SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe ni hamnazo kabisa hata wana ukoo wako wanasikitika kwa nini ndugu yao(babako) hakutumia condom siku hiyo.Mimi na wewe ni nani ambaye hana akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni hamnazo kabisa hata wana ukoo wako wanasikitika kwa nini ndugu yao(babako) hakutumia condom siku hiyo.Mimi na wewe ni nani ambaye hana akili?
Jinsi tu unavyoandika kila mtu anaona kabisa huna akili.ndio maana unapuuzwa na kudharaulika sana humu jukwaani,kwasababu kila mtu anaona huna akili.Wewe ni hamnazo kabisa hata wana ukoo wako wanasikitika kwa nini ndugu yao(babako) hakutumia condom siku hiyo.
Mungu ikikupendeza CHUKUA NA HAWA. Huu mstari ninaupenda sana kutoka kwa NEY WA MITEGO.Akimuombea asimuombee akigalagala asigalegale ni mama mpaka 2030 Mungu akipenda na umri na afya vikiwepo
Wewe unayefanya kazi ambayo haina tija ndiye unadharaulika ndiyo maana huteuliwi.Jinsi tu unavyoandika kila mtu anaona kabisa huna akili.ndio maana unapuuzwa na kudharaulika sana humu jukwaani,kwasababu kila mtu anaona huna akili.
katika umoja wao,Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa Kuna mwenzenu huku
Huyu kwanza ni taahira kabisa!Hii nchi tuna wajinga wengi...karne ya 21 una garagara kwa sababu ya madarasa, wakati kuna nchi jirani tu hapa wanarusha satelite kwenda anga za mbali.
Siungi mkono mambo ya huyo mwinjaku kugaragara. Kwanza kwa mujibu wa mila za kabila la Kingoni, anayetakiwa kugaragara ni mwanamke tu. Ndiyo maana mlimuona Jenister Mhagama ambaye ni Mngoni akitimiza mila zao kwa Rais. Sasa tuje kwenye point yako ya msingi kuwa jirani zetu wanarusha satellite angani. Ni kweli lakini walianza kujenga madaraka kwanza. Hivyo swala la ujenzi wa madaraka au tuseme shule lisibezwe.Hii nchi tuna wajinga wengi...karne ya 21 una garagara kwa sababu ya madarasa, wakati kuna nchi jirani tu hapa wanarusha satelite kwenda anga za mbali.
Ukiendeleza sana pesa unaweza liwa ttyakko lazima uchangue kazi zenye staha.Kalipwa milioni 5 hapo kwenda kufanya hivyo. Plus ticket ya ndege na gharama za hotel. Na hapo ni kazi ya siku mbili tu.
Mwijaku sio mjinga. Kabla hujamcheka jiulize wewe unalipwa shilingi ngapi ?
Rwanda Kwetu kwenye Werevu wengi.Hii nchi tuna wajinga wengi...karne ya 21 una garagara kwa sababu ya madarasa, wakati kuna nchi jirani tu hapa wanarusha satelite kwenda anga za mbali.
Huyu analipwa kwa huu usaniiInaonekana trend mpya mjini ni kugalagala kwani baada ya Jenista Mhagama kugalagala juzi mkoani Ruvuma, mtangazaji na mwanamitandao maarufu Mwijaku nae ameunga tela!
Kuna video inasambaa mtandaoni inamuonesha Mwijaku anagalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa.
Soma pia: Kuelekea 2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake
Kwa mtu ambaye ana miaka 40 plus kugalagala kwenye matope kisa serikali inajenga madarasa inaonekana kama taifa bado tuna safari ndefu sana
Na 'Kupididiwa' juu.Huyu analipwa kwa huu usanii
Amina!Tutafika tu
Tutaitengeneza Tanzania mpya siku moja.......
Kwa kweli chuoo kijifanyie tathimini...Elimu yake haijamsaidia kbsaaaAlafu eti ana Masters Cjui nikutoka chuo cha Mzumbe? Kama chuo cha mzumbe walimtunuku shahada ya pili zwazwa kama huyu wajifanyie wenyewe tathimini.
Huyu Mpumbavu ana kesi Anadaiwa Na Masudi kipanya, ya Madai ya kumchafua Mitandaoni, Sasa Lazima Aendelee kufanya Uchawa ili Apate huruma ya Wakubwa Pimbi HuyuHii nchi tuna wajinga wengi...karne ya 21 una garagara kwa sababu ya madarasa, wakati kuna nchi jirani tu hapa wanarusha satelite kwenda anga za mbali.