Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwa hiyo inaingia akilini mungu kuwepo pasipo kuwa na chanzo?Naamini Mungu mwenyewe sifa za kuwa hana mwanzo wala mwisho, na ndiyo muumbaji wa huu ulimwengu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo inaingia akilini mungu kuwepo pasipo kuwa na chanzo?Naamini Mungu mwenyewe sifa za kuwa hana mwanzo wala mwisho, na ndiyo muumbaji wa huu ulimwengu.
Kwa hiyo nitakua sahihi kusema huna uhakika kua mungu yupo?Ndio
Ndio kwa sababu yeye ndio chanzo.Kwa hiyo inaingia akilini mungu kuwepo pasipo kuwa na chanzo?
Ndiyo upo sahihi, na ni kutokana na tafsiri uliyotoa kuhusu neno hakika.Kwa hiyo nitakua sahihi kusema huna uhakika kua mungu yupo?
Mbona unajichanganya mwenyewe, hapo juu umesema huwezi ku google majibu ya uthibitisho unao onesha mungu yupo, saizi unanilaumu tena mimi kwa kuto-google majibu ya maswali, nikueleweje?
Mimi sifahamu kama google ina majibu, we kama umeyaona huko basi yalete hapa, mi nitakua nauliza maswali yangu afu we utakua unaenda huko kuyachukua
Tukubaliane hapo kwanza
Siyo kwamba naamini kuwa wewe ni Mungu, bali kwamba kama unachosema kwamba wewe ni Mungu na ni kweli una hiyo sifa na hudanganyi maana sifa za Mungu zipo kadhaa: ni muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, yupo tangu milele, uwepo wake hauna mwisho, ni muweza wa yote, yuko beyond time and space etc na wewe unfortunately huna hizo sifa.Kwa hiyo umeamini mimi ni Mungu?
Hata mimi ni mungu pia, kama unahisi uwongo ebu jaribu kuni disproveSiyo kwamba naamini kuwa wewe ni Mungu, bali kwamba kama unachosema kwamba wewe ni Mungu na ni kweli una hiyo sifa na hudanganyi maana sifa za Mungu zipo kadhaa: ni muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, yupo tangu milele, uwepo wake hauna mwisho, ni muweza wa yote, yuko beyond time and space etc na wewe unfortunately huna hizo sifa.
Zipi dalili za uungu wako?Hata mimi ni mungu pia, kama unahisi uwongo ebu jaribu kuni disprove
hahahaaaaahaha acha vioja Wewe jamaa eti tusome vitabu vilivyoandikwa na mwanadamu kumhusu mungu,wakati mungu mwenyewe hajawahi kuandika biography kujihusu si kioja hicho?Allah(swt) ambaye ndie mungu yupo na quran tukufu inatuthibitishia juu ya uwepo wake na pia zipo dalili wazi wazi zinazo thibitisha wazi kabisa juu ya uwepo wake allah(dhul-jalal). Tafuteni elimu vijana msidanganyane kuwa mungu hayupo yupo. Msiongee bila kuwa na elimu.Elimu ni jambo la muhimu sana japo watu tunalipuuzia laiti mngekuwa na elimu sidhani kama mngekaa kupoteza muda kubishana kuwa mungu hayupo. Unataka uthibitishi soma quran na tafsiri yake yotee. Quran uthibitisho tosha kabisaa juu ya uwepo wake allah(swt).
Kumhusu sheitwani.Sheitwani ni kiumbe aliyeumbwa kutokana na moto naye alikuwa ni mchamungu kiasi cha kuambatana na malaika. Ila ilipotolewa amri yakuwa malaika wote akiwemo ibilisi ambaye alikuwa akiambatana nao kutokana na uchamungu wake wamsujudie adam walisujudu wotee isipokuwa ibilis akakata na kuingia na kibri na kusema mm ni bora kuliko adam kwa sababu umeniumba mm kwa moto na umemuumba adam kwa udongo. Kwa kile kiburi chake basi akalaaniwa na kutolewa katika rehma za allah(swt) na kuambiwa kuwa ataingia motoni siku ya qiyama.
Kisha baada ya hapo ndipo ibilis akaomba dua ya kukaa mpaka cku ya mwisho na kisha kuahidi ya kuwa atafanya kila awezalo kutupoteza na kuhakikisha tunaangamia katika moto wa jahannam pamoja na yeye.Kwasababu uwepo wetu ndoo umefanya yeye alaaniwe basi anamchukia adam pamoja na vizazi vyake na anafanya kila awezalo kuhakikisha tunaangamia. Kisha allah(swt) akatuomba sisi wotee in spiritual form na kutuweka katika kikao na kutuuliza je “mm sio mola wenu” wotee tukajibu na kusema hapana wewe ni mola wetu.
Kisha akatuonya juu ya sheitwani na kutuambia ya kuwa nitawaletea mitume huko dunia kukuonyeni na atateremesha vitabu vyake na teyar ameshafanya hvyo. Kwa hiyo kiufupu sheitwani yupo yeye ndoo source ya maovu yotee duniani yanayofanyika. Jambo la kuwa kwamba tukienda pepo napo watu watakuwa wanatenda maovu hilo halipo kwa sababu allah(swt) anasema ndani ya quran ya kuwa “hatasikia humo upuuzi wala uongo”.
Kwahiyo wazi kabisa mwisho wa dhambi ni hapa hapa duniani.Allah(swt) kwahiyo rai yangu ni kwamba tusomeni badala ya kukaa na kubishana mungu yupo au hayupo.Soma kwanza alafu kisha ufanye uamuz uamini au la!.Na ikiwa hutaamini jua makaz yako ni motoni na allah(swt) atuepushe sotee ameen
Na wewe ukaikubali tafsiri kua ni sahihi, na ulivyokubali haukusena kua umekubali kutokana na tafsiri niliyotoa, kwa maana hiyo hoja uliyoulizwa kuhusiana na hakika ni dhahiri kua ulikubali ili itumike katika mjadala ambao tunaujadiliNdiyo upo sahihi, na ni kutokana na tafsiri uliyotoa kuhusu neno hakika.
Ila sina mashaka kuwa Mungu yupo.
Dalili za uungu ni nini?Zipi dalili za uungu wako?
Nauliza chanzo chake ni nini?Ndio kwa sababu yeye ndio chanzo.
Mungu anajionyesha kwa matendo yake mwenyewe - mfano - kwa vitu alivyoviumba na yupo enzi na enzi na atendelea kuwepo enzi na enzi, lakini wewe una mwanzo na utakuwa na mwisho. Hizi tofauti tayari zinakutoa kwenye uringo.Hata mimi ni mungu pia, kama unahisi uwongo ebu jaribu kuni disprove
Nimekujibu kuwa hana mwanzo wala mwisho na hivyo hana chanzo.Nauliza chanzo chake ni nini?
Nikikuambia ili uone hivyo vitendo unapaswa kukiri na kuniamini mimi kua ndio mungu wa kweli na kukana hiyo miungu yako potofu utakubali?Mungu anajionyesha kwa matendo yake mwenyewe - mfano - kwa vitu alivyoviumba na yupo enzi na enzi na atendelea kuwepo enzi na enzi, lakini wewe una mwanzo na utakuwa na mwisho. Hizi tofauti tayari zinakutoa kwenye uringo.
Mambo ambayo yanadhihirisha kuwa kweli wewe ni mungu.Dalili za uungu ni nini?
Unajifurahisha tu, for the sake of arguing, huna!Nikikuambia ili uone hivyo vitendo unapaswa kukiri na kuniamini mimi kua ndio mungu wa kweli na kukana hiyo miungu yako potofu utakubali?
nakukumbusha tenaNimekujibu kuwa hana mwanzo wala mwisho na hivyo hana chanzo.
Mfano?Mambo ambayo yanadhihirisha kuwa kweli wewe ni mungu.
Na wewe ukaikubali tafsiri kua ni sahihi, na ulivyokubali haukusena kua umekubali kutokana na tafsiri niliyotoa, kwa maana hiyo hoja uliyoulizwa kuhusiana na hakika ni dhahiri kua ulikubali ili itumike katika mjadala ambao tunaujadili
Unakubali ukisema imani ni kutokua na uhakika tafsiri yake madai yeyote utayosema katika angle ya imani hayatakua na hakika?
Hapana sijajipinga, wapi ambapo hujaelewa nikueleweshe kijana?nakukumbusha tena
![]()
unakubali kua hayo ni maneno uliyoandika wewe kwenye post #1,351 ?
Baada ya hapo nikakuuliza hivi
View attachment 1996947
Na hiki ndicho ulicho jibu
View attachment 1996950
Nitakua sahihi nikikuambia katika maelezo yako unajipinga mwenyewe?