Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Siku ya kiama nawasikitikia sana.
hahaaaaaha Bwashee hiyo siku haipo Aisee acheni Hadith za kitoto na mapokeo ya wa Wayunani na Wayahudi wa kale enzi za Giza,yaani ni kama ilivyo magharibi na mashariki kutokutana na hiyo siku haipo labda useme mwisho wa human civilization maana hapa Duniani zimepata tokea spicies mbali mbali na zikatoweka mfano dinosaur hapo ndio nitakuelewa ila porojo za kiama hazina mashiko!
 
Wewe ni binadamu kweli?
 
Ila Kiranga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kuna muda unanichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…