Kisa cha Shariff Abdallah Attas na mwalimu Julius Nyerere ofisi ya TANU baada ya uhuru

Kisa cha Shariff Abdallah Attas na mwalimu Julius Nyerere ofisi ya TANU baada ya uhuru

ni ngumu kumeza kuhusu hizo admissions-hasa sababu unatumia ujanja wa lugha ya ku convince ili mradi kutuambia kwamba hawa watu Nyerere aku waacha sana kiupeo na kielimu
Jackline1,
Mimi huwa simlazimishi mtu aniamini nisemayo.

Mimi hujitahidi kueleza historia kama ninavyoielewa na humwachia
msomaji aamue mwenyewe.

Ikiwa utapenda kuamini kuwa TANU ilitokea Musoma ikaja Dar es
Salaam New Street TAA HQ na Nyerere, kwangu mimi ni sawa ila
nitakuambia kuwa kuna taarifa zingine.

Hapa nitakupa orodha ya waasisi wa African Association 1929 na
kukueleza kuwa wazo lilitoka kwa Dr. Aggrey mwaka wa 1924 na
alimpa wazo hili Kleist Sykes.

Nitakueleza kuwa Nyerere alipofika Dar es Salaan hakuja na wazo
la chama cha TANU na nitakueleza pia kuwa hata hiyo ofisi ya TANU
alijenga baba yake Abdul Sykes kati ya 1929 - 1933.

Basi hivi ndivyo ninavyojenga hoja.
 
Jackline1,
Mimi huwa simlazimishi mtu aniamini nisemayo.

Mimi hujitahidi kueleza historia kama ninavyoielewa na humwachia
msomaji aamue mwenyewe.

Ikiwa utapenda kuamini kuwa TANU ilitokea Musoma ikaja Dar es
Salaam New Street TAA HQ na Nyerere, kwangu mimi ni sawa ila
nitakuambia kuwa kuna taarifa zingine.

Hapa nitakupa orodha ya waasisi wa African Association 1929 na
kukueleza kuwa wazo lilitoka kwa Dr. Aggrey mwaka wa 1924 na
alimpa wazo hili Kleist Sykes.

Nitakueleza kuwa Nyerere alipofika Dar es Salaan hakuja na wazo
la chama cha TANU na nitakueleza pia kuwa hata hiyo ofisi ya TANU
alijenga baba yake Abdul Sykes kati ya 1929 - 1933.

Basi hivi ndivyo ninavyojenga hoja.
Jackline1,
Nakuwekea mengine hapo chini maneno niliyozungumza hapa JF:
Mohamed Said: KUTOKA JF: KENNETH DAVID KAUNDA KATIKA HISTORIA YA TANU 1953

Dah hii story is so amazing yan.. Ila mbona zimefichwa jaman.?
Bakar..,
A fascinating and amazing story in deed!

Kisa cha kukataliwa historia ya Abdul Sykes ni kuwa ikiwa utamleta Abdul
katika historia ya TANU itabidi urudi nyuma miaka miaka 50 kupata asili yao
ya Kizulu vipi walikuja Tanganyika.

Utakwenda hadi Kwa Likunyi Mozambique ambako Sykes Mbuwane babu
yake Abdul alikotokea.

Hiki kijiji kipo Imhambane na ndipo Von Wissman alipokwenda kuchukua
jeshi la mamluki wa Kizulu kuja Tanganyika kupigana na Abushiri bin
Salim
na Chief Mkwawa miaka ya mwisho ya 1800.

Ally Sykes mwaka wa 1952 alichukua likizo na akaenda hadi kwao kwa
Likunyi kuona alikotoka babu yake.

Nimeandika kitabu cha maisha ya Ally Sykes, ''Under the Shadow of British
Colonialism.''

Huu mswada haujachapwa sasa karibu mwaka wa ishirini.

Humo ndimo aliponieleza safari tatu muhimu kwake wakati wa kudai uhuru.

Safari ya kwanza hii ya Mozambique 1952, safari ya pili Ghana kuadhimisha
uhuru wa Ghana 1957 tena hakupanda ndege kenda kwa nchi kavu na safari
nyingine ya Rhodesia 1953 alipokamatwa na Makaburu.

Safari hii TAA ilialikwa Northern Rhodesia na Kenneth Kaunda rais wa African
National Congress na alifatana na Denis Phombeah.

Ukielezwa aliyoshuhudia Ally Sykes katika hizi safari utajua nini maana ya ukoloni.

Ikiwa utaeleza haya na mengine mengi ambayo hapa hakuna nafasi ya kuyaeleza
utakuja na sura nyingine kabisa katika historia ya TAA, TANU na harakati za uhuru.

Itabidi ueleze vipi hawa akina Sykes walijuana na Kenneth Kaunda, Jomo
Kenyatta
,viongozi wa Fabian Society kama John Hatch kabla hata
Nyerere hajawajua.

Itakubidi pia ueleze vipi baba yao aliasisi African Association (AA) 1929 na
Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933.

Vipi aliweza kujenga nyumba hiyo ilipozaliwa TANU na kujenga shule jengo
ambao lipo hadi leo.

Itabidi pia ueleze viongozi wa wakati ule na michango yao katika jamii hasa
machifu kama Chief Kidaha Makwaia, Chief Abdallah Said Fundikira na
Thomas Marealle ambao wakijuana vyema na akina Sykes na kustahiana
sana.

Hizi ndizo zilikuwa siasa za nyakati ule.
Haya hayakutakiwa.

Waandishi na watafiti wa Kivukoni College waliona hii itapunguza umuhimu wa
Nyerere katika historia ya TANU.

Tatizo likawa historia ya TANU lazima ianze na Mwalimu Nyerere.
Hili ndilo likasababisha matatizo mengi katika uandishi wa historia ya TANU.

Hivi ndivyo tulivyofikishwa hapa leo tuko barzani tunajadili na wengine kama
akina Nguruvi3 wanajadili kwa hamaki wakidai ati Mwalimu Nyerere
anakashfiwa.

Na ''kashfa,'' yenyewe ni kule kuandika historia ya TANU kama ilivyokuwa.

6llGaxX6419YZTiR_8uDRvbwGrJ0KUCOr8HH3M7bn3a1j_z3HYLzW76RYthmRueIzsTlPnYZePikxwfsR56XQMWPy8LFNVhwKwsE7e_0B0wIfJgY6on2r2DML37OKCBuz6j6PTi8pUMlqgdU4RITt5RikoT4cWfgg5UwdBeA-H3a8raPfzyIZ23k1F8rrK7kPQrdmYMtmz_xbzFI5IQMsCWzopqLy2TD9roJIoqJBS96b9JIR11fuOMPiIPHPwks9aVv3ljFCnbpgPUb2OKavTXSQ2LncQWpiztRL9ts0QmVeyU0onx1m2A1Ty8J_u-TtP6g_NLwWGqc0pjegETWAdEhMy3bvbMKsEyK16_e8GC1u2lXy4clOt-rZkj0tUIuMywZPs-ZmsRVHBaDk9DKTribPogtyrWvmvLLSTbGbPt8UbjMKwm0RKc6CbBkU7AI9qr9cDJpA0sym1gamUzkWaiskbTEqj4hviW1PbksydGREd2RX-tforLmO7xy9Td30PAQ-e-6Q54gP0nU4Ijiyf6aVjIgTvwNISBdkRkGis6F8duqm0ydJw6R2MFmEMVmSx-8WYmFPoPGlV03XH4dNZfC74XrPvys88t5K-9Y8DuU_fYA=w876-h657-no

Mwandishi na Ally Sykes
 
Jackline1,
Nakuwekea mengine hapo chini maneno niliyozungumza hapa JF:
Mohamed Said: KUTOKA JF: KENNETH DAVID KAUNDA KATIKA HISTORIA YA TANU 1953

Dah hii story is so amazing yan.. Ila mbona zimefichwa jaman.?
Bakar..,
A fascinating and amazing story in deed!

Kisa cha kukataliwa historia ya Abdul Sykes ni kuwa ikiwa utamleta Abdul
katika historia ya TANU itabidi urudi nyuma miaka miaka 50 kupata asili yao
ya Kizulu vipi walikuja Tanganyika.

Utakwenda hadi Kwa Likunyi Mozambique ambako Sykes Mbuwane babu
yake Abdul alikotokea.

Hiki kijiji kipo Imhambane na ndipo Von Wissman alipokwenda kuchukua
jeshi la mamluki wa Kizulu kuja Tanganyika kupigana na Abushiri bin
Salim
na Chief Mkwawa miaka ya mwisho ya 1800.

Ally Sykes mwaka wa 1952 alichukua likizo na akaenda hadi kwao kwa
Likunyi kuona alikotoka babu yake.

Nimeandika kitabu cha maisha ya Ally Sykes, ''Under the Shadow of British
Colonialism.''

Huu mswada haujachapwa sasa karibu mwaka wa ishirini.

Humo ndimo aliponieleza safari tatu muhimu kwake wakati wa kudai uhuru.

Safari ya kwanza hii ya Mozambique 1952, safari ya pili Ghana kuadhimisha
uhuru wa Ghana 1957 tena hakupanda ndege kenda kwa nchi kavu na safari
nyingine ya Rhodesia 1953 alipokamatwa na Makaburu.

Safari hii TAA ilialikwa Northern Rhodesia na Kenneth Kaunda rais wa African
National Congress na alifatana na Denis Phombeah.

Ukielezwa aliyoshuhudia Ally Sykes katika hizi safari utajua nini maana ya ukoloni.

Ikiwa utaeleza haya na mengine mengi ambayo hapa hakuna nafasi ya kuyaeleza
utakuja na sura nyingine kabisa katika historia ya TAA, TANU na harakati za uhuru.

Itabidi ueleze vipi hawa akina Sykes walijuana na Kenneth Kaunda, Jomo
Kenyatta
,viongozi wa Fabian Society kama John Hatch kabla hata
Nyerere hajawajua.

Itakubidi pia ueleze vipi baba yao aliasisi African Association (AA) 1929 na
Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933.

Vipi aliweza kujenga nyumba hiyo ilipozaliwa TANU na kujenga shule jengo
ambao lipo hadi leo.

Itabidi pia ueleze viongozi wa wakati ule na michango yao katika jamii hasa
machifu kama Chief Kidaha Makwaia, Chief Abdallah Said Fundikira na
Thomas Marealle ambao wakijuana vyema na akina Sykes na kustahiana
sana.

Hizi ndizo zilikuwa siasa za nyakati ule.
Haya hayakutakiwa.

Waandishi na watafiti wa Kivukoni College waliona hii itapunguza umuhimu wa
Nyerere katika historia ya TANU.

Tatizo likawa historia ya TANU lazima ianze na Mwalimu Nyerere.
Hili ndilo likasababisha matatizo mengi katika uandishi wa historia ya TANU.

Hivi ndivyo tulivyofikishwa hapa leo tuko barzani tunajadili na wengine kama
akina Nguruvi3 wanajadili kwa hamaki wakidai ati Mwalimu Nyerere
anakashfiwa.

Na ''kashfa,'' yenyewe ni kule kuandika historia ya TANU kama ilivyokuwa.

6llGaxX6419YZTiR_8uDRvbwGrJ0KUCOr8HH3M7bn3a1j_z3HYLzW76RYthmRueIzsTlPnYZePikxwfsR56XQMWPy8LFNVhwKwsE7e_0B0wIfJgY6on2r2DML37OKCBuz6j6PTi8pUMlqgdU4RITt5RikoT4cWfgg5UwdBeA-H3a8raPfzyIZ23k1F8rrK7kPQrdmYMtmz_xbzFI5IQMsCWzopqLy2TD9roJIoqJBS96b9JIR11fuOMPiIPHPwks9aVv3ljFCnbpgPUb2OKavTXSQ2LncQWpiztRL9ts0QmVeyU0onx1m2A1Ty8J_u-TtP6g_NLwWGqc0pjegETWAdEhMy3bvbMKsEyK16_e8GC1u2lXy4clOt-rZkj0tUIuMywZPs-ZmsRVHBaDk9DKTribPogtyrWvmvLLSTbGbPt8UbjMKwm0RKc6CbBkU7AI9qr9cDJpA0sym1gamUzkWaiskbTEqj4hviW1PbksydGREd2RX-tforLmO7xy9Td30PAQ-e-6Q54gP0nU4Ijiyf6aVjIgTvwNISBdkRkGis6F8duqm0ydJw6R2MFmEMVmSx-8WYmFPoPGlV03XH4dNZfC74XrPvys88t5K-9Y8DuU_fYA=w876-h657-no

Mwandishi na Ally Sykes
Tunakushukuru sana,umetupa mwangaza mkubwa sana wa harakati zilivyoenda,umetujulisha mengi sana tuliyokuwa hatuyajui-na tumeweza kuchambua nakala zako kila mtu kwa kadri ya uwezo wetu but one thing no matter what Dr Julius Kambarage Nyerere was the epitomy of the struggle-contribution yake was 80%,the rest 20%-this is the grim reality. Erasing this,and rewriting history will need gigantic efforts of biblical proportions
 
Tunakushukuru sana,umetupa mwangaza mkubwa sana wa harakati zilivyoenda,umetujulisha mengi sana tuliyokuwa hatuyajui-na tumeweza kuchambua nakala zako kila mtu kwa kadri ya uwezo wetu but one thing no matter what Dr Julius Kambarage Nyerere was the epitomy of the struggle-contribution yake was 80%,the rest 20%-this is the grim reality. Erasing this,and rewriting history will need gigantic efforts of biblical proportions
Jackline,
Hilo ulosema ni kweli kabisa mchango wa Nyerere ulikuwa mkubwa sana.

Yeye ndiye aliyepanda jukwaani na kwa kinywa kipana kuwaambia watu
tudai nchi yetu.

Kabla yake moto wa uhuru ulikuwa ukiwaka chini kwa chini.

Kwenye kitabu cha Abdul Sykes nimesema mambo yalikwenda kwa kasi
ya ajabu baada ya TANU kuundwa na Nyerere akiwa kiongozi wake.

Hakuna mtu atakaeweza kupuuza mchango wa Mwalimu hata kidogo.
Lakini sasa kuna kitu muhimu sana katika juhudi hizi za Mwalimu Nyerere.

Nyerere hakufanya haya peke yake na asingefanikiwa kama asingeungwa
mkono na viongozi wenzake katika TANU.

Kulikuwa na Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti wa Sheikh Suleiman
Takadir
akifahamika kwa jina lake la siasa ''Makarios.''

Hili Baraza ndilo lilompeleka Mwalimu Nyerere UNO.

Nitakuwekea ''link'' hapa usome historia nzima ya safari hii na mchango wa Iddi
Faiz Mafungo
katika kukusanya fedha za safari.

Hii safari ya UNO ndiyo iliyomdhihirishia Nyerere kuwa ana watu wa kuaminika
na ndiyo iliyomfanya asiwe na wasiwasi wa kuacha kazi ya ualimu.

Lakini kubwa kulikuwa na ngome ya Kanisa Southern Province ambayo ilikuwa
ikiwatisha watu kujiunga na TANU wakiwaambia hizi ni fitna za Waislam wanataka
kuitumbikiza Tanganyika kwenye vita na Waingereza kama walivyofanya kwa
Wajerumani katika Maji Maji.

44221_471855816182358_1465711726_n.jpg

Askari wa Maji Maji baada ya kushindwa vita

Hii ilikuwa bugdha kwa chama kwani wengi walitishika.

Nitakuwekea link In Shaallah uwasome Yusuf Chembera, Salum Mpunga,
Suleiman
Mnonji
na Sheikh Yusuf Badi juhudi gani walifanya kuwaunganisha wananchi
kuwa kitu kimoja kumkabili Mwingereza.

Hii ilikuwa 1956 baada ya safari ya UNO.

Hii ni mifano michache katika mingi ya wazalendo waliopigania uhuru wa
Tanganyika ambao sijui kwa sababu gani hadi leo hawajaenziwa.

Tatizo ni pale historia ya mashujaa hawa ilopofutwa likabakishwa jina la
Nyerere peke yake.

8lS-bGcfJLi-US4KM0clKL332ZwGi0MysIEH5ffaAkw=w680-h510-no

Wa Kwanza Kushoto ni Idd Faiz Mafongo Mwekahazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi
Tanganyika na Mwekahazina wa TANU. Wanaofuatia ni: Sheikh Mohamed Ramiya wa Bagamoyo,
Julius Nyerere, Saadan Abdu Kandoro na Haruna Taratibu Picha Hii Ilipigwa
Dodoma Railway Station Mwaka 1956 Wakati wa Kueneza TANU Katika Majimbo

Mohamed Said: Idd Faiz Mafongo Mweka Hazina wa Safari ya Nyerere UNO 1955

Mohamed Said: TANU Ilivyovunja Ngome ya Kanisa Katoliki Jimbo la Kusini, 1955 Sehemu ya Sita
 
Jackline,
Hilo ulosema ni kweli kabisa mchango wa Nyerere ulikuwa mkubwa sana.

Yeye ndiye aliyepanda jukwaani na kwa kinyw akipana kuwaambia watu
tudai nchi yetu.

Kabla yake moto wa uhuru ulikuwa ukiwaka chini kwa chini.

Kwenye kitabu cha Abdul Sykes nimesema mambo yalikwenda kwa kasi
ya ajabu baada ya TANU kuundwa na Nyerere akiwa kiongozi wake.

Hakuna mtu atakaeweza kupuuza mchango wa Mwalimu hata kidogo.
Lakini sasa kuna kitu muhimu sana katika juhudi hizi za Mwalimu Nyerere.

Nyerere hakufanya haya peke yake na asingefanikiwa kama asingeungwa
mkono na viongozi wenzake katika TANU.

Kulikuwa na Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti wa Sheikh Suleiman
Takadir
akifahamika kwa jina lake la siasa ''Makarios.''

Hili Baraza ndilo lilompeleka Mwalimu Nyerere UNO.

Nitakuwekea ''link'' hapa usome historia nzima ya safari hii na mchango wa Iddi
Faiz Mafungo
katika kukusanya fedha za safari.

Hii safari ya UNO ndiyo iliyomdhihirishia Nyerere kuwa ana watu wa kuaminika
na ndiyo iliyomfanya asiwe na wasiwasi wa kuacha kazi ya ualimu.

Lakini kubwa kulikuwa na ngome ya Kanisa Southern Province ambayo ilikuwa
ikiwatisha watu kujiunga na TANU wakiwaambia hizi ni fitna za Waislam wanataka
kuitumbikiza Tanganyika kwenye vita na Waingereza kama walivyofanya kwa
Wajerumani katika Maji Maji.

44221_471855816182358_1465711726_n.jpg

Askari wa Maji Maji baada ya kushindwa vita

Hii ilikuwa bugdha kwa chama kwani wengi walitishika.

Nitakuwekea link In Shaallah uwasome Yusuf Chembera, Salum Mpunga,
Suleiman
Mnonji
na Sheikh Yusuf Badi juhudi gani walifanya kuwaunganisha wananchi
kuwa kitu kimoja kumkabili Mwingereza.

Hii ilikuwa 1956 baada ya safari ya UNO.

Hii ni mifano michache katika mingi ya wazalendo waliopigania uhuru wa
Tanganyika ambao sijui kwa sababu gani hadi leo hawajaenziwa.

Tatizo ni pale historia ya mashujaa hawa ilopofutwa likabakishwa jina la
Nyerere peke yake.

8lS-bGcfJLi-US4KM0clKL332ZwGi0MysIEH5ffaAkw=w680-h510-no

Wa Kwanza Kushoto ni Idd Faiz Mafongo Mwekahazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi
Tanganyika na Mwekahazina wa TANU. Wanaofuatia ni: Sheikh Mohamed Ramiya wa Bagamoyo,
Julius Nyerere, Saadan Abdu Kandoro na Haruna Taratibu Picha Hii Ilipigwa
Dodoma Railway Station Mwaka 1956 Wakati wa Kueneza TANU Katika Majimbo

Mohamed Said: Idd Faiz Mafongo Mweka Hazina wa Safari ya Nyerere UNO 1955

Mohamed Said: TANU Ilivyovunja Ngome ya Kanisa Katoliki Jimbo la Kusini, 1955 Sehemu ya Sita

Jackline1,
Hii ndiyo historia ya TANU na hao niliowataja ndiyo waliopigania uhuru
wa Tanganyika.

Una haki ya kukuwakubali kama ulivyokuwa na haki ya kuwakataa ila
atakapokuja mtu kuwaadhimisha wewe usiwe wa kwanza kumshambulia
wala usiwe katika lile kundi linaloghadhibishwa na historia hii.
 
tatizo kisa majina yote yana ubini wa mudi basi kwako faraja kweli ila mleta maada amelete hii stori kama kejeli kwa marehem mwl julius nyerere.....ila weewe endelea kukuna matako kwa unafki wenu malipo ni hpa hapa dunian
Mgalatia
 
Wanamajlis,
Kuna ndugu yangu hapa Barzani jina lake Jackline1.

Sina kawaida ya kufanya nongwa lakini kwa hili ningependa kumsikia
kuhusu, ''admissions'' mbili za Abdul Sykes, Makerere na Princeton
University, New Jersey.

Aliniandikia kuhusu hizo, ''admission,'' kama vile mimi ni muongo kwa
kusema kuwa taarifa hizo anazisikia kwangu tu.

Kusema kweli niliumia sana na hii ndiyo sababu nareja kwake na kwenu
nimsikize kama baada ya kumjibu na kumwekea rejea mbili ingawa zote
ni zangu mwenyewe, nini sasa maoni yake?

Naweka hapa na picha nikiwa New Jersey:

vRfPSpZCJZOvHP2ltbzELdEWPMqo5ydk6sG09VcexjPhTzUmbt_pw0iNEASSLsJLMweCO4Wv1EvG9CkF-kVdDat3RZrEXIaSHGXRwW5nGOeHEc_TbCHNZ7auwO9mkRGDoPU8DwEYEtQ5c7A-_C0jK55TWzUkuPJyGuQudRpppMTqKFejNQbM10pGABQP0gbKM5YDQT97NPEAaOFNuxjUSAiKoNFUeYoCg07S0Q2eUjOcavqGOzSgmBJWhYsdH0W6GoNUpdTaca94BZRvnzTnBOFwkVF6bplRVzUQ22z7iT6ZkKRFNJEc7r0DQ915iTaJ3-JVxsOq7vgXndk0mhxNYewoAIiPPRCkWT3NRV4SSmxWKpYowq6JVKTzBUrlSd7YIb4OGSEjfPEsha_I3jPGNEOMpDLkHO_9Ulgq0SgKxbxN42FPFmp3NjLDy5t6saXnp8Z4NZEX1GDVNfP1w7KelphF5zWwyZMRIlaOKTlKHPWNW_bh2Dh1rxkFOYuQKRBkMxQu8ETe5RsFcJ2Y5h2iNQgkcnT_fXzwgIn4N0beSZWRjXUih52bG4rTLPQIQaHhRSeM84nWDiv0_01k2gZ1oEXn4SjEAR6KcTquqPHYCTGdFGm4=w876-h657-no
naona umevaa suti na kushirikiana na makafiri inapendeza na wala huleti reference za madrasa
 
Jackline1,
Hii ndiyo historia ya TANU na hao niliowataja ndiyo waliopigania uhuru
wa Tanganyika.

Una haki ya kukuwakubali kama ulivyokuwa na haki ya kuwakataa ila
atakapokuja mtu kuwaadhimisha wewe usiwe wa kwanza kumshambulia
wala usiwe katika lile kundi linaloghadhibishwa na historia hii.
Mimi binafsi daima nitakushukuru-kuna majina nilikuwa nayasikia nikidhani hawa wanajulikana sababu ni malwatan wa mjini,kumbe it was more then that-hapo nakushukuru wewe na management ya JF-otherwise mengi tusingeyajua-Mimi nime major katika history-but believe me nilikuwa mweupe kabisa katika aspects nyingi za taifa hili
 
Salaam Mzee wangu Mohamed Said.

Nimefurahi sana kwa kufungua/kuleta hii Historia ya Huyu Babu yangu Shariff Attas.

Nimefurahi sana kuzidi kupanua uelewa wangu juu ya Historia ya Tanzania.

Kuna kitu watu hawaelewi. Hapa duniani hakuna kitu kitakachofichwa milele, hipo siku ambazo ukweli utajulikana, na siku zenyewe ndizo hizi.

Nina amini kabisa kuna miaka inakuja, hii Historia ya Tanzania Officially itaandikwa upya na wanafunzi kuanzia primary, secondary na colleges/universities watafundishwa Historia iliyokuwa sahihi na sio hii Historia ya chuo cha magogoni/kivukoni
 
Mimi binafsi daima nitakushukuru-kuna majina nilikuwa nayasikia nikidhani hawa wanajulikana sababu ni malwatan wa mjini,kumbe it was more then that-hapo nakushukuru wewe na management ya JF-otherwise mengi tusingeyajua-Mimi nime major katika history-but believe me nilikuwa mweupe kabisa katika aspects nyingi za taifa hili

efvOuptgSgh8Z40zcbG14hYMvdLSuZmlqCfaexSLuolGOJVGtr929wyiF1eW2vK4-B39h1mWPsnYSkgE70Q_Nuilm88g8brq0dc-UqUG3kb7xTF0FXYMk8AE4MKx5UYVVE_HwmKuIgqE4oI0m-_GkSNbeWOEjybTmZJtPsSXuoImoaQ7TbN2qVrJimPRqz8vhI0MZKStKqCgw4Zai4zAcP2vaav06T7cOf4J11xmk8C1wc_iCRu6Q7cPLpKxzGlr4I2U9T5Bng1WrUNtqpcnke6bUmTrxQTy-h33VfkZ0Si0V2Jyb-yer6ft90YDNww3pJvpSpp0koq3eJRO11czME5ja9B6dn67WDzpEG0UTWHGLyylz9grkPApSAcp0I5cu5DyZUfyb0BlAk8ZeNB0iJDDeSbEREQnNVXDOTHiwbXLwicmewtv3Rx7UqLAxzobFLB_934b28uqCCrfCaUUlZMi311bOnxrfcX7AZM8j45y7JP0W2boUYymY4Lu4otql92YVyOujbZrS5fpVNlRs2zijAIrN9e6DaovIMObjDGW71IDMPtf0Rrn8iQW4uAyxk0lxzltIWQnTjS3-RQ-eTJoLPWs2gsFAyLFp2CTrrz8erhoSQ=w876-h657-no

Azam TV Saba Saba Day 2015

Jackline,
Abdul Sykes
na Dr. Kleruu walianza kuandika historia ya TANU 1962/63
baada ya mazungumzo kati ya Abdul Sykes, Mwalimu Kihere na Dossa
Aziz.

Aliyekuja na fikra hii alikuwa Mwalimu Kihere na Nyerere akaunga mkono
na yeye ndiye aliyesema Abdul aandike kwa kuwa yeye anajuwa mengi
kutokana na historia ya baba yake Kleist Sykes, kuwa muasisi wa African
Association.

Abdul Sykes akajitoa baada ya kumdhihirikia kuwa kilichokuwa kinatafutwa si
historia ya kweli ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Dr. Klerruu alikamilisha ule mswada lakini kitabu hakikuchapwa hadi hii leo.

Inasemekana huu mswada na baadhi ya yale ambayo Abdul aliyoandika upo
katika maktaba ya CCM mahali fulani hakuna ajuaye wapi.

Hata hivyo kuna mwana TANU mmoja katika vijana wa Youth League aliuiba
huu mswada akabadilisha hapa na pale na kuchapa kitabu kwa jina lake alichokiita
historia ya TANU.

TANU walimuonya asichape tena kitabu kile.

Kitabu hiki mimi alinipa baba yangu na naamini kilimvunja moyo sana kwa yale
aliyokuta mle kwani yeye aliiona TANU ilivyoanza toka ile siku ya kwanza kwani
Abdul Sykes alikuwa rafiki yake wa karibu sana toto utoto wao.

Kitabu hiki hakina tofauti kubwa sana na kile kitabu cha Kivukoni College, ''Historia
ya TANU.''

Ikawa sasa kama imewekwa sheria fulani kuwa ni marufuku mtu kuja na historia
ambayo haitaanza na Mwalimu Nyerere.

Ikawa hata inaposemwa kuwa Nyerere alichukua uongozi wa TAA mwaka wa 1953
haielezwi kachukua vipi na kachukua kutoka kwa nani.

Ikawa kwa njia hii jina la Abdul Sykes halitajwi.

Ikawa vilevile ni mwiko mkubwa kueleza historia ya Waislam katika kuunda TANU na
kupigania uhuru wa Tanganyika kiasi mwaka wa 1988 gazeti la Africa Events (London)
toleo zima lilikusanywa kwa mimi kule kumtaja Abdul na Ally Sykes, Saadan Abdul
Kandoro
, John Rupia na mchango wa Waislam katika kuasisi TANU.

Lakini jambo la kustaajabisha sana ni mfano wa Earle Seaton na Japhet Kirilo.

Hawa waliandika kitabu maarufu, ''The Meru Land Case,'' kuhusu mgogoro wa ardhi
iliyoporwa na Wazungu kule Meru.

Hii ilikuwa mwaka wa 1952 na wakati ule Abdul alikuwa Kaimu rais wa TAA na secretary.

Abdul alishughulika sana na kesi hii na yeye ndiye aliyemtaka Seaton aichukue kesi ile
na kuandika ''petition,'' kwenda UNO.

Ilipofika wakati wa Kirilo kwenda New York UNO Waingereza wakakataa kumpa pasi ya
kusafiria.

Abdul akahangaika kama rais wa TAA kusimama kidete hadi Waingereza wakasalimu amri
wakampa Kirilo pasi.

Kirilo na Seaton walipokuja kuandika kitabu chao, hakuna popote Abdul ametajwa.
Hili mimi linanistaajabisha hadi leo.

Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa kila mwandishi aliyekuja kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika
ukimtoa Judith Listowel, ''The Making of Tanganyika.''

Lakini kubwa kabisa ambalo mimi linanishangaza ni kuwa katika ''review'' ya John Iliffe na ya
Jonathon Glassman kuhusu kitabu cha Abdul wote hawakubali kuwa Abdul ndiye muasisi wa TANU.

''Review,'' zote hizi zipo katika Cambridge Journal of African History.

Glassman yeye alinialika kuzungumza chuoni kwake Northwestern University, Evanston Chicago
na nilizungumza katika ukumbi wa Eduardo Mondlane.

Mjadala ulikuwa mkali.

Lakini aliniambia kitu kimoja kuwa wao kabla yangu hawakujua kuwa katika kupigania uhuru
wa Tanganyika kulikuwa, na kwa kutumia maneno yake, ''strong Muslim movement.''
 
Niah,
Kitabu kipo Tanzania Publishing House Samora Avenue,
Elite Bookshop Mbezi Samaki, Soma Bookshop Mikocheni,
Ibn Hazm Bookshop Msikiti wa Mtoro na Manyema na
Rubawa Investment Shariff Shamba, Ilala.


kaka mud huwa nina fuatilia sana story zako hapa mza kitabu chako naweza kukipata wapi?
 
mimi sijaelewa hii historia yako ina maana gani?

Nyerere "kumsahau" Sheikh Attas,nadhani ndio kisa chenyewe.

Inaonekana Nyerere alikuwa msahaulifu sana, na inasikitisha kuwa aliwasahau hata ambao kwa mujjbu wa Mzee Said, hakupashwa kuwasahau.

Vv
 
Salaam Mzee wangu Mohamed Said.
Nimefurahi sana kwa kufungua/kuleta hii Historia ya Huyu Babu yangu Shariff Attas.

Nimefurahi sana kuzidi kupanua uelewa wangu juu ya Historia ya Tanzania.

Kuna kitu watu hawaelewi. Hapa duniani hakuna kitu kitakachofichwa milele, hipo siku ambazo ukweli utajulikana, na siku zenyewe ndizo hizi.

Nina amini kabisa kuna miaka inakuja, hii Historia ya Tanzania Officially itaandikwa upya na wanafunzi kuanzia primary, secondary na colleges/universities watafundishwa Historia iliyokuwa sahihi na sio hii Historia ya chuo cha magogoni/kivukoni
Nkuba25,
Hivi sasa hivi historia ya Baba wa Taifa inaandikwa na jopo linaloongozwa na Prof.
Issa Shivji.

Mimi wamenihoji mara tatu kuhusu niyajuayo kuhusu Mwalimu Nyerere katika miaka
ya 1950 alipofika Dar es Salaam na kijiunga na wazalendo wengine katika siasa.
 
Nyerere "kumsahau" Sheikh Attas,nadhani ndio kisa chenyewe.

Inaonekana Nyerere alikuwa msahaulifu sana, na inasikitisha kuwa aliwasahau hata ambao kwa mujjbu wa Mzee Said, hakupashwa kuwasahau.

Vv
Vv,
Ile ya Diamond Jubilee Hall ya kusahau nafasi ya uongozi ya Abdul Sykes
katika TAA, ile ilikuwa, ''disaster.''

Wanamajlis,
Hebu angalieni hiyo nyaraka kutoka, ''Sykes Papers,'' hapo chini:

sxTTMkGhTl-sXPdDpa6iKZFfJVE8ce-_FZYneGpinBjJs3dcvOeGaqpjhjmNDD5_l8Wk_6xLOsY=w493-h657-no
 
Sooth,
Katika miaka ya 1960 kulikuwa na kundi la vijana wakijiita, ''Chipukizi Club,''
wakipiga muziki wa ''pop.''

Alikuwapo Hussein Shebe, Raymond Chihota, Cuthbert Sabuni, Chico,
Nanji, Badrin, Henin Seif, Mariam, Sauda
na wengineo wakiungana na
vijana wa Kigoa na band yao, ''The Blue Diamonds.''

Walikuwa na kipindi Radio Tanzania kila Jumamosi mchana kikiitwa ''Chipukizi
Club.''

Kipindi hiki walikuwa wakikifungua na nyimbo inaitwa, ''Here We Go Luubiluu.''

Hii ndiyo ilikuwa ''signature tune'' ya kipindi hicho.

ewpqn4-FaFMKjGmhSafT_UMcz8t-FyKsVV-2-Gg-QAc38mavJQyD20ScvJZkaqjLwP4vrt1VS0H-ElKU5V0uQyasw5BXoXFnRRJoReaWRTHmFmtgBKBRwlz7LThkgWqYS2KKC_B0Uc_6D6MGknvogomi8Ul9MU7obw406TfhOX1NA7Zg90DoAPyOMYt7qWb_OzAnc_Lin9Qzr7jrYNx0dZTrzGO7EaeulcnIGP_Id5eEy1Abvjq8_kw2N-HHUuUDlxi6w5NXpOIYNLxuUptE94kO4WptOJrzbjg0alqNmLBP8rBZDt7BtkRFN7sdgGHuZXrsU-Xtg4blOiEDtzp7R33S_Q327ywJvJP0TNssrb9rOt2iryFXL3CuCxhBwD8BBIWHBRQgCypnJJXHmb0f8NnfdFYTn4-R76I3vWKwRJctndYu20yMAP70HOtMSeh4dCqdzMsj1UQSxhS298cXfUiQffQwRu0i0wnrChRkc7nTc0hDP-1zaZIrz7dCVNE017hU0WOo8-FYvBYrbVMTaE_Rk8ktHdw3VNAdg_CwlLj8vN1DDu-NPcWVz9jfExkl4eRbU9u23jfz6eb2sLAyS1RCRnk6CxalgpmafqkpiODigqScLQ=w670-h526-no

Miaka hiyo mimi ndiye huyo hapo Mnazi Mmoja na nyuma yangu ni barabara
ambayo baadae ikajapewa jina Titi Street na hizo nyumba ni Soko la Kisutu.

Hivi akina Chiota si walikuwa wakimbizi kutoka Zimbabwe mtu na mdogo wake, mmoja wao alikuwa anakimbia sana mbio za mita 100, walikuwa wanachuana sana na Balozi Hamis S. Kagasheki nafikiri mwana riadha alikuwa ni Norman huyu mwingine Raymond alifanya kazi Tazara alioa Mrusi sijui alisoma Urusi. Au siyo wao?
 
Back
Top Bottom