Kiongozi usibishane na watu ambao wamesoma shule za kata TanzaniaAkili ni nini?
Nikishindwa kuthibitisha ninayo akili, hilo linathibitisha vipi Mungu yupo?
Wewe huna akiliSijauliza ukichaa wala intelligent wala mtungo wako
Swali Una akili au huna ?
Haya lete mtungo mwengine
Kuwa kichaa sio lazima uokote makopo
Mkuu wewe ni Certified zero brain
Huelewi maana ya logic
Una frustration za maisha, Kama sio Frustration za maisha basi una matatizo ya urithi toka kwa wazazi wako
Huna tofauti na lile kundi linalosali kwa Gwajima na Mwamposa
Kiongozi usibishane na watu ambao wamesoma shule za kata Tanzania
They know nothing about reasoning and logic
Wanashindwa kuchangia hoja za mjadala wao wanaongelea imani
Story za imani ni za mtu binafsi wala hakuna anayejua
Wewe huna akiliJibu swali Una akili au huna ?
Ndiyo umejibu swali Una akili au huna ?Wewe huna akili
Wewe huna akiliNdiyo umejibu swali Una akili au huna ?
Huyo itakuwa mapadri na makasisi walimfanyia ule mchezo maarufu wa kanisani.Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu.
Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters
My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
Mshana Jr
Naam.Kiongozi usibishane na watu ambao wamesoma shule za kata Tanzania
They know nothing about reasoning and logic
Wanashindwa kuchangia hoja za mjadala wao wanaongelea imani
Story za imani ni za mtu binafsi wala hakuna anayejua
Wewe huna akili
Ahaaa wazee wa Mecca naona mnajitokeza sasaHuyo itakuwa mapadri na makasisi walimfanyia ule mchezo maarufu wa kanisani.
Huna akiliSasa jibu swali Una akili au huna?
Speculation.
Mambo magumu gani, umejuaje, unaweza kuthibitishaje hilo?
Mimi napinga uwepo wa Mungu kwa kuangalia logical fallacies na contradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.
Si kwa sababu ya matatizo ya maisha.
Kama tunaangalia matatizo ya maisha, nilitakiwa kumkubali sana Mungu.
Kwa sababu.
Nimeanza kutembea corridors za Ikulu ya Tanzania tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu.
Nimepelekwa shule na Chauffeur driven Range Rover Classic Vogue 4.0. na Landcriser VX, Mercedes Benz, Pajero Intercooler Turbo among other luxury SUVs.Nimekaa na kukulia mitaa ya washefa Tanzania, nimeenda kusoma New York City Marekani, nikafanya kazi Wall St. Nina biashara nzuri tu za kupoteza $25,000 kwa siku, na kuzirudisha maradufu. Naendesha ndinga kali, nina kila kitu Mtanzania wa kawaida anachokitafuta.
Zaidi, hata nikivipoteza vyote hivi leo, nina uwezo mkubwa sana wa kuishi maisha simple tu bila kuwa na msongo mkubwa sana wa mawazo.
Kama ningekuwa mtu wa kuangalia shida na raha za maisha, nilitakiwa niwe namshukuru Mungu kila siku.
Sipingi uwepo wa Mungu kwa kuangalia maisha yangu binafsi. Napinga kwa kuangalia logical fallacies and contradictions in the basic tenets posing the existence of God.
Ukiacha mambo ya kawaida siwezi kusema nimepitia matatizo.
Naomba uache kufanya speculations kwenye maisha yangu.
Kama una swali, uliza.
Tumekuelewa akili yako iko vipi, shukraniHuna akili
Huna akiliTumekuelewa akili yako iko vipi, shukrani
Acha kuwa na akili fupi.Huyo itakuwa mapadri na makasisi walimfanyia ule mchezo maarufu wa kanisani.
Nimethibitisha Huna akiliAnza kuthibitisha unayo akili?
Akili ndefu inapimwa kwa meter au centimeter au Kilogram au gram? na Akili fupi inapimwa kwa ampere, watt au volts?Acha kuwa na akili fupi.
Nimethibitisha Huna akili
Huna akili
Inapimwa kwa uzito wa hoja.Akili ndefu inapimwa kwa meter au centimeter au Kilogram au gram? na Akili fupi inapimwa kwa ampere, watt au volts?
Wewe akili ipi uliyonayo ?Akili ndefu inapimwa kwa meter au centimeter au Kilogram au gram? na Akili fupi inapimwa kwa ampere, watt au volts?