Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Inaonekana Kiranga ni mtu mmoja ambaye hakuwa na hatia yoyote, Lakini alipitia mambo Fulani magumu, Wakristo mnayaita majaribu, Kuanzia hiyo siku hadi sasa kapoteza Imani kwa mungu,, Unajua duniani watu wanapitia shida tofauti tofauti, Anyway sio kosa la Kiranga kutokumuamini Mungu Ila ni mazingira aliyopitia
Kweli kabisa
 
Inaonekana Kiranga ni mtu mmoja ambaye hakuwa na hatia yoyote, Lakini alipitia mambo Fulani magumu, Wakristo mnayaita majaribu, Kuanzia hiyo siku hadi sasa kapoteza Imani kwa mungu,, Unajua duniani watu wanapitia shida tofauti tofauti, Anyway sio kosa la Kiranga kutokumuamini Mungu Ila ni mazingira aliyopitia
Speculation.

Mambo magumu gani, umejuaje, unaweza kuthibitishaje hilo?

Mimi napinga uwepo wa Mungu kwa kuangalia logical fallacies na contradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.

Si kwa sababu ya matatizo ya maisha.

Kama tunaangalia matatizo ya maisha, kwa maana ya kwamba maisha mazuri kwangu binafsi yameletwa na Mungu nilitakiwa kumkubali sana Mungu.

Kwa sababu. Nimepata neema tangu nipo tumboni mwa mama yangu.

Nimeanza kutembea corridors za Ikulu ya Nyerere Tanzania tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu. Nimekula ma apple ya Mama Joan Wicken.

Nimepelekwa shule na Chauffeur driven Range Rover Classic Vogue 4.0. na Landcruiser VX, Mercedes Benz, Pajero Intercooler Turbo among other luxury SUVs.Nimekaa na kukulia mitaa ya washefa Tanzania, nimeenda kusoma New York City Marekani, nikafanya kazi Wall St. na washefa wa dunia, weekend tunaenda Reykjavik. Just for the weekend. Nina biashara nzuri tu za kupoteza $25,000 kwa siku, na kuzirudisha maradufu. Naendesha ndinga kali, nabadilisha Beemers kama miwani, nina kila kitu Mtanzania wa kawaida anachokitafuta.

Tena nimewapa shavu machizi wangu wako poa, na wakiwa na shida wanajua napiga tafu sana tu. Wengine wako hapahapa JF hata sikuwajua kivile tumetick tu tumesaidiana.

Mimi nimeondoka kwenye shida ndogondogo kabla sijazaliwa, nafikiria nasaidiaje wengine wasiwe na shida.

Zaidi, hata nikivipoteza vyote hivi leo, nina uwezo mkubwa sana wa kuishi maisha simple tu bila kuwa na msongo mkubwa sana wa mawazo.

Kama ningekuwa mtu wa kuangalia shida na raha za maisha, nilitakiwa niwe namshukuru Mungu kila siku.

Sipingi uwepo wa Mungu kwa kuangalia maisha yangu binafsi. Napinga kwa kuangalia logical fallacies and contradictions in the basic tenets posing the existence of God.

Ukiacha mambo ya kawaida siwezi kusema nimepitia matatizo.

Naomba uache kufanya speculations kwenye maisha yangu.

Kama una swali, uliza.
 
M/mungu atujaalie tuwe miongoni mwa watakao kuwa wamefaulu siku ya mwisho....Amin

Screenshot_20220123-080738.png
 
Speculation.

Mambo magumu gani, umejuaje, unaweza kuthibitishaje hilo?

Mimi napinga uwepo wa Mungu kwa kuangalia logical fallacies na contradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.

Si kwa sababu ya matatizo ya maisha.

Kama tunaangalia matatizo ya maisha, nilitakiwa kumkubali sana Mungu.

Kwa sababu.

Nimeanza kutembea corridors za Ikulu ya Tanzania tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu.

Nimepelekwa shule na Chauffeur driven Range Rover Classic Vogue 4.0. na Landcriser VX, Mercedes Benz, Pajero Intercooler Turbo among other luxury SUVs.Nimekaa na kukulia mitaa ya washefa Tanzania, nimeenda kusoma New York City Marekani, nikafanya kazi Wall St. Nina biashara nzuri tu za kupoteza $25,000 kwa siku, na kuzirudisha maradufu. Naendesha ndinga kali, nina kila kitu Mtanzania wa kawaida anachokitafuta.

Zaidi, hata nikivipoteza vyote hivi leo, nina uwezo mkubwa sana wa kuishi maisha simple tu bila kuwa na msongo mkubwa sana wa mawazo.

Kama ningekuwa mtu wa kuangalia shida na raha za maisha, nilitakiwa niwe namshukuru Mungu kila siku.

Sipingi uwepo wa Mungu kwa kuangalia maisha yangu binafsi. Napinga kwa kuangalia logical fallacies and contradictions in the basic tenets posing the existence of God.

Ukiacha mambo ya kawaida siwezi kusema nimepitia matatizo.

Naomba uache kufanya speculations kwenye maisha yangu.

Kama una swali, uliza.


Wewe Si ndiye yule wakati fulani ulipokuwa chuoni huko Marekani profesa wako wa somo la falsafa alikutunuku A+ grade katika mtihani wa falsafa "nje ya chumba cha mtihani" baada ya kumshushia nondo ukimthibitishia kwamba Mungu hayupo ??!!.
 
Kwani kuna ambaye hataondoka na kuyaacha yote ya dunia?

What kind of logic is this?

Kila nafsi itaonja umauti,

Je! umejiandaaje na kifo ewe kafiri?

 
Kila nafsi itaonja umauti,

Je! umejiandaaje na kifo ewe kafiri?

Katika ulimwengu wa leo wa multiculturalism, ukafiri pekee uliobaki ni wa yule anayemuita mtu wa imani tofauti au asiyeqmini kafiri.

Huo ni ujinga sawa na ubaguzi wa watu weupe kuwaita weusi "nigger".

Ukifuatisha hivyo, hata wewe ni kafir kwa wanaoamini dini tofauti na wasioamini.

Kifo nimejiandaa nacho kwa kuacha empire ya real estate, stocks, bonds na kuishi kwa kukataa uongo wa kuwepo Mungu.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Ndiyo umejibu swali , wewe Una akili?
Elezea kwanza maana ya hilo neno

Maana kuna Genious, Intelligent na Clever

Wewe akili unamaanisha Genious

Akili unamaanisha clever

Akili unamaanisha inteligent

Maana kiswahili hakina maneno ya kutosha
 
Elezea kwanza maana ya hilo neno

Maana kuna Genious, Intelligent na Clever

Wewe akili unamaanisha Genious

Akili unamaanisha clever

Akili unamaanisha inteligent

Maana kiswahili hakina maneno ya kutosha

Kiswahili hukijui ?

Na wewe Una akili au huna ?
 
Kiswahili hukijui ?

Na wewe Una akili au huna ?
Kuwa kichaa sio lazima uokote makopo

Mkuu wewe ni Certified zero brain

Huelewi maana ya logic

Una frustration za maisha, Kama sio Frustration za maisha basi una matatizo ya urithi toka kwa wazazi wako

Huna tofauti na lile kundi linalosali kwa Gwajima na Mwamposa
 
Kuwa kichaa sio lazima uokote makopo

Mkuu wewe ni Certified zero brain

Huelewi maana ya logic

Una frustration za maisha, Kama sio Frustration za maisha basi una matatizo ya urithi toka kwa wazazi wako

Huna tofauti na lile kundi linalosali kwa Gwajima na Mwamposa

Sijauliza ukichaa wala intelligent wala mtungo wako

Swali Una akili au huna ?
Haya lete mtungo mwengine
 
Back
Top Bottom