Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Halo JF siasa.

Niende madani hapo juu.

Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.

Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.

Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.

Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.

Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa. Rais kagame hakutaka habari hizi zivuje maana ni aibu kwa nchi huru.


Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........
Uingie mpaka chumbani kwa PK? Acheni utani jamani. Huyo Mr Slim anavyojilinda huyo??/!!!!! Visit Rwanda one day.
 
Naam mimi nakuamini kabisa na niseme kuwa binafsi nakuelewa sana. Jeshi letu ndiyo bora sana Afrika nzima kwa kila kitu. Ndiyo maan Raisi alifanya busara sana kuwaachia JWTZ washughulikie swala la korosho. Namshauri kama akiweza alipe jeshi mamlaka liwashugulikie hawa wapinzani wanaotumiwa na mabeberu, najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.

Jeshi letu ni la wananchi,haliwezi kushiriki upumbavu Hata siku moja! Lina shughulika na migogoro na matatizo ya ukweli, sio kuteka raia wake
 
Jeshi letu ni la wananchi,haliwezi kushiriki upumbavu Hata siku moja! Lina shughulika na migogoro na matatizo ya ukweli, sio kuteka raia wake
Kweli kabisa mkuu, kwasababu kipindi kile cha gesi Mtwara wale waliokuwa wanavamia nyumba za watu na kudhalilisha wanawake walikuwa ni green guard walioiba sare za kijeshi.
 
Uingie mpaka chumbani kwa PK? Acheni utani jamani. Huyo Mr Slim anavyojilinda huyo??/!!!!! Visit Rwanda one day.

Hajawahi kufika Kigali huyo ndio maana anajiongelea kirahisi rahisi tu kumteka PK.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Freed Freed we baba wee! Hili gogo ulilotutwisha kitambo hicho ni zito mno baba tutue tafadhari mkuu!
 
Labda!lakini mi nilishangazwa na makomando wetu wakivunja matofali kwa kichwa na nondo!nikaona ule ni ushamba wa siasa zetu hasa jiwe!!jiwe aliwezaje kuwashawishi kufanya mambo ya ajabu vile?walitia aibu taifa siku ile!!!wangenyesha zana za kisasa na technology ya kupambana na adui!!!JIWE ALIJIMWAMBAFAI KWA KUTUAIBISHA SIKU ILE!!!!
 
Kauzi kafupiiii af bonge la content naamin tu kwani sh ngap ??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
LABDA!Lakini nilihisi aibu siku ile makomando wetu wakivunja tofali kwa kichwa na kupinda nondo!niliona ni udhalilishaji sana!!Adui gani utamvunja kama tofali?kumpinda kama nondo?jiwe anadhalilisha jeshi letu katika zama sayansi na teknolojia yeye akaleta maonyesho ya kijima kabisa!!Kule ni kujimwambafai kijinga!!!
 
Brussels ya mburahati??



[QUOTE="Malcom Lumumba, post: 30661807, member: 94736 najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.[/QUOTE]
 
KAGAME HUYU AMBAYE ANASHINDWA KULALA USINGIZI SAWASAWA KWA KUWAOGOPA WAASI??...
😂😂😂😂😂😂
Mkuu harakati zenu za kumsapoti kachero mbobezi kuchukua fom ya uraisi inaendelea?Mwambie garethbale aendeleze ule uzi wa mzee kikwete alimtuma membe kwa nyerere!!!
 
Back
Top Bottom