Kisa cha Shariff Abdallah Attas na mwalimu Julius Nyerere ofisi ya TANU baada ya uhuru

Kisa cha Shariff Abdallah Attas na mwalimu Julius Nyerere ofisi ya TANU baada ya uhuru

Mzee Mohamed Said.

Kwanza shikamoo mzee wangu.

Mimi ni mpenzi mkubwa wa historia hasa ya nchi yetu. Swali linakuja ni wapi naweza kusoma au kupata hizi historia maana mfumo uliopo historia hazitunzwi kabisa.

Asante.
Kokwa...
Ingia hapa: www.mohammedsaid.com
Tafuta kitabu hicho hapo chini:

2CEE1nkt9WAPHq0EREx5AHGxiuMnwTbB8_faXIEcQhiUV0diUDWbwR2N-t_rCBJwQk3m8sk1QwYujC4DNfzj8kI5ozB1FjWPHwTzbSKHOLjRTUc9qOPjI_yz-s27IZmsQTc3NYsQqfU831_1L_0-1vzKEhHIB_DPzWh03iF3spOHkkjF_zeXZODczj1GM0Qjv0ZORWsmPIe3rV9VvQP-Uhi74ayKeNfr6Vce2J1FR3qwMn5OIGKH7qdwHEMKpIDin-aZgYCwWnSeyAQzwZMTvB7Wv7W4Hjt5r9BvAmW29arRjNrT7kEgWziqss-MTJkqR-Q4cjT4xGOk0fDsDXe8wnuL5UCIvFJEUikDWI0u5grdWVVCNiLnZCf_dB8L95s2a_mEkRy1eea2oGC840-oktj1ioK4Hsa60sh56SkkiWB5iQ-81cyPvu1FHWt1hQyZMJOwNeQgeDqnPV7xBIDLhM43mCpQrEqXlEC4uQGURoe7tjIwBUhHizjekkPnx1-qie5p71GFpjZeiUidqnUJeudYbNIMskXTg36M9GmoGxazoRdkTmtXYX3JOabckCpUdtTC5Dg4Xp9THk_kjRbLvsv_BakrQRsVaBTfL7z5TZTC5zCc=w895-h657-no
 
J
9
Jackline,
Mie si chochote nasafiria nyota ya wazee wangu.

Nimezaliwa kipindi kile cha kudai uhuru na watu
hawa na ndiyo sababu ya kujua yote hayo.
Sio kweli,wewe una akili kuliko wazee wako-wao walibebwa na fedha yao kuinfluence mambo-ungekuwa mtu mzima wakati wa uhuru naamini Nyerere angekupachika cheo kupima uwezo wako
 
Sio kweli,wewe una akili kuliko wazee wako-wao walibebwa na fedha yao kuinfluence mambo-ungekuwa mtu mzima wakati wa uhuru naamini Nyerere angekupachika cheo kupima uwezo wako
Jackline,
Nitamtaja mmoja katika wazee wangu ambae ndiye alikuwa ''mjanja,''
wao - Abdul Sykes.

Admission Makerere College 1942
Admission Princeton University 1953.

Hawa wazee walikuwa wamekaa vyema kwa ''standard,'' za nyakati zile.

Ingia hapa umsome babu yangu Salum Abdallah:
Mohamed Said: KUTOKA JF: BABU YANGU SALUM ABDALLAH

Mimi sijawafikia hawa wazee wangu.
Lakini nilipokuwa mtoto nikiwausudu sana hasa ile, ''lifestyle,'' yao.

''They shined man.''
 
Jackline,
Nitamtaja mmoja katika wazee wangu ambae ndiye alikuwa ''mjanja,''
wao - Abdul Sykes.

Admission Makerere College 1942
Admission Princeton University 1953.

Hawa wazee walikuwa wamekaa vyema kwa ''standard,'' za nyakati zile.

Ingia hapa umsome babu yangu Salum Abdallah:
Mohamed Said: KUTOKA JF: BABU YANGU SALUM ABDALLAH
Tatizo ni hizi admission tunazisikia kwako tu,nowhere else
 
Tatizo ni hizi admission tunazisikia kwako tu,nowhere else
Jackline1,
Wapi utazisikia ndugu yangu habari za Abdul Sykes ikiwa wanahistoria walimsusa?
Kwani kabla ya mimi kuandika kitabu cha Abdul wewe ulimjua?

Kumrejesha kwangu katika historia ndiko kulikoninyanyua mimi na kitabu changu
kwani nilikuja na mambo yaliyowastaajabisha wasomi wengi duniani katika tasnia
ya African History.

Walisoma katika kitabu hicho mambo ambayo yalikuwa mapya kwao.

Hii ndiyo iliyonifanya niingizwe katika Cambridge Journal of African History na kuwa
mmoja wa waandishi katika mradi wa Dictionary of African Biography (DAB).

Huu ulikuwa mradi wa Harvard na Oxford University Press New York.

Katika kitabu cha Abdul Sykes kuna mahali nimemlaumu John Iliffe kwa yeye
kutumia Nyaraka za Sykes kuandika historia ya African Association akimtumia
mwanafunzi wake Daisy Sykes binti ya Abdul, lakini alishindwa kuchukua juhudi
yoyote kumtafuta Abdul Sykes kumhoji kuhusu TANU.

Hii ya Makerere ni ndogo wala isitushughulishe inafahamika na ''contemporaries,''
wake wote si ''news,'' kwangu.

Sikiliza hii.

Siku moja Kleist Sykes, huyu ni mtoto wa Abdul Sykes kanipigia simu ananiomba
niende ofisini kwake nikaangalie kitu.

Nilipofika akanitolea barua mbili zote za mwaka wa 1953.

Moja ni ''Admission Letter,'' ya Princeton University na ya pili ni barua kutoka kwa
Earle Seaton.

Barua hizi mbili zote zina uhusiano.

Barua ya Earle Seaton anampongeza Abdul Sykes kwa kupata nafasi Princeton na
katika barua ile anamwambia kuwa akiwa New Jersey asikose kwenda UNO kusikiliza
majadiliano ya Nchi Zilizokuwa Chini ya Udhamini wa UNO.

New Jersey ni jirani sana na New York ilipo UN na ndipo kilipo Chuo Cha Princeton.

Kleist kaniahidi kunipatia nakala za barua hizo na nikizitia mkononi nitaziweka hapa
sote tuzisome.

Kwa wasiomjua Earle Seaton nitawapa kwa kifupi tu historia yake In Shaallah.

Kwanza Seaton na Abdul walikuwa marafiki na Abdul alimtia katika TAA
ili asaidie katika Constitutional Development Committee ya Gavana Edward
Twining
ya 1949.

Seaton alikuwa mwanasheria akiwa na ofisi yake Moshi.

Ulipozuka Mgogoro wa Meru Abdul akamuomba Seaton aisaidie Meru Citizens Union ya
kina Japhet Kirilo kuandika ''petition,'' kwenda UNO.

Kwa habari zaidi ingia:
Mohamed Said: ABDULWAHID SYKES, JAPHET KIRILO, NA EARLE SEATON, 1952
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK
 
Mzee nashukuru saana nitajaribu kuomba mtu aninunulie. Wakati wa uhuru wengine tulikuwa watoto wadogo hivyo tulichokisoma shuleni ndo tuliamini sababu unajua hali ilivyokuwa miaka ya 60s mpaka 80s.

kwahiyo ulivyofundishwa shule hutaki kuamini,but porojo za huyu mzee kwako ndo unaona ukweli?
 
Allah akuzidishie Maalim Mohamed, ama kweli UKWELI ni wenye kutamalaki! Kuna watu wanaumia kweli. Lakini hamna namna!
 
kwahiyo ulivyofundishwa shule hutaki kuamini,but porojo za huyu mzee kwako ndo unaona ukweli?
Mtanganyika...
Naona umeghadhibika kidogo.

Usikasirike mimi nakusihi nisome mzee wako na tujadili kwa staha na
kuheshimiana kuna mambo utajifunza kutoka kwangu na mimi pia iko
nafasi nitajifunza kutoka kwako.
 
Allah akuzidishie Maalim Mohamed, ama kweli UKWELI ni wenye kutamalaki! Kuna watu wanaumia kweli. Lakini hamna namna!
Sineno,
Amin.

Mie huumia sana watu wanaponisoma kisha wakaingiwa na fadhaa
kwa kuona kuwa walichotegemea kumbe sicho.
 
Dongo...
Hapana chuki katika ninayoandika hili nina hakika nalo.
Labda wewe hupendezwi tu na haya ninayoandika.

Kuhusu ugaidi nina paper niliwasilisha Chuo Kikuu Cha
Ibadan, Nigeria 2006.

Unaweza kuisoma hap chini:
Mohamed Said: ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT

Hayo mengine ya viwanja nk. bahati mbaya sina ujuzi wa hayo.

Ningefanya JF mahali pa kueneza chuki au kubughudhi na kutukana watu
nadhani siku nyingi ningelikuwa nishafukuzwa.

Watu wengi wanapenda kunisoma fanya uchunguzi utalitambua hili.

Pia nina blog ambayo ni maarufu sana Marekani, Ulaya na Arabuni kiasi
nastaajabu.

Hii si dalili ya mtu anaeandika chuki.
Hata hivyo mimi naelewa hisia zako.

Hakika hii ''corrective history,'' ninayoandika imewafadhaisha watu wengi
sana.

Kuhitimisha ningependa kusema kuwa ule uzushi wa yule ndugu yangu kweli
umenisikitisha mno.

Ningeliweza kukaa kimya nisikuelezeni lakini ningekuwa sina amani katika nafsi
yangu.

Allah atuepusha na watu kama wale.
unaacha kupigania viwanja na mali mnazodai mnaporwa,unakazana na pepa ya nigeria,sasa hiyo ina mchango gani kwa uchumi kwa waislam wa tz?????

wacha porojo jikite kwa njia zipi za kuziendea kuleta uchumi,wewe kila kukicha unakazana na stori za kariakoo tu!

[HASHTAG]#huo[/HASHTAG] ni uandishi uchwara!
 
NNa hawa wanajua, maana wamefundishwa sshuleni kuwa "Historia ni matukio ya KWELI yaliotokea wakati uliopita" wanafunuliwa historia, hawaitaki! Balaa kwa hakika
 
unaacha kupigania viwanja na mali mnazodai mnaporwa,unakazana na pepa ya nigeria,sasa hiyo ina mchango gani kwa uchumi kwa waislam wa tz?????

wacha porojo jikite kwa njia zipi za kuziendea kuleta uchumi,wewe kila kukicha unakazana na stori za kariakoo tu!

[HASHTAG]#huo[/HASHTAG] ni uandishi uchwara!
Mtanganyika...
Hakika inawezekana nikawa ni, ''mwandishi uchwara.''
Kila mtu kajaaliwa uwezo wake wa utambuzi.

Inawezekana kuna mtu kuwa kukuona unavyoandika
kama hivi kwa hamaki akachukulia kuwa ni mtu ''ovyo.''

Mimi sikuoni hivyo.

Sababu ni kuwa hivyo ufanyavyo kwa kiwango chako ni
sawa kwa haya ninayoandika na ukasoma.

Ukweli ni kuwa si wewe wa kwanza kuumizwa na historia
hii.

Kila aliyechomwa na historia hii alifanya kama ufanyavyo.
 
NNa hawa wanajua, maana wamefundishwa sshuleni kuwa "Historia ni matukio ya KWELI yaliotokea wakati uliopita" wanafunuliwa historia, hawaitaki! Balaa kwa hakika
Sineno,
Umuhimu si wao kukubali historia hii.

Muhimu ni kwa wao kusoma kisha wakatupa maoni yao
hata kama watanitukana.

Nimekusanya maandishi mengi ya wanaoikataa historia
hii na In Shaallah niko katika kuandika kitabu kuhusu watu
hawa na fikra zao.
 
Mzee Mohamed Said.

Kwanza shikamoo mzee wangu.

Mimi ni mpenzi mkubwa wa historia hasa ya nchi yetu. Swali linakuja ni wapi naweza kusoma au kupata hizi historia maana mfumo uliopo historia hazitunzwi kabisa.

Asante.
1474492871281.jpg
vitabu vya mzee Mohamed Said na vingine vingi vinapatikana hapo ilala Amana karibu na Boa Bank
 
Mkuu Mumba Daly heshima kwako!

Ni mimi ndio nilianzisha ile mada,sikudhani kama ingekukwaza,lkn niliuliza tu ni wapi huyu Mzee wa Butiama aliwazidi "Ujanja" wazee wa K'koo??

Hata hiyo Ujanja,niliiweka kwenye alama hizi " "...Leo kwa kusoma mada hii,naona kama Mzee wangu nayemuheshimu sana Mohamed Said kanijibu "kinamna" lile swali langu.Nimecheka sana kwa kweli...Julius alikuwa machachari sana.

Kwamba mchana anaenda Kkoo,anagongea msosi kwa Sykes,anarudi tena pale Sokoni anakabidhiwa misosi ya kwenda nayo Magomeni nyumbani,halafu msindikizaji anamsahau?Ha ha ha ha ha ha!
Waswahili wana msemo wao "kuna watu na viatu" sasa yule jamaa ni kiatu
 
Na inasemekana hata huyo Abdulwahid Sykes alipofariki huyo bwana mkubwa hakuwa na mpango wa kuhudhuria mazishi lakini mkewe alimsihi aende kwani isingeleta picha nzuri ndio ikabidi aende tu kama kujitoa kimasomaso.
Waswahili wana msemo wao "kuna watu na viatu" sasa yule jamaa ni kiatu
 
Maana ya murtadi ni nini? Kuna sehemu umeandika .
Nyiokunda,
Tafadhali hebu nipatie hiyo sehemu nipate kukujibu In Shaallah.
Sijaona mahali neno hili lipo katika uzi huu wa Shariff Attas.
 
Back
Top Bottom