Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Mbona unajichanganya mwenyewe, hapo juu umesema huwezi ku google majibu ya uthibitisho unao onesha mungu yupo, saizi unanilaumu tena mimi kwa kuto-google majibu ya maswali, nikueleweje?

Mimi sifahamu kama google ina majibu, we kama umeyaona huko basi yalete hapa, mi nitakua nauliza maswali yangu afu we utakua unaenda huko kuyachukua

Tukubaliane hapo kwanza

Kwa hiyo umeamini mimi ni Mungu?
Siyo kwamba naamini kuwa wewe ni Mungu, bali kwamba kama unachosema kwamba wewe ni Mungu na ni kweli una hiyo sifa na hudanganyi maana sifa za Mungu zipo kadhaa: ni muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, yupo tangu milele, uwepo wake hauna mwisho, ni muweza wa yote, yuko beyond time and space etc na wewe unfortunately huna hizo sifa.
 
Siyo kwamba naamini kuwa wewe ni Mungu, bali kwamba kama unachosema kwamba wewe ni Mungu na ni kweli una hiyo sifa na hudanganyi maana sifa za Mungu zipo kadhaa: ni muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, yupo tangu milele, uwepo wake hauna mwisho, ni muweza wa yote, yuko beyond time and space etc na wewe unfortunately huna hizo sifa.
Hata mimi ni mungu pia, kama unahisi uwongo ebu jaribu kuni disprove
 
Allah(swt) ambaye ndie mungu yupo na quran tukufu inatuthibitishia juu ya uwepo wake na pia zipo dalili wazi wazi zinazo thibitisha wazi kabisa juu ya uwepo wake allah(dhul-jalal). Tafuteni elimu vijana msidanganyane kuwa mungu hayupo yupo. Msiongee bila kuwa na elimu.Elimu ni jambo la muhimu sana japo watu tunalipuuzia laiti mngekuwa na elimu sidhani kama mngekaa kupoteza muda kubishana kuwa mungu hayupo. Unataka uthibitishi soma quran na tafsiri yake yotee. Quran uthibitisho tosha kabisaa juu ya uwepo wake allah(swt).

Kumhusu sheitwani.Sheitwani ni kiumbe aliyeumbwa kutokana na moto naye alikuwa ni mchamungu kiasi cha kuambatana na malaika. Ila ilipotolewa amri yakuwa malaika wote akiwemo ibilisi ambaye alikuwa akiambatana nao kutokana na uchamungu wake wamsujudie adam walisujudu wotee isipokuwa ibilis akakata na kuingia na kibri na kusema mm ni bora kuliko adam kwa sababu umeniumba mm kwa moto na umemuumba adam kwa udongo. Kwa kile kiburi chake basi akalaaniwa na kutolewa katika rehma za allah(swt) na kuambiwa kuwa ataingia motoni siku ya qiyama.

Kisha baada ya hapo ndipo ibilis akaomba dua ya kukaa mpaka cku ya mwisho na kisha kuahidi ya kuwa atafanya kila awezalo kutupoteza na kuhakikisha tunaangamia katika moto wa jahannam pamoja na yeye.Kwasababu uwepo wetu ndoo umefanya yeye alaaniwe basi anamchukia adam pamoja na vizazi vyake na anafanya kila awezalo kuhakikisha tunaangamia. Kisha allah(swt) akatuomba sisi wotee in spiritual form na kutuweka katika kikao na kutuuliza je “mm sio mola wenu” wotee tukajibu na kusema hapana wewe ni mola wetu.

Kisha akatuonya juu ya sheitwani na kutuambia ya kuwa nitawaletea mitume huko dunia kukuonyeni na atateremesha vitabu vyake na teyar ameshafanya hvyo. Kwa hiyo kiufupu sheitwani yupo yeye ndoo source ya maovu yotee duniani yanayofanyika. Jambo la kuwa kwamba tukienda pepo napo watu watakuwa wanatenda maovu hilo halipo kwa sababu allah(swt) anasema ndani ya quran ya kuwa “hatasikia humo upuuzi wala uongo”.

Kwahiyo wazi kabisa mwisho wa dhambi ni hapa hapa duniani.Allah(swt) kwahiyo rai yangu ni kwamba tusomeni badala ya kukaa na kubishana mungu yupo au hayupo.Soma kwanza alafu kisha ufanye uamuz uamini au la!.Na ikiwa hutaamini jua makaz yako ni motoni na allah(swt) atuepushe sotee ameen
hahahaaaaahaha acha vioja Wewe jamaa eti tusome vitabu vilivyoandikwa na mwanadamu kumhusu mungu,wakati mungu mwenyewe hajawahi kuandika biography kujihusu si kioja hicho?
Nje ya fikra za mtu mungu hayupo,hajawahi kuwepo na hatakwepo binadamu ndio aliyemuumba mungu kichwani mwake!
Huo ndio ukweli mchungu ndugu zanguni!
 
Ndiyo upo sahihi, na ni kutokana na tafsiri uliyotoa kuhusu neno hakika.

Ila sina mashaka kuwa Mungu yupo.
Na wewe ukaikubali tafsiri kua ni sahihi, na ulivyokubali haukusena kua umekubali kutokana na tafsiri niliyotoa, kwa maana hiyo hoja uliyoulizwa kuhusiana na hakika ni dhahiri kua ulikubali ili itumike katika mjadala ambao tunaujadili

Unakubali ukisema imani ni kutokua na uhakika tafsiri yake madai yeyote utayosema katika angle ya imani hayatakua na hakika?
 
Hata mimi ni mungu pia, kama unahisi uwongo ebu jaribu kuni disprove
Mungu anajionyesha kwa matendo yake mwenyewe - mfano - kwa vitu alivyoviumba na yupo enzi na enzi na atendelea kuwepo enzi na enzi, lakini wewe una mwanzo na utakuwa na mwisho. Hizi tofauti tayari zinakutoa kwenye uringo.
 
Mungu anajionyesha kwa matendo yake mwenyewe - mfano - kwa vitu alivyoviumba na yupo enzi na enzi na atendelea kuwepo enzi na enzi, lakini wewe una mwanzo na utakuwa na mwisho. Hizi tofauti tayari zinakutoa kwenye uringo.
Nikikuambia ili uone hivyo vitendo unapaswa kukiri na kuniamini mimi kua ndio mungu wa kweli na kukana hiyo miungu yako potofu utakubali?
 
Nikikuambia ili uone hivyo vitendo unapaswa kukiri na kuniamini mimi kua ndio mungu wa kweli na kukana hiyo miungu yako potofu utakubali?
Unajifurahisha tu, for the sake of arguing, huna!
 
Nimekujibu kuwa hana mwanzo wala mwisho na hivyo hana chanzo.
nakukumbusha tena

2985113_1635842967153.png


unakubali kua hayo ni maneno uliyoandika wewe kwenye post #1,351 ?

Baada ya hapo nikakuuliza hivi
1635935688402.png


Na hiki ndicho ulicho jibu

1635935733687.png


Nitakua sahihi nikikuambia katika maelezo yako unajipinga mwenyewe?
 
Na wewe ukaikubali tafsiri kua ni sahihi, na ulivyokubali haukusena kua umekubali kutokana na tafsiri niliyotoa, kwa maana hiyo hoja uliyoulizwa kuhusiana na hakika ni dhahiri kua ulikubali ili itumike katika mjadala ambao tunaujadili

Unakubali ukisema imani ni kutokua na uhakika tafsiri yake madai yeyote utayosema katika angle ya imani hayatakua na hakika?

Ndiyo nakubali kwa tafsiri uliyotoa ya neno hakika.
 
Back
Top Bottom