Kisa cha Shariff Abdallah Attas na mwalimu Julius Nyerere ofisi ya TANU baada ya uhuru


Shukran Sana kwa facts hizi za historia Ya Tanganyika ambazo are very interesting
Tatizo lako kaka unapotea sana na najua pilika za maisha ni nyingi
Ila ujue kwamba huwa na enjoy sana kusoma michango yako hapa JF
My 2 cents
 
Kuna siku ulihadithiwa uzushi ukauleta huku na badae mhusika alipoukana ukaja kututaka radhi... Kwako lililo jema ni kumsema mwl Nyerere tu kwa mabaya... Kwanin usihangaike kwa wakati uliopo kutoa mambo mazuri, pambana viwanja vya misikiti vinavyotaka kuporwa, pambana na ugaidi na chuki ovu zinazoenezwa katika nyumba za ibada, kwani Iraq, libya na kwingine nani wanafanya mauaji kwa dini zao... Acheni kutumia uhuru wenu vibaya na kufanya JF sehemu ya chuki.
 
Na inasemekana hata huyo Abdulwahid Sykes alipofariki huyo bwana mkubwa hakuwa na mpango wa kuhudhuria mazishi lakini mkewe alimsihi aende kwani isingeleta picha nzuri ndio ikabidi aende tu kama kujitoa kimasomaso.
Na itaendelea kusemekana sana tu...wewe ndio ulikuwa mke wake? Ulikuwepo? Udini ni shida aiseee.
 
Dongo...
Hapana chuki katika ninayoandika hili nina hakika nalo.
Labda wewe hupendezwi tu na haya ninayoandika.

Kuhusu ugaidi nina paper niliwasilisha Chuo Kikuu Cha
Ibadan, Nigeria 2006.

Unaweza kuisoma hap chini:
Mohamed Said: ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT

Hayo mengine ya viwanja nk. bahati mbaya sina ujuzi wa hayo.

Ningefanya JF mahali pa kueneza chuki au kubughudhi na kutukana watu
nadhani siku nyingi ningelikuwa nishafukuzwa.

Watu wengi wanapenda kunisoma fanya uchunguzi utalitambua hili.

Pia nina blog ambayo ni maarufu sana Marekani, Ulaya na Arabuni kiasi
nastaajabu.

Hii si dalili ya mtu anaeandika chuki.
Hata hivyo mimi naelewa hisia zako.

Hakika hii ''corrective history,'' ninayoandika imewafadhaisha watu wengi
sana.

Kuhitimisha ningependa kusema kuwa ule uzushi wa yule ndugu yangu kweli
umenisikitisha mno.

Ningeliweza kukaa kimya nisikuelezeni lakini ningekuwa sina amani katika nafsi
yangu.

Allah atuepusha na watu kama wale.
 
Ahsante sana Mohamed kwani umenikumbusha mbali sana.
 
Ni nani hasa anayeficha historia na ni nani anayetakiwa kuandika historia??
 
Usisahau 'The Drifters wakifanya show show zao goan club na avalon na baadaye wakaja The Rifters[Kina Kingui???]
 
Enzi za akina STALIN,wewe ungeishia Siberia
Jackline1,
Kabla ya kupelekwa Siberia kwanza nimgepitishwa Lubyanka.

Kweli usemayo kalamu yangu ni kali na mimi ni mtu huru sina
ufungamano na upande wowote.

Stalin alipokufa daktari wake akaambiwa athibitishe kifo.

Daktari aliogopa akasema wasubiri kwanza asije Stalin
akaamka yakamkuta makubwa.

Ikiwa unapenda mambo haya soma kitabu hiki, Khrushchev
Remembers
, memoirs zake kaandika mwenyewe.

Pia angaia movie hii, ''The Tamarind Seed,'' Omar Sharif na
Julie Andrews...

Kuna mengi utajifunza.
 
Usisahau 'The Drifters wakifanya show show zao goan club na avalon na baadaye wakaja The Rifters[Kina Kingui???]
Abunuwas,
Nina picha niko na Adam Kingui na Rifters...
Namkumbuka rafiki yangu Adam (Allah amrehemu)...

Alikuwa akipiga guitar moja katika nyimbo ya Wilson Picket,
''A Man and a Half,'' guitar anapiga Bobby Womack...

Sijui Bobby Womack angemsikia Adam anavyomuiga upigaji wake
angesema kitu gani.

Adam alikuwa na kipaji.

Akicheza mpira Fulham United club ya Kipata karibu na nyumbani
kwao half back six, akicheza vizuri sana.


Kulia: Adam Kingui, Abdallah Mgambo, Kleist Sykes, Versi na Dimitri 1965
 
kwanini historia inafichwa??nani anayeificha??
 
Shida ni kutaka utukufu wa kupitiliza,kuna mtu bila shaka alitaka kutengeneza taswira kwamba yeye ni kiumbe wa kipekee aliyeshushwa katika ulimwengu huu kwa ajili ya kuikomboa Tanganyika na kwamba bila yeye uhuru wa Tanganyika usingepatikana
nani huyo??
 
Nashindwa kuelewa,kujua kwote huku,you seems to be in the know in many aspects-kitu ambacho Tazania ina lack sana, how come you never hit the heights katika nchi hii. AU from the word go walikustukia utageuza ofisi kuwa place of worship??
 
J
Nashindwa kuelewa,kujua kwote huku,you seems to be in the know in many aspects-kitu ambacho Tazania ina lack sana, how come you never hit the heights katika nchi hii. AU from the word go walikustukia utageuza ofisi kuwa place of worship??
9
Jackline,
Mie si chochote nasafiria nyota ya wazee wangu.

Nimezaliwa kipindi kile cha kudai uhuru na watu
hawa na ndiyo sababu ya kujua yote hayo.
 
Shukran sana kwa History...
Namuelewa sana Ustadh Ilunga kwa maelezo yake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…