Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Akili ni nini?

Nikishindwa kuthibitisha ninayo akili, hilo linathibitisha vipi Mungu yupo?
Kiongozi usibishane na watu ambao wamesoma shule za kata Tanzania

They know nothing about reasoning and logic

Wanashindwa kuchangia hoja za mjadala wao wanaongelea imani

Story za imani ni za mtu binafsi wala hakuna anayejua
 
Kuwa kichaa sio lazima uokote makopo

Mkuu wewe ni Certified zero brain

Huelewi maana ya logic

Una frustration za maisha, Kama sio Frustration za maisha basi una matatizo ya urithi toka kwa wazazi wako

Huna tofauti na lile kundi linalosali kwa Gwajima na Mwamposa
Kiongozi usibishane na watu ambao wamesoma shule za kata Tanzania

They know nothing about reasoning and logic

Wanashindwa kuchangia hoja za mjadala wao wanaongelea imani

Story za imani ni za mtu binafsi wala hakuna anayejua

Jibu swali Una akili au huna ?
 
Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu.

Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters




My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
Mshana Jr
Huyo itakuwa mapadri na makasisi walimfanyia ule mchezo maarufu wa kanisani.
 
Kiongozi usibishane na watu ambao wamesoma shule za kata Tanzania

They know nothing about reasoning and logic

Wanashindwa kuchangia hoja za mjadala wao wanaongelea imani

Story za imani ni za mtu binafsi wala hakuna anayejua
Naam.

Nakuelewa mkuu.

Mtu anauliza logical non sequitur, halafu hata hajui logical non sequitur ni nini.

Kujadiliana naye ni kushusha chini viwango vya mjadala.

Naomba kujiondoa hapa nisiendelee kujadiliana na watu ambao hawajafikia viwango vya kufanya nao mjadala.

Amateur hour is over.
 
Huyo itakuwa mapadri na makasisi walimfanyia ule mchezo maarufu wa kanisani.
Ahaaa wazee wa Mecca naona mnajitokeza sasa

Mtume alijua kusoma au kuandika?

Abu Bakr, Abu Bakr

Abu Bakr huyu ndie aliyeunganisha story za quran
 
A lost soul.
Speculation.

Mambo magumu gani, umejuaje, unaweza kuthibitishaje hilo?

Mimi napinga uwepo wa Mungu kwa kuangalia logical fallacies na contradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.

Si kwa sababu ya matatizo ya maisha.

Kama tunaangalia matatizo ya maisha, nilitakiwa kumkubali sana Mungu.

Kwa sababu.

Nimeanza kutembea corridors za Ikulu ya Tanzania tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu.

Nimepelekwa shule na Chauffeur driven Range Rover Classic Vogue 4.0. na Landcriser VX, Mercedes Benz, Pajero Intercooler Turbo among other luxury SUVs.Nimekaa na kukulia mitaa ya washefa Tanzania, nimeenda kusoma New York City Marekani, nikafanya kazi Wall St. Nina biashara nzuri tu za kupoteza $25,000 kwa siku, na kuzirudisha maradufu. Naendesha ndinga kali, nina kila kitu Mtanzania wa kawaida anachokitafuta.

Zaidi, hata nikivipoteza vyote hivi leo, nina uwezo mkubwa sana wa kuishi maisha simple tu bila kuwa na msongo mkubwa sana wa mawazo.

Kama ningekuwa mtu wa kuangalia shida na raha za maisha, nilitakiwa niwe namshukuru Mungu kila siku.

Sipingi uwepo wa Mungu kwa kuangalia maisha yangu binafsi. Napinga kwa kuangalia logical fallacies and contradictions in the basic tenets posing the existence of God.

Ukiacha mambo ya kawaida siwezi kusema nimepitia matatizo.

Naomba uache kufanya speculations kwenye maisha yangu.

Kama una swali, uliza.
 
Back
Top Bottom