Huna hoja za kunikimbiza, kuna vingi ambavyo huvijui kuhusiana na dini yako ambavyo nataka tujadili, umeonesha uchanga kwenye hili kiasi kwamba hata basic tu ya kujua mungu ni nini imekua mtihani kwakoHahaha..lazima unikimbie kama mwenzio Kiranga, mimi nakaa pembeni ulivyosema halafu tuone.
Sawa dogo mimi nakaa pembeni nawaangali mkijadili Mungu wa waislamu.Huna hoja za kunikimbiza, kuna vingi ambavyo huvijui kuhusiana na dini yako ambavyo nataka tujadili, umeonesha uchanga kwenye hili kiasi kwamba hata basic tu ya kujua mungu ni nini imekua mtihani kwako
Wewe ndio haujajibu hoja mpaka sasa unajizungusha tuWe hujaonesha hata nafuu umeshindwa hata kujibu hoja
Mkuu nilimuuliza swali huyo kiumbe binadamu mpaka sasa hajatoa jibu, wanajizungusha tu.hawa ndo binadamu baada ya kupewa pumzi wanamkufuru muumba wao watakavyo
ivi wewe unaweza ata kuumba nzi wewe unokanusha kua Mungu hayupo? Kiukweli m.damu ni mwenye kumkufuru Mungu wake
Ila wewe endelea kuamini ivo ivo utakuja kuujua ukweli siku ukifa saivi endelea kukaza fuvu ivo ivo
Yani saivi nipo tight tuu ila hawa atheists kwangu mm hawafurukuti hao ila by j3 nitapta nafuu kidogo kwaio tutaendeleza mjadalaMkuu nilimuuliza swali huyo kiumbe binadamu mpaka sasa hajatoa jibu, wanajizungusha tu.
Akae pembeni vipi ikiwa mmeshindwa kumjibu hoja zake? Ndo mbinu yenu hii mkiona mmepata mtu anaewachallenge mnakimbilia kumuweka ignore list ili msiendelee kubanwa na hoja husika.Waache wanaojua vingi nifanye nao mjadala we ukae pembeni ukijifunza kupitia kwao
Ndio tabia zao Mkuu wakishakujua una wachallenge lazima wakukimbie kwa mbinu zao hizi mbiliHahaha..lazima unikimbie kama mwenzio Kiranga, mimi nakaa pembeni ulivyosema halafu tuone.
Hiki ulichokiandika ni pumba, ukiwa open minded nistue tufanye mjadala kibusaraTAMKO RASMI
Kwenu mnaojiita Atheist.
Nyie mnasema hakuna uwepo wa Mungu.
Kama hakuna uwepo wa Mungu lazima mtakua mnajua formation of the universe (ulimwengu) ulivyoanza na formation ya vitu vyote hivi vifiatavyo:-
1. Sayari zote
2. Jua, mwezi na nyota zote
3. Bahari, mito na maziwa yote katika sayari dunia.
4. Gesi, mafuta na madini ardhini katika sayari dunia.
5. Samaki wa aina zote katika bahari, mito na maziwa.
6. Ndege wa aina zote
7. Wanyama wa aina zote
8. Binadamu
9. Miti, mimea na mbogamboga za aina zote
NB: Mtuambie hivyo vitu vimetokeaje, msikimbie hili swali.
KAMA HAMNA MAJIBU YA HILI SWALI HAMFAI MJIITE ATHEIST, NA HAMTAKIWI KUSEMA HAKUNA UWEPO WA MUNGU IKIWA HAMNA MAJIBU YA HILO SWALI.
Ajitokeze Atheist yoyote atoe majibu, msipotoa majibu. Hamna mandate ya kujiita Atheist na mtakuwa ni watu mliopotoka tu.
NAWASILISHA KWENYU MNAOJIITA ATHEIST.
Kama utafatilia vizuri huu mjadala utagundua unachokisema kipo opposite na realityNdio tabia zao Mkuu wakishakujua una wachallenge lazima wakukimbie kwa mbinu zao hizi mbili
1. Kukupa maneno ya kukuudhi(kukejeli n.k)
2. Watajifanya wanakuweka ignore list yaan ila ndio wanakukimbia hivyo
Usifate meza yenye bia nyingi, hivi hata nikikuuliza swali ambalo kauliza nimrlikimbia unaweza kunitajia?Akae pembeni vipi ikiwa mmeshindwa kumjibu hoja zake? Ndo mbinu yenu hii mkiona mmepata mtu anaewachallenge mnakimbilia kumuweka ignore list ili msiendelee kubanwa na hoja husika.
Sijaandika pumba yoyote hapo swali limenyooka hilo, na najua unalikwepa mnoo.Hiki ulichokiandika ni pumba, ukiwa open minded nistue tufanye mjadala kibusara
Ni pumba kwasababu ya premise uliyo itengeneza, na nikisema nijibu rhetorical nitakuambia vyote hivyo vimesababishwa na ulimwengu, hivyo ulimwengu hauna chanzo isipokua vile vilivyomo ndani yakeSijaandika pumba yoyote hapo swali limenyooka hilo, na najua unalikwepa mnoo.
Kama hulikwepi nipe majibu, na kama hauna majibu pia niambie.
Wewe ni binadamu kweli?Majanga ya kidunia ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote hayupo.
Angekuwepo, asingeumba dunia ambayo viumbe wake wanaweza kupata majanga.
Kwa hivyo, nikipata majanga ya kidunia, hayo majanga nayo yatakuwa ni sehemu ya uthibitisho kwamba Mungu huyo hayupo.
Point sio kujua vingi bali ni hiki unachokiuliza, hata mtu akijua vyote bado utaona anashindwa kujibu swali lako na ni kwa sababu tatizo ni swali lako mwenyewe. Tatizo una uelewa mdogo ila unataka kujitutumua humu, huku kuzunguka kwako kote naona unataka kwenda wapi.
Bado haujatoa majibu, tafadhali kama unayo majibu yaseme pia kama haujui/hauna majibu pia semaNi pumba kwasababu ya premise uliyo itengeneza, na nikisema nijibu rhetorical nitakuambia vyote hivyo vimesababishwa na ulimwengu, hivyo ulimwengu hauna chanzo isipokua vile vilivyomo ndani yake
Hiyo ni ridiculous kama ambavyo swali lako lilivyo jengeka
Nilivyomuelewa Mimi ni kwamba anataka aelezwe mungu ni nini kupitia maelezo ya kwenye uislamu, si ndivyo?Swali lake limeeleweka vizuri na mtu yeyote mwenye akili, wewe ni mhuni unayetaka kuvuruga mjadala tu usiende mbele.
Akili ndogo tu ya kibinadamuMajanga ya kidunia ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote hayupo.
Angekuwepo, asingeumba dunia ambayo viumbe wake wanaweza kupata majanga.
Kwa hivyo, nikipata majanga ya kidunia, hayo majanga nayo yatakuwa ni sehemu ya uthibitisho kwamba Mungu huyo hayupo.
Kesho nitawajibu vizuri tu hawa Atheists usihangaike sanaNilivyomuelewa Mimi ni kwamba anataka aelezwe mungu ni nini kupitia maelezo ya kwenye uislamu, si ndivyo?