Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Hii yote ni kujitafutia acceptance katika dunia inayoongozwa na literates.
Kuna wajinga maarufu bongo hii wakisha shiba vihela vya kupaisha majina ya wanaume wenzao wengine baada ya kusambaza yas zao huwa wanatukana watu waliosoma eti wanapoteza muda.
Utafikiri kila mtu ambaye hakusoma sasa ameshakuwa tajiri kwa muda wote ambao haukuhutumua kwenda shule.
Wanasahau kuwa kinachowaweka mjini ni kipaji cha kuropoka ropoka na kugawa makalio, sasa kila mtu akiwa chawa na mtoa yas patachimbika kweli Tanzania hii?
Kaa chini, enjoy bahati yako, acha utoto wa mbwa, upo katika level nyingine ya maisha.
Kuna wajinga maarufu bongo hii wakisha shiba vihela vya kupaisha majina ya wanaume wenzao wengine baada ya kusambaza yas zao huwa wanatukana watu waliosoma eti wanapoteza muda.
Utafikiri kila mtu ambaye hakusoma sasa ameshakuwa tajiri kwa muda wote ambao haukuhutumua kwenda shule.
Wanasahau kuwa kinachowaweka mjini ni kipaji cha kuropoka ropoka na kugawa makalio, sasa kila mtu akiwa chawa na mtoa yas patachimbika kweli Tanzania hii?
Kaa chini, enjoy bahati yako, acha utoto wa mbwa, upo katika level nyingine ya maisha.