Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Muzee baba free JF ipo mbona uliza uambiwe na bado JF haijafa. Hebu ondoka tuone itakavyokufwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
dogo !sisi ndio wadau wakubwa mpaka tumepewa vyeo humu jf kitambo na sisi ndio tunawaweka mjini mwenyekiti wetu alipewa kesi kwa sababu yetu nakupata tunzo marekani kwa sababu ya sisi na bila sisi wewe na watoto wezio msingeijui sasa tunapona mapungufu na uijinga maotuletea lazima tuseme . na sisi tukitoka humu jf inakufa kifo cha mende na mwenyekiti ataifanya free jf kama huko fb yenu ya bure sawa dogo na waambie watoto wezenu kwamba sasa hivi mkitoa hoja pumba inapigwa rungu hatutaki utoto sisi
 
Wewe jamaa umejiunga 2014 the same year kama sisi wengine umeshaanza kujipa vyeo na misifa ya kijinga humu unajifananisha na kina Nyani Ngabu humu ambao ni kati ya member 20 was mwanzo waliojiunga na Jf enzi hizo 2006 inaitwa Jambo Forums kipindi hicho sijui ulikua unasoma darasa LA ngapi sijui..,.lakini nawe eti unajifanya mkongwe unamuona nyani Ngabu ni Kilaza ikiwa yeye alijiunga Jf enzi hizo hakuna Freebasics wala Smartphone..kweli una mavi kichwani wewe
Mzee anachimba biti, yeye ndiyo anayeiweka JF mjini, akitoka JF inakufa kifo cha mende....
Mello kuna silent partner, promoter, donor wa JF huku 😀 .

Raha ya JF, kujimwambafai kwa vidole gumba..

Everyday is Saturday......................😎
 
Ndugu yangu, hofu haijajitengeneza, imekuja baada ya matokeo yatokanayo na huyo Virus, so you want people to ignore the existence of this epidemic disease? Ni sahihi kuwa na hofu na kuchukua hatua kama inavyofanyika,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani takwimu zinasemaje hadi hivi tunavyoongea?
Nani anaua watu wengi kwa siku au kwa dakika?
Malaria ?
Saratani
Corona
Kisukari
Kujinyonga
Ajali
Ukimwi?
Etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dogo !sisi ndio wadau wakubwa mpaka tumepewa vyeo humu jf kitambo na sisi ndio tunawaweka mjini mwenyekiti wetu alipewa kesi kwa sababu yetu nakupata tunzo marekani kwa sababu ya sisi na bila sisi wewe na watoto wezio msingeijui sasa tunapona mapungufu na uijinga maotuletea lazima tuseme . na sisi tukitoka humu jf inakufa kifo cha mende na mwenyekiti ataifanya free jf kama huko fb yenu ya bure sawa dogo na waambie watoto wezenu kwamba sasa hivi mkitoa hoja pumba inapigwa rungu hatutaki utoto sisi
Haya ndio madhara ya uoga juu ya kirusi cha Corona alichosema mtoa mada, watu wana hamaki, mpaka akili inashindwa kufanya kazi vizuri wanatwangana makonde kugombea toilet papers na wewe unapandisha jazba mpaka unapitiliza yaan wewe ndio unamuweka Max mjini na wewe ukitoka basi jf inakufa hahaha,

Bro sema nini, hivyo virus wala haviui, ukijisikia tu hali ya mafua wewe vuta ugoro chafya zako tatu tu kirusi kimeruka chini unaendelea na shughuli zako.
 
Ni kweli kabisa watu wengi watakufa kwa hofu sio Corona. Niwaambie kitu inawezekana Corona virus ipo Tanzania siku nyingi na wote tunayo lakini tuliijua kama mafua sasa atakayeambiwa anayo chini.

Tulizeni akiri tuone nini tuanze nacho kama ni mask[emoji83] au dawa. Tuliambiwa Tanzania haina uwezo wa kutibu Corona ispokua kuzuia lakini sasa naona ata kuzuia tumeshindwa alafu waziri anaendelea kukalia kiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa watu wengi watakufa kwa hofu sio Corona. Niwaambie kitu inawezekana Corona virus ipo Tanzania siku nyingi na wote tunayo lakini tuliijua kama mafua sasa atakayeambiwa anayo chini.

Tulizeni akiri tuone nini tuanze nacho kama ni mask[emoji83] au dawa. Tuliambiwa Tanzania haina uwezo wa kutibu Corona ispokua kuzuia lakini sasa naona ata kuzuia tumeshindwa alafu waziri anaendelea kukalia kiti.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna tiba ya Corona.

Corona ipo kama mafua na influenza.

Ukiipata itaisha tu yenyewe.

Watu wengi huwa hawajui kwamba mafua hayana tiba.

Dawa zilizopo huwa ni za kumpa mtu afueni kwa kupunguza makali ya dalili zake [kukohoa, kupiga chafya, homa, na kadhalika].

Na kwa vile dalili za mafua, flu, na corona ndo zilezile, nahisi kutakuwepo na ‘misdiagnosis’ nyingi sana.

Sasa hivi mtu hata ukipata mafua tu ya kawaida, itasemwa kuwa una corona.
 
wewe ni mbwa koko tufautisha hoja za facebook , instagram na jamiiforum ,twitter ndio utajua nini na maanisha alafu jiulize tena kwa nini facebook wamewaka free data
Aisee kufikiahapa ndipo nimegundua hujui hata unalosema, yani unataka kusema FB wameweka free data kisa ni ya watoto. Mkuu nachelea kusema hauna akili wala ujualo kama unavyodhani
 
Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona.

Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni.

Eti yote hayo ni kwa sababu watu wanakiogopa hicho kirusi cha Corona.

Mimi kirusi cha Corona sikiogopi. Kama malaria haikuwahi kuniua, kama kipindupindu nilikistahimili, nini Corona bana?

Kwa nilichokiona, kirusi pekee kinachotisha sasa hivi ni kirusi cha uoga/ hofu.

Uoga/ hofu hii ndo inayofanya maisha yasimame. Ndo inayofanya watu wanunue na kuhodhi makaratasi ya chooni kupelekea hadi kurushiana ngumi.

Hofu hii imewatoa kabisa akili watu. Watu hawafikiri kabisa kwa kutumia akili. Wanatenda kwa kufuata hofu.

Hofu isiyo na akili [irrational fear] ndiye kirusi wa kuogopwa kushinda hata ukoma.

Mshinde huyo kirusi wa uoga/hofu.
Nashangaa sana hawa wazungu walivyo waoga wananunua mikate,toilet paper ect wnaweka stock wakati kunakirusi kinaitwa sars Virus iliua sana watu kuliko Corona
 
jamii forum imekufa jamii forum ya sasa sio ya mwaka 2012,13 ,14,15 mwanzoni jf ya sasa imevamiwa na watoto wa dogo wa facebook na instagram mtoto mdogo anatoa hoja ya kishamba kabisa na alafu wahusika wanauwacha . hiii ni aibu sana kwa wahusika na sisi wadau wa muda mrefu maana bila sisi wadau wa muda mrefu leo hii hawa watoto wadogo wasigeijua jf . hivi wahusika kwann hawa watoto msiwape jukwaa lao . jukwaa la watoto chini ya 18 . kuliko kuja humu wanatuaharibia sana jukwaa linakosa mvuto jukwaa limepoteza ushawishi wada wengine wanatoka wanenda twitter
Nani mtoto hapa?
IMG_20200316_203657.jpg
IMG_20200316_203604.jpg

Tafadhali mtake radhi Ngabu, umemkosea sana.
 
Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona.

Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni.

Eti yote hayo ni kwa sababu watu wanakiogopa hicho kirusi cha Corona.

Mimi kirusi cha Corona sikiogopi. Kama malaria haikuwahi kuniua, kama kipindupindu nilikistahimili, nini Corona bana?

Kwa nilichokiona, kirusi pekee kinachotisha sasa hivi ni kirusi cha uoga/ hofu.

Uoga/ hofu hii ndo inayofanya maisha yasimame. Ndo inayofanya watu wanunue na kuhodhi makaratasi ya chooni kupelekea hadi kurushiana ngumi.

Hofu hii imewatoa kabisa akili watu. Watu hawafikiri kabisa kwa kutumia akili. Wanatenda kwa kufuata hofu.

Hofu isiyo na akili [irrational fear] ndiye kirusi wa kuogopwa kushinda hata ukoma.

Mshinde huyo kirusi wa uoga/hofu.
Tz kuna virusi vinaitwa policcm

Hivyo ni hatari kuliko hata virus vya corona
 
Wewe kazini waenda?
Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona.

Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni.

Eti yote hayo ni kwa sababu watu wanakiogopa hicho kirusi cha Corona.

Mimi kirusi cha Corona sikiogopi. Kama malaria haikuwahi kuniua, kama kipindupindu nilikistahimili, nini Corona bana?

Kwa nilichokiona, kirusi pekee kinachotisha sasa hivi ni kirusi cha uoga/ hofu.

Uoga/ hofu hii ndo inayofanya maisha yasimame. Ndo inayofanya watu wanunue na kuhodhi makaratasi ya chooni kupelekea hadi kurushiana ngumi.

Hofu hii imewatoa kabisa akili watu. Watu hawafikiri kabisa kwa kutumia akili. Wanatenda kwa kufuata hofu.

Hofu isiyo na akili [irrational fear] ndiye kirusi wa kuogopwa kushinda hata ukoma.

Mshinde huyo kirusi wa uoga/hofu.

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Back
Top Bottom