Nzige Mdudu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,048
- 830
Hee kwenye mjadala unataka unilipishe fee, ndio tulipofikia hapo HahahahahaOnline fee kwa ajili ya somo hilo itahitajika, uko tayari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee kwenye mjadala unataka unilipishe fee, ndio tulipofikia hapo HahahahahaOnline fee kwa ajili ya somo hilo itahitajika, uko tayari?
Huo sio mjadala ni somo.Hee kwenye mjadala unataka unilipishe fee, ndio tulipofikia hapo Hahahahaha
Hapa tunachofanya ni nini? Mkuu, Mjadala au somoHuo sio mjadala ni somo
Kwa Quote hii.Ambacho tunakikataa na hiki cha kutuambia eti huyo punda wenu mnayemuabudu ndiye kaumba kila kitu.
Tunachokifanya hapa ni wewe unanilazimu ni switch kutoka kwenye mjadala kwenda kwenye somoHapa tunachofanya ni nini? Mkuu, Mjadala au somo
Nishakutajia, unataka jibu gani?Kwa Quote hii.
"Ambacho tunakikataa"
Kwenye quote hii, mpaka unakataa inaonekana unajua.
Mimi naomba kujua vitu vyote vimetokeaje? (formation).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitaumana hapo.Itakuwaje maana kila mungu amesema ametuumba wote na kama tusipowafuata tunaenda motoni sasa kama mimi natakiwa kngia motoni kwa imani ya kiislamu ila imani ya yehova natakiwa ingia mbinguni itakuwaje
Asipoelewa hapa, hatoelewa tena.Una uhakika upi kuwa kila mtu anaamini kitu? Mimi siamini kwenye chochote sasa na hapa napata jibu la kuwa wewe ni muongo.
All in all sina tatizo na wanaoamini, we ukitaka amini tu hata punda kuwa ndiye Mungu wako.
Ambacho tunakikataa na hiki cha kutuambia eti huyo punda wenu mnayemuabudu ndiye kaumba kila kitu.
Umesoma lakini nilivyokwambia na muktadha wa coment ya muhusika?
Hilo la mara zote ni mjadala mwingine nasi kiini cha jibu hili kwenye comment ile.
Otherwise naona unaanza kupuyanga tu kama kawaida yenu waabudu Mungu.
Sasa ktk hayo yote yaliyotajwa unaona ni lipi ninaloamini na kwa nini?Nimesoma vizuri tu na hebu tizama alichokiandika: "Uwe unaamin MUNGU YESU, uwe unaamin mababu, uwe unaamini kismati, uwe unaamini kila jumayatu mbaya, sijui nikiwa na demu au mume wa flani dili zinanyoka hamna asiyeamini"
Sasa katika muktadha huo wewe unasema hauamini chochote.
Kwani wewe kuamini kuwa Diamond Platinumz ndiye Baba Mzazi wa Mzee Mwinyi kunafanya kweli Diamond awe ndiye Baba Mzazi wa huyo Rais Mstaafu?Kwa Quote hii.
"Ambacho tunakikataa"
Kwenye quote hii, mpaka unakataa inaonekana unajua.
Mimi naomba kujua vitu vyote vimetokeaje? (formation).
Una uhakika upi kuwa vina formation?Unaponiuliza nina uhakika upi kwamba vilitokea je hivyo vitu vilitokea tu gafla?
Huoni unathibitisha haujui hivyo vitu vilitokeaje.
Wewe ndie nimekuuliza unijibu vimetokeaje? Wewe si unasema hakuna uwepo wa Mungu. Mimi ndio naomba unifahamishe hivyo vitu vimetokeaje.
Au wewe hujui hivyo vitu vimetokeaje?
Viumbe hai - EvolutionKwa Quote hii.
"Ambacho tunakikataa"
Kwenye quote hii, mpaka unakataa inaonekana unajua.
Mimi naomba kujua vitu vyote vimetokeaje? (formation).
Umeuliza hili swali ukiwa na Imani kwamba kila kitu kina chanzo si ndo maana akeKwa Quote hii.
"Ambacho tunakikataa"
Kwenye quote hii, mpaka unakataa inaonekana unajua.
Mimi naomba kujua vitu vyote vimetokeaje? (formation).
Hamna asiyeamini kuwa kuna nguvu isiyoonekanika itendayo.Una uhakika upi kuwa kila mtu anaamini kitu? Mimi siamini kwenye chochote sasa na hapa napata jibu la kuwa wewe ni muongo.
All in all sina tatizo na wanaoamini, we ukitaka amini tu hata punda kuwa ndiye Mungu wako.
Ambacho tunakikataa na hiki cha kutuambia eti huyo punda wenu mnayemuabudu ndiye kaumba kila kitu.
Hiyo nguvu inatenda nini?Hamna asiyeamini kuwa kuna nguvu isiyoonekanika itendayo.
Ni swala la muda tu
Eeeh Mkuu kila kilichopo katika ulimwengu huu tunaoishi kipo limited to time, space and matter, lazima kina formation yake na kiwe kimeundwa na muundaji.Umeuliza hili swali ukiwa na Imani kwamba kila kitu kina chanzo si ndo maana ake
Haya tueleze chanzo cha mungu yeye alitokea wapi
Na kama alikuwepo tu na unakubali bila wasiwasi wowote usione shida pia ukiambiwa na dunia ilikuwepo tu haina chanzo
Kama bado utafiti wa chanzo halisi unaendelea, sasa nakuuliza swali mpaka muda huu unathibitisha kwamba chanzo halisi cha vitu vyote bado hakijulikani?Viumbe hai - Evolution
Ulimwengu (universe) - bado utafiti wa chanzo halisi unaendelea mpaka sasa hivi tuna maelezo ya Big bang ( inaelezea the origin of time, space and matter) tuishi humo kwa mda maana utafiti wa kisayansi unaendelea
Kwasababu chochote kinachoonekana kipo limited to time, space and matter lazima kiwe na formationUna uhakika upi kuwa vina formation?