Wote hao akili ndogoninani huyu chief? au ni kurwa mabaiskeli nn!
Siyo Kurwa Magari huyo maana na wasomiššninani huyu chief? au ni kurwa mabaiskeli nn!
Anza na yule ajiitaga chiefninani huyu chief? au ni kurwa mabaiskeli nn!
Hata kama wanaosoma wanapoteza muda, ni muda wao.Hii yote ni kujitafutia acceptance katika dunia inayoongozwa na literates.
Kuna wajinga maarufu bongo hii wakisha shiba vihela vya kupaisha majina ya wanaume wenzao wengine baada ya kusambaza yas zao huwa wanatukana watu waliosoma eti wanapoteza muda.
Utafikiri kila mtu ambaye hakusoma sasa ameshakuwa tajiri kwa muda wote ambao haukuhutumua kwenda shule.
Wanasahau kuwa kinachowaweka mjini ni kipaji cha kuropoka ropoka na kugawa makalio, sasa kila mtu akiwa chawa na mtoa yas patachimbika kweli Tanzania hii?
Kaa chini, enjoy bahati yako, acha utoto wa mbwa, upo katika level nyingine ya maisha.
Na hawajiamini kabisaa.Wale ni wivu mtu,mtu ambaye hajasoma hajawahi kujiamini.
Maisha ni njia isiokuwa na directionkazi ipo ,,,! Wenye Unafuu wa maisha na hawajasoma , wakiwaona wasomi wanahangaika na mishahara mbuzi(walimu police n.k) plus wasomi walioko mtaani wanaunga unga hawana kazi wanafurahi sana,,,all in all maisha hayana formula