Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Huwa tunasema Yanga si timu ya ushindani. Hizo mbao tutazipasua kama karatasi.
 
Mkuuu pole bhana
Jamani eeeeh,asiyekubali kushindwa si mshindani.
Nimekubali tumeshindwa,tumejaribu lakini bahati haikuwa yetu maana hata goli tumejifunga wenyewe.

Hongereni mbao,am out.
 

Mkuu naomba matokeo
 
ha ha haha hq ha
 
Jamani eeeeh,asiyekubali kushindwa si mshindani.
Nimekubali tumeshindwa,tumejaribu lakini bahati haikuwa yetu maana hata goli tumejifunga wenyewe.

Hongereni mbao,am out.
Mmecheza ovyo mkuu...
 
Jamani eeeeh,asiyekubali kushindwa si mshindani.
Nimekubali tumeshindwa,tumejaribu lakini bahati haikuwa yetu maana hata goli tumejifunga wenyewe.

Hongereni mbao,am out.
Pole sana shemeji duuh..! Mimi soka la bongo lilisha nishinda kitambo. Nafurahia hapa ushindi wa 3-0 wa chelsea yangu jeshi langu la blue.[emoji125][emoji460] [emoji125] [emoji460] [emoji125] [emoji460]
 
Poor tff

Hatupangiwi

Tunamipango yetu..na tulipanga mapema tu haya..kunamtu hutakiwi apande ndege[emoji13] [emoji13] [emoji13]

Cc nifah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…