Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Hii movie sio nzuri iko kama ya bashite na kuvamia studio au mambo leo kunywa balimi na mateka wa komando kipens
 
Hadithi za aina hii ndizo zilikuwa zina-trend vijiwe vya zamani enzi za utawala wa Nyerere. Siku hizi ukisimulia unaonekana kama juha hivi. kwani watu wana uelewa mpana.
 
Hii habari niliwahi simuliwa na mwanajeshi mmoja mzee wa makamo lakini sikuamini
 
Ujinga mtupu, Kagame siyo fala kama mtu wenu hapa!
 
Wengi wanabisha ila mm ckubishii mkuu,,,jeshi letu linaweza tena linaweza kwa asilimia mia,,,
Achana na JW,,ni noma sana wale jamaa,,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…