Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

mikia imenyanyuka leo, mnatoa mapovu meng mnatamani wa kimataifa wateleze ili mpate mteremko!
 
Shuti kali la Godfrey Mwashuiya limegomba mwamba...daaaaah!
 
Mbao FC bhana.
Hivi finali inakuwa Simba na Mbao kweli!!
Mbao acheni utoto huo bhana.
Anyways, it's not yet over until it's over.
 
Jibu mubashara. Msimamo muhimu sana.
Sasa ulitegemea nikujibu nini? Siwezi kumuona mtu hana maana kisa hashabikii timu ninayoishabikia mimi,ni zaidi ya uwendawazimu.
 
Back
Top Bottom