Nimeeleza kuhusu imani kwamba hatutumii uthibitisho kukubali jambo la imani ila naona hukubalini nami katika hilo ndio maana nimekuomba unitajie kitu kimoja tu ambacho unakiamini baada ya kupata uthibitisho.Irrelevant, mi ndo nimekuuliza unaweza ku verify imani
Na haya maswali hujayajibu
Kulingana na hoja yako ni kwamba kila kilichopo lazima kiwe na chanzo, na wewe umedai mungu yupo. Chanzo cha mungu ni nini?
Au tuseme hujui chanzi cha mungu ni jini ila unajua haiwezekani akawepo bila chanzo?
Mjadala unaendelea na sijakukataza bali nimehoji point ya kuuliza hivyo ni ipi? hilo ndio swali languMbona wewe unafanya mjadala na mimi ambaye siamini mungu wako na bado umekua ukinuliza maana ya mungu, hukuona busara kukaa kimya wakati unajua sikubali kua mungu yupo?
Kama mimi kutokuamini mungu hakukuzuia wewe kuniuliza maswali yanayohusu mungu, iweje unizuie mimi kuuliza maswali yahusuyo chanzo ambapo umedai kua kila kichopo kina chanzo?
Nakuuliza wewe ambaye unakubali kila kitu kina chanzo ili namimi nipate knowledge niweze kujua
Narudia tena
Je Mungu hana chanzo au anacho?
Kama jibu litasema "sijui" maana yake utakua hujui hicho chanzo cha mungu ila hautakubali kuwa mungu hana chanzo?
Unaelewa kua imani sio hakika?Nimeeleza kuhusu imani kwamba hatutumii uthibitisho kukubali jambo la imani ila naona hukubalini nami katika hilo ndio maana nimekuomba unitajie kitu kimoja tu ambacho unakiamini baada ya kupata uthibitisho.
nimekujibu nimekwambia point ya kuuliza hilo ni kwasababu nataka kujuaMjadala unaendelea na sijakukataza bali nimehoji point ya kuuliza hivyo ni ipi? hilo ndio swali langu
Hujajibu swali langu nililouliza, na swali ulilojibu sijauliza.Kama umeelewa nilichosema, kuwepo kwa Mungu hakutegemei mtu athibitishe, asithibitishe au ashindwe kuthibitisha. Ni kama wewe uthibitishe au usithibitishe au ushindwe kuthibitisha kuwa kwa sababu ya kuwa mbali sana kuna nyota ambazo mwanga wake bado unasafiri haujaifikia dunia. Yaani, uthibitishe au usithibitishe kama hizo nyota zipo na mwanga wake bado unasafiri utafika tu siku moja.
Ziseme hapa hiyo evolution na hizo njia zingine za ki natural, maana kila ninachokuuliza haujibu unakimbia kujibu hoja.Kupitia evolution na njia zingine za ki natural ambazo zinakua facilitated na ulimwengu
Kwa hiyo thropods walivyo evolve ni miujiza?
Well hiyo itakua ni kwa mujibu wa tafsori yako au njia uliyochagua kudefine muujiza katika angle inayokuridhisha
Umeishia la ngapi?Ziseme hapa hiyo evolution na hizo njia zingine za ki natural, maana kila ninachokuuliza haujibu unakimbia kujibu hoja.
Elezea hapa evolution na hizo njia zingine zimeform vipi hivyo vitu vyote kisayansi. Usijibu kinadharia na kufikirika tu.
Kama unaelewa kuwa imani sio hakika sasa unapotaka uthibitisho kwa jambo la imani huwa na maana gani?Unaelewa kua imani sio hakika?
Nimekuuliza swaliKama unaelewa kuwa imani sio hakika sasa unapotaka uthibitisho kwa jambo la imani huwa na maana gani?
nimekujibu nimekwambia point ya kuuliza hilo ni kwasababu nataka kujua
Narudia tena
Je Mungu hana chanzo au anacho?
Kama jibu litasema "sijui" maana yake utakua hujui hicho chanzo cha mungu ila hautakubali kuwa mungu hana chanzo?
Nieleweshe.Nimekuuliza swali
unaelewa imani sio uhakika?
Huko tushatoka, umeniambia kila kitu kina chanzo na kusema kitu kipo bila chanzo haiingi akiliniTatizo unakimbilia issue ya chanzo cha Mungu wakati hoja ya kila kitu kuwa na chanzo bado hatujaelewana, tuelewane hapo kwanza ili tufike huko unapopataka.
Hilo ni swali nimekuuliza nahitaji majibuNieleweshe.
Umeuliza ili ujue kama mimi najua na mimi nimeomba unieleweshe ili nijue, sasa tatizo lipo wapi hapo dogo?Hilo ni swali nimekuuliza nahitaji majibu
Huko tushatoka, umeniambia kila kitu kina chanzo na kusema kitu kipo bila chanzo haiingi akilini
Hayo umeyasema wewe
Umeniuliza mimi mtazamo wangu ni upi kwa hoja yako, nimekuambia mimi sijui niko hapa kujifunza na ndio maana nauliza maswali ili niweze kuelewa vyema
Maswali yangu yenyewe ni haya
Je Mungu hana chanzo au anacho?
Kama jibu litasema "sijui" maana yake utakua hujui hicho chanzo cha mungu ila hautakubali kuwa mungu hana chanzo?
Nitakua sahihi nikisema hujui imani ni hakika au la?Umeuliza ili ujue kama mimi najua na mimi nimeomba unieleweshe ili nijue, sasa tatizo lipo wapi hapo dogo?
Nitaelewaje wakati haya maswali unayakimbiaSasa hapo utakuwa umeelewa nini? hebu niambie
Nimekuomba unieleweshe, bado unaendelea kuuliza?Nitakua sahihi nikisema hujui imani ni hakika au la?
Kwa hiyo wewe ulipokua unasema swala la mungu ni imani ulikua huelewi imani ipo katika state gani?Nimekuomba unieleweshe, bado unaendelea kuuliza?
Unauliza maswali na kujiwekea mwenyewe majibu, ndio maana nakuuliza hapo utakuwa umeelewa nini?Nitaelewaje wakati haya maswali unayakimbia
Maswali yangu yenyewe ni haya
Je Mungu hana chanzo au anacho?
Kama jibu litasema "sijui" maana yake utakua hujui hicho chanzo cha mungu ila hautakubali kuwa mungu hana chanzo?