivi wewe unaweza ata kuumba nzi wewe unokanusha kua Mungu hayupo? Kiukweli m.damu ni mwenye kumkufuru Mungu wake
Ila wewe endelea kuamini ivo ivo utakuja kuujua ukweli siku ukifa saivi endelea kukaza fuvu ivo ivo
 
Labda utakuwa huelewi unachokiuliza kijana, nimekwambia kuwa Uislamu umemuelezea Allah ambaye uislamu humtambua kuwa ndio Mungu. Kwahiyo ukiniambia nimuelezee Mungu kwa mujibu wa uislamu maana yake moja kwa moja tunakuwa tunamuelezea Allah na si vinginevyo.
huyu ni atheist hawezi akaamini unaloweza kumuelezea ila siku yenu nyie ni moja tuu
waache waendelee kukaza fuvu watakuja kuujua ukweli siku wakifa
 
Halafu leo hii m.damu anasema hakuna Mungu wakati hata iyo simu tu unotumia apo saivi yupo aloitengeneza kwanini asiwepo muumbaji wa mbingu na Ardhi ?
kwanini asiwepo anobadilisha usiku na mchana? Yni nyie sijui mna akili za wapi msoamini Mungu anyway Mungu yupo na kama huamini leo utakuja kuamini siku ambayo haitokufaidisha Imani yako mana utakua umechelewa
20211030_084854.jpg
 
Labda utakuwa huelewi unachokiuliza kijana, nimekwambia kuwa Uislamu umemuelezea Allah ambaye uislamu humtambua kuwa ndio Mungu. Kwahiyo ukiniambia nimuelezee Mungu kwa mujibu wa uislamu maana yake moja kwa moja tunakuwa tunamuelezea Allah na si vinginevyo.
Uislamu umem-define vipi Allah?
 
Ukisoma sana elimu dunia ni rahisi kuamini Mungu hayupo ndio maana waislam wanakazania madrasa kuliko skuli wanajua,ulichoaminishwa ni uwezo wa Mungu wanasayansi wanakifanya
Unajua hata nikikuuliza hapo kwanini watu wanaamini Mungu?najua hutoweza kunijibu halafu ajabu unahusisha kusoma sana na kutoamini uwepo wa Mungu kana kwamba katika dunia hii waliyosoma sana ni atheists tu au kwamba wanasayansi wote ni wakanaji uwepo wa Mungu.
 
Back
Top Bottom