Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
hahaaaaaha Bwashee hiyo siku haipo Aisee acheni Hadith za kitoto na mapokeo ya wa Wayunani na Wayahudi wa kale enzi za Giza,yaani ni kama ilivyo magharibi na mashariki kutokutana na hiyo siku haipo labda useme mwisho wa human civilization maana hapa Duniani zimepata tokea spicies mbali mbali na zikatoweka mfano dinosaur hapo ndio nitakuelewa ila porojo za kiama hazina mashiko!Siku ya kiama nawasikitikia sana.
HujajIbu swali, hujaeleza unajuaje.Labda mungu wa Jf.
Wewe ni binadamu kweli?hahaaaaaha Bwashee hiyo siku haipo Aisee acheni Hadith za kitoto na mapokeo ya wa Wayunani na Wayahudi wa kale enzi za Giza,yaani ni kama ilivyo magharibi na mashariki kutokutana na hiyo siku haipo labda useme mwisho wa human civilization maana hapa Duniani zimepata tokea spicies mbali mbali na zikatoweka mfano dinosaur hapo ndio nitakuelewa ila porojo za kiama hazina mashiko!
Mpaka sasa naamini wewe ni jiniHujajIbu swali, hujaeleza unajuaje.
Ila Kiranga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Unajuaje mimi si Mungu leo nimeamua kuja JF tu kukuzingua?
After all, kama unaamini Mungu yupo beyond time and space na huwezi kumuelewa vizuri, utajuaje mimi si Mungu nimeamua kuichukua ID ya Kiranga kukuzingua tu?
Unataka kusema Mungu wako hawezi ku hack ID ya JF ya Kiranga?
Hujajibu lililoulizwa na ulilojibu hujaulizwa.Mpaka sasa naamini wewe ni jini
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka sasa naamini wewe ni jini
Kucheka dawa.Ila Kiranga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kuna muda unanichekesha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliza tenaHujajibu lililoulizwa na ulilojibu hujaulizwa.
Huyu ni jini mkuu.Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kucheka dawa.
Ila maswali yangu sijajibiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni jini mkuu.
Una uhuru wa kuuliza lakini nami nina uhuru wa kujibu au kutojibu.Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi Sina majibu ya maswali yako mkuu,ila Kuna maswali nataka kukuuliza na nadhani utanipa majibu yake.
Ni nje ya hii mada mnayojadili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakataa uwepo wa Mungu wazi wazi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu wewe umejuaje kama ni jini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.Una uhuru wa kuuliza lakini nami nina uhuru wa kujibu au kutojibu.
Karibu.
One!
Kwahiyo yeye kukataa uwepo wa MUNGU ndio umeconclude kwamba ni jini?Anakataa uwepo wa Mungu wazi wazi.
hapana Mimi ni mtu yaani wazungu wanatuitaWewe ni binadamu kweli?
Eeh huyu ni jini. Vipi mkuu kwani na wewe umeungana nae ama? [emoji15][emoji15][emoji15]Kwahiyo yeye kukataa uwepo wa MUNGU ndio umeconclude kwamba ni jini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha kama wewe ni mtu.hapana Mimi ni mtu yaani wazungu wanatuita
(other People)
Au Wewe ni Bin Adam?
Tuanzie hapo kwanza!