Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Naam.

Nakuelewa mkuu.

Mtu anauliza logical non sequitur, halafu hata hajui logical non sequitur ni nini.

Kujadiliana naye ni kushusha chini viwango vya mjadala.

Naomba kujiondoa hapa nisiendelee kujadiliana na watu ambao hawajafikia viwango vya kufanya nao mjadala.

Amateur hour is over.
Nakubaliana na wewe

Watu wengi hawawezi kuhimili mijadala hapa JF

Uwezo wa watanzania wengi kuhoji mambo ni mdogo sana sana

logic na reasoning watu hawana, Wanapelekwa kama Mbuzi hivi, Yaani mbuzi mmoja akivuka barabara na wao wote wanavuka bila kuangalia

Wanaongelea imani wasizozifahamu, Ukiwauliza maswali magumu kuwa Gwajima au kibwetere anawapotosha watakujibu usimguse Baba yetu Gwajima

Angalia mtu anaenda kujitoa mhanga kwa kujilipua Halafu anayemshauri Yeye anakula bata na maisha hataki kujitoa mhanga, Ukiwahoji utasikia kitabu chetu kimeshushwa

Mkuu achana na watu ambao hapa JF hawawezi kujibu hoja

Logic na reasoning wanaweza watu wachache, Ni ngumu mtu mwenye reasoning na logic kupelekeshwa pelekeshwa bila kuhoji

Hapa Tanzania elimu ni duni na dhaifu ndio maana watoto wa shule za kata hawana confidence mbele za wale wanasoma Kiingereza vizuri

Angalia hata watu wazima hawajiamini hapa Tanzania, Ukileta mkataba kwa lugha ya Kiingereza tu utasikia Yes yes no problem, no problem

No problem kumbe hawezi kujieleza anaona bora yaishe

Tanzania logic na reasoning watu wengi hawana uwezo
 
Napenda sana kujadili mambo makubwa kama haya.hata mm pia naamini hakuna i
Uchawi
 
Nauza dawa ya Chango kwa wanawake na ngiri kwa wanaume dawa yet no mchanganyiko wa dawa 12 kutoka milima ya usambara dawa hi inatibu matatizo yafuatayo

Kuumwa miguu na mgongo
Kuvimba miguu na miguu kuwaka Moto
Kuwahi kileleni kwa wanaume na kuchelewa kileleni kwa wanawake
Kuongeza utelezi hivyo kufurahi tendo la ndoa kwa wanawake

Inatibu kuwahi kupata hedhi au kuchelewa kupata hedhi. Inatibu pia matatizo ya uzazi na kuongeza hamu ya kula kwa wale wasiopenda kula

Dawa zetu zinapatikana Soni Lushoto kwa Mzee Chakua Chakua na unaweza kutumia kwa basi la Kiluwa kwa wakazi wa Dar na kwa Arusha na Moshi tutatuma kwa Kibomboi

Dawa zetu zimesaidia wengi na hazina uhusiano wowote na matambiko walamizimu

Mawasiliano
bonifacekcharles@gmail.com
0624109061
0676780419
Dawa zetu zinapatikana Kila siku lakin zinatumwa kwa njia ya mabasi siku ya jumatano jumamosi na jumatatu


Unataka kutuambia wanaopinga uwepo wa Mungu wanasumbuliwa na Chango na Ngiri??!!
 
Kwa sababu.

Nimeanza kutembea corridors za Ikulu ya Tanzania tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu.


Kweli wewe ni extraordinary person, ulianza kutembea katika corridors za ikulu tangu ukiwa tumboni??!---- ilikuje, ulikuwa unatoka tumboni na kutembea kisha unarudi tumboni au ilikuwa vipi??!🤣
 
Katika ulimwengu wa leo wa multiculturalism, ukafiri pekee uliobaki ni wa yule anayemuita mtu wa imani tofauti au asiyeqmini kafiri.

Huo ni ujinga sawa na ubaguzi wa watu weupe kuwaita weusi "nigger".

Ukifuatisha hivyo, hata wewe ni kafir kwa wanaoamini dini tofauti na wasioamini.

Kifo nimejiandaa nacho kwa kuacha empire ya real estate, stocks, bonds na kuishi kwa kukataa uongo wa kuwepo Mungu.

Hujathibitisha Mungu yupo.

UKAFIRI KILUGHA NA KISHERIA​



2.1 UKAFIRI KILUGHA:
Ukafiri -kiasili- ni neno la lugha ya kiarabu, na maana yake ni kuficha na kusitiri, na ukafiri pia ni kinyume na Imani, basi usiku katika lugha ya kiarabu -ambayo ndiyo asili ya neno hili- unaitwa kafiri kwa sababu ya kuficha kwake, na ukafiri pia ni kuzipinga neema, nako ndiko kuzikufuru neema, kutokana na hapa, neno ukafiri lina maana pana sana kilugha, ingawa baadhi ya maana zake hazitumiki kwa sababu ya kuzoeleka maana za kisheria katrika Jamii.
2.2 UKAFIRI KISHERIA:
Ukafiri kisheria ni kuasi kwa kosa kubwa lolote; kwa maana hiyo makosa makubwa yote ni ukafiri kwa mujibu wa sheria ya Allah mtukufu, basi ukafiri huu kiaina umegawika kwa mujibu wa vigawanyo vya madhambi makubwa kisheria, na madhambi makubwa kisheria yamegawika katika vigao viwili vikuu, navyo ni:
a. Madhambi makubwa ya kishirikina.
b. Madhambi makubwa yasiyokuwa ya kishirikina.
Basi vile vile ukafiri umegawika katika vigao hivi viwili vikuu navyo ni:-
2.2.1 UKAFIRI WA KISHIRKINA.
Ukafiri wa kishirkina ni ukafiri unaohusika na madhambi ya kishirkina tu, na madhambi hayo yamegawika sehemu mbili kubwa, nazo ni:
2.2.1.1 Madhambi ya kumfanyia Allah msawa.
Ushirikina huu anasifika nao mwenye kukubali kuwepo uungu, kwa hiyo mshirikina aliyemo katika ushirkina huu anakua ni mwenye dini, lakini amekosea katika ibada ya kumuabudu mungu wa haki -Allah mtukufu- kwa kumfanyia Allah msawa katika ibada au hukumu, na kwa hiyo basi ushirikina huu pia umegawika sehemu mbili:
2.2.1.1.1 Ushirikina kwa kujifanyia chengine kuwa katika daraja ya uungu kiibada, kwa kukiabudu pasina Allah mtukufu au pamoja na Allah mtukufu kwa kukishirikisha katika ibada ya Allah mtukufu, kama kuabudia masanamu au watu au wafu au mawalii au makaburi au mito au mizimu au miti au mapango au jini au jua au mwezi n.k.
2.2.1.1.2 Ushirkina kwa kukifanya chengine kuwa katika daraja ya uungu katika hukumu za Allah mtukufu, basi kikapelekea hicho kuhalalisha alichoharamisha Allah mtukufu, au kuharamisha alichohalalisha Allah mtukufu, au kupinga kuhumu zake Allah mtukufu.
2.2.1.2 Kumkataa Allah mtukufu.
Huu ni ushirikina wa kupinga kuwepo kwa Muumba, na kwa maana hiyo aliyemo katika ushirkina huu huwa hakubali kuwemo katika ibada maalumu, wala hazikubali sheria ya dini yoyote katika maisha yake.
Pia huingia katika ushirikina huu mwenye kupinga kuhumu za Allah mtukufu.
2.2.2 UKAFIRI USIO WA KISHIRKINA.
Ukafiri huu anahusika nao muislamu, kwa hiyo mwenye kuwemo ndani yake si Mshirikina, bali atabakia kuwa ni Muwahhidi mwenye kukiri dini ya Uislamu katika nafsi yake, lakini yeye amekua kafiri kwa kuwepo katika asi kubwa lolote miongoni mwa maasi ya Allah mtukufu bila ya kuhalalisha asi hilo; kwani akifikia hali ya kuhalalisha asi lake atakuwa ameingia katika ukafiri wa kishirkina wa kumfanyia Allah msawa katika hukumu zake.
Ukafiri huu umeitwa katika Ibadhi kwa jina ukafiri wa neema kwa kuzingatia kuwa Dini ya Uislamu ni neema ya Allah mtukufu naye ameisifu hivyo pale aliposema:
((Leo nimekukamilishieni dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimeridhia kwenu uislamu kuwa ndio dini))
[Maaidah 3].
Pia wanavyuoni wetu wa Magharibi wameuita ukafiri huu kwa jina la ukafiri wa kinafiki kwa kuzingatia hali ya aliyejitosa ndani yake; kwani hakika yeye yumo katika hali ya Unafiki ikiwa tu hajatubia kwa Allah mtukufu kutokana na asi lake kubwa alilolivaa.
Elezea kwanza maana ya hilo neno

Maana kuna Genious, Intelligent na Clever

Wewe akili unamaanisha Genious

Akili unamaanisha clever

Akili unamaanisha inteligent

Maana kiswahili hakina maneno ya kutosha
Mtoto wa miaka 3 ukimuuliza una akili jibu unalipata papo hapo.
 
Back
Top Bottom