Wewe unaongelea neno, mimi naongelea dhana.Naongela asili ya tamko "Sadaka", usiniulize swali hilo, halipo katika msingi wa tamko, bali limekuja kuelezea kwa lugha ya kiingereza. Elewa nilichokiandika.
Waulize wenye tamko lao "Sadaka" wanalofasili vipi.
Kiranga kazaliwa na kakuta watu wana hiyo imani ya kuamini hakuna Mungu na yeye akafuata hiyo imani.
Hapo bila ya shaka utakuwa unachanganya mambo ya ukristo na imani nzima ya uwepo wa Mungu, kuna vitu ambavyo ulitakiwa uhitaji ufafanuzi kwenye ukristo ila wengi mnaishia kutilia mashaka imani ya uwepo wa Mungu na wengine huitimisha hakuna Mungu kabisa kwa mashaka yenye kuhusiana na ukristo.Bwana hili swala la Mungu kwakwel ni jambo ambalo lina utata mwingi sana kwa ninayoyaona mimi au kupitia kuna muda napata mashaka sana juu ya uwepo wake ingawa nimezaliwa kwene ukisto
Hapo bila ya shaka utakuwa unachanganya mambo ya ukristo na imani nzima ya uwepo wa Mungu, kuna vitu ambavyo ulitakiwa uhitaji ufafanuzi kwenye ukristo ila wengi mnaishia kutilia mashaka imani ya uwepo wa Mungu na wengine huitimisha hakuna Mungu kabisa kwa mashaka yenye kuhusiana na ukristo.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.No mkuu unajua ninaposema kuwa nina mashaka uwepo wake ni pale anapo kuwa hajibu maombi kwa wakati
Sasa ukisema hajibu maombi kwa wakati maana yake anajibu maombi ila kwa kuchelewa.No mkuu unajua ninaposema kuwa nina mashaka uwepo wake ni pale anapo kuwa hajibu maombi kwa wakati
Wewe huwa unaropoka tu mtu ambaye unaona hata haya majadiliano yasingekuwepo et kama Mungu angekuwepo, sasa mtu kama wewe si unachosha watu tu humu.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, hata usingehitaji kumuomba lolote.
Angekupatia unachoomba kabla ya kumuomba, usingekuwa na haja ya kuomba.
Ukiona una haja ya kumuomba Mungu huyo chochote, huo ni ushahidi kwamba hayupo.
Sawa sawa kumbe dhana ya sadaka inatofautiana sana maana kwa wengine sadaka ni kujitoa kwaajili ya watu wenye mahitaji maalumu ya kile ulichokitoa/ unachokitoa sio lazima kuwe na matarajio ya majibu flani kutokana na sadaka yako.Sadaka ni matoleo yanayofanywa kukiwa na matarajio ya kupata majibu fulani kutoka katika ulimwengu wa roho.
Ni lazima pawepo na madhabahu inayopokea hiyo sadaka ikiwa inaunganisha mungu anayemiliki hiyo madhabahu na huyo mtoaji.
Mawasiliano kati ya ulimwengu huu yabisi na ulimwengu wa roho unafanywa kupitia madhabahu. Ni lazima sadaka iwekwe kwenye madhabahu ili kupata majibu ya yale matarajio.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, hata usingehitaji kumuomba lolote.
Angekupatia unachoomba kabla ya kumuomba, usingekuwa na haja ya kuomba.
Ukiona una haja ya kumuomba Mungu huyo chochote, huo ni ushahidi kwamba hayupo.
Sasa ukisema hajibu maombi kwa wakati maana yake anajibu maombi ila kwa kuchelewa.
Ikiwa vilivyo complex na vinavyoonekana kuwa na mpangilio ni lazima viwe vimeumbwa, hilo linathibitisha Mungu muumba wa vyote hawezi kuwepo.Kuna namna ambayo naweza kusema yupo sabab ya uumbaji au mpangilio wote wa mwanadamu na mazingira ya dunia kutokea ila sasa nahisi ameuacha ulimwengu ujitesekee wenyewe thus y anakua kama hayupo tu au nipo wrong mr kiranga
Mungu yupo. Anafanya mambo kama apendavyo kwasababu anamiliki kila kitu katika ulimwengu wote.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, hata usingehitaji kumuomba lolote.
Angekupatia unachoomba kabla ya kumuomba, usingekuwa na haja ya kuomba.
Ukiona una haja ya kumuomba Mungu huyo chochote, huo ni ushahidi kwamba hayupo.
Huo ni msaada, sio sadaka.Sawa sawa kumbe dhana ya sadaka inatofautiana sana maana kwa wengine sadaka ni kujitoa kwaajili ya watu wenye mahitaji maalumu ya kile ulichokitoa/ unachokitoa sio lazima kuwe na matarajio ya majibu flani kutokana na sadaka yako.
Mtoto wako wa miaka mitatu anapotaka umwache akacheze peke yake huko barabarani na ukamzuia inamaana humpendi? Jibu ni hapana. Unaona hatari zilizopo na unamuepusha. Ndivyo ilivyo kwa Mungu. Wakati mwingine anazuia mambo tunayoona ni mazuri kwasababu yeye anajua mwisho wa kila kitu.No mkuu unajua ninaposema kuwa nina mashaka uwepo wake ni pale anapo kuwa hajibu maombi kwa wakati
Hujathibitisha Mungu yupo.Mungu yupo. Anafanya mambo kama apendavyo kwasababu anamiliki kila kitu katika ulimwengu wote.
Maombi yanafanyika kwasababu Mungu alimpa mwanadamu utawala wa dunia. Mamlaka ya mambo yote alimwachia mwanadamu.
Mwanadamu alipoasi na kufuata maagizo ya shetani ndipo alipopoteza uzuri wa hii dunia. Mabaya yote unayoyaona yamesababishwa na distortion katika asili ya kila kitu.
Sasa maombi ndio yanatumika kutafuta msaada wa Mungu kukabiliana na mabaya ya duniani.
Mungu ameweka nyakati na majira. Mwisho atauondoa uovu wote.
Kila mwanadamu ndani yake anafahamu kuwa yupo Mungu. Tofauti inakuwa namna tunavyomtafuta na kuhusiana naye.Hapo bila ya shaka utakuwa unachanganya mambo ya ukristo na imani nzima ya uwepo wa Mungu, kuna vitu ambavyo ulitakiwa uhitaji ufafanuzi kwenye ukristo ila wengi mnaishia kutilia mashaka imani ya uwepo wa Mungu na wengine huitimisha hakuna Mungu kabisa kwa mashaka yenye kuhusiana na ukristo.
Mtoto wako wa miaka mitatu anapotaka umwache akacheze peke yake huko barabarani na ukamzuia inamaana humpendi? Jibu ni hapana. Unaona hatari zilizopo na unamuepusha. Ndivyo ilivyo kwa Mungu. Wakati mwingine anazuia mambo tunayoona ni mazuri kwasababu yeye anajua mwisho wa kila kitu.
Wewe unajuaje kila mwanadamu anavyofahamu?Kila mwanadamu ndani yake anafahamu kuwa yupo Mungu. Tofauti inakuwa namna tunavyomtafuta na kuhusiana naye.
Umeongea vizuri. Majibu yakiwa na mashaka katika dini watu wanakimbilia kusema hayupo.
Mungu sio complex. Hili umelitoa wapi ikiwa Mungu hayupo?Ikiwa vilivyo complex na vinavyoonekana kuwa na mpangilio ni lazima viwe vimeumbwa, hilo linathibitisha Mungu muumba wa vyote hawezi kuwepo.
Kwa sababu, hata yeye, ambaye ni complex pia, atahitaji muumbaji wake.
Unaelewa hilo?