Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Sasa njoo kwa Id ya mwanzo ujibu swaliAkili ndefu inapimwa kwa meter au centimeter au Kilogram au gram? na Akili fupi inapimwa kwa ampere, watt au volts?
Wewe Una akili ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa njoo kwa Id ya mwanzo ujibu swaliAkili ndefu inapimwa kwa meter au centimeter au Kilogram au gram? na Akili fupi inapimwa kwa ampere, watt au volts?
Nakubaliana na weweNaam.
Nakuelewa mkuu.
Mtu anauliza logical non sequitur, halafu hata hajui logical non sequitur ni nini.
Kujadiliana naye ni kushusha chini viwango vya mjadala.
Naomba kujiondoa hapa nisiendelee kujadiliana na watu ambao hawajafikia viwango vya kufanya nao mjadala.
Amateur hour is over.
Huna akiliSasa njoo kwa Id ya mwanzo ujibu swali
Wewe Una akili ?
Huna akiliWewe akili ipi uliyonayo ?
Huna akili
Ndugu yangu jibu swali kama hauna majibu kuhusu uwepo wa mungu kaa kimia.na ifahamike unacho amini wewe si lazima wengine waaminiAliyekwambia vimetokea tokea nani? Kwa nini usimuulize huyo iwapo alikwambia vimetokea tokea?
Nauza dawa ya Chango kwa wanawake na ngiri kwa wanaume dawa yet no mchanganyiko wa dawa 12 kutoka milima ya usambara dawa hi inatibu matatizo yafuatayo
Kuumwa miguu na mgongo
Kuvimba miguu na miguu kuwaka Moto
Kuwahi kileleni kwa wanaume na kuchelewa kileleni kwa wanawake
Kuongeza utelezi hivyo kufurahi tendo la ndoa kwa wanawake
Inatibu kuwahi kupata hedhi au kuchelewa kupata hedhi. Inatibu pia matatizo ya uzazi na kuongeza hamu ya kula kwa wale wasiopenda kula
Dawa zetu zinapatikana Soni Lushoto kwa Mzee Chakua Chakua na unaweza kutumia kwa basi la Kiluwa kwa wakazi wa Dar na kwa Arusha na Moshi tutatuma kwa Kibomboi
Dawa zetu zimesaidia wengi na hazina uhusiano wowote na matambiko walamizimu
Mawasiliano
bonifacekcharles@gmail.com
0624109061
0676780419
Dawa zetu zinapatikana Kila siku lakin zinatumwa kwa njia ya mabasi siku ya jumatano jumamosi na jumatatu
Kwa sababu.
Nimeanza kutembea corridors za Ikulu ya Tanzania tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu.
Alikuwa anasali Parokia ya wapi au ya Mtakatifu nani
HatariiiLabda Mirembe
mbona personal attacks?Na wala hutoandika hapa kuwa ulizibuliwa Na Mapadri. Hiyo endelea kuifanya siri yako Na endelea Na hasira zako kwa Mungu
mbona personal attacks?
Katika ulimwengu wa leo wa multiculturalism, ukafiri pekee uliobaki ni wa yule anayemuita mtu wa imani tofauti au asiyeqmini kafiri.
Huo ni ujinga sawa na ubaguzi wa watu weupe kuwaita weusi "nigger".
Ukifuatisha hivyo, hata wewe ni kafir kwa wanaoamini dini tofauti na wasioamini.
Kifo nimejiandaa nacho kwa kuacha empire ya real estate, stocks, bonds na kuishi kwa kukataa uongo wa kuwepo Mungu.
Hujathibitisha Mungu yupo.
Mtoto wa miaka 3 ukimuuliza una akili jibu unalipata papo hapo.Elezea kwanza maana ya hilo neno
Maana kuna Genious, Intelligent na Clever
Wewe akili unamaanisha Genious
Akili unamaanisha clever
Akili unamaanisha inteligent
Maana kiswahili hakina maneno ya kutosha
Kwako wewe Mungu ni nini? Una uhakika upi kwamba yupo? Unaweza kuthibitisha?Ndugu yangu jibu swali kama hauna majibu kuhusu uwepo wa mungu kaa kimia.na ifahamike unacho amini wewe si lazima wengine waamini