Kirumba, Mwanza: Mbao 2-0 Yanga, Yanga yapokea kichapo Cha kwanza na kudondokea nafasi ya nne

Kirumba, Mwanza: Mbao 2-0 Yanga, Yanga yapokea kichapo Cha kwanza na kudondokea nafasi ya nne

Wakati Simba ikijipigia Ndanda, Mbao Fc nao wanajipigia tu Yanga kila msimu.
 
mbao kuna mjinga ametolewa kwa default 2 yellows
 
Chozi limenitoka yaani hii team Sijui imekula maharagwe ya wapi...... Jaman yanga kwa nini lakini daaaaah[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Na kama kawaida Refa keshawapunguzia mzigo, Mbao wamebaki kumi.
 
Yanga pamoja na kwenda kwa Ndege bado wamelambishwa mchanga!!!!.......hatariiiii
 
Back
Top Bottom