Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Ni Sunna hiyo.Anawashika MATAKO na wanakubari?
Neema za Allah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Sunna hiyo.Anawashika MATAKO na wanakubari?
Hilio nalo ni kosa,mbona aslay tumemuona akifanya ngono na hakuna hukumu yoyote dhidi yake
Nq bado yapo yale matamasha ya baikoko sjui kanga moja
Huko watu wanabanduana wanawake wanakalia mpaka chupa mknddd ---n na kwenye k
Hii baikoko sjui kanga moja ni hatari sana
Mule ni zaidi ya sodoma na gomorrah
Kuna huyu dada wa kuitwa masha love anaanda sex party
Huko watu wanafl#nnnn na kuti@n mwanzo mwishoooo
Anatumia mgongo wa wale wasf
Mpaka nchi kufika 2035 itakuwa nyakanyaka
Ova
Mambo anayofanya yule dada ni balaa sodoma inasubiri...alafu etiKweli ndiyo maana Dayamondi alimtaja sana "SALAMU ZIENDE KWA WANJARA DON MASHA KWENYE BUNYERO ,MWAMBIE SIMBA KACHALALA ANATAKA MSAMBWANDA KWA BUKU JERO"
Masha anafanya ufirauni sana wakati ana watoto ,anawapa laana wanae ,what goes around comes around.....wanae watakuja kufanyiwa ufirauni kama anavyo engineer ufirauni kwa watoto wa wenzie.
Mambo anayofanya yule dada ni balaa sodoma inasubiri...alafu eti
Anapewa ubalozi wa kutangaza makampuni...
Ndomana nasema tz inazidi kuozaaa huko mbeleni tusilaumiane tu
Ova
Hahaha , nimeandaaa mabango wa kupinga mfumo kristo bakwataWanamuonea kwasababu ni muislamu. Waislam Tuandamaneni asee.
Wanamuonea kwasababu ni muislamu. Waislam Tuandamaneni asee.
Ukishakua muislamu hauna tofauti na mlemavu. Muda wote anahisi anaonewaWanamuonea kwasababu ni muislamu. Waislam Tuandamaneni asee.
Cha ajabu Mzee kazeeka Ila anakwambia bado anaishi kwao na yeye sio Mzee yeye ni BabuNi Sunna hiyo.
Neema za Allah
Sio demu swma mtoto. Uzee bila hekima wala hofu ya Mungu ni ukichaa.Kuna video ilitumwa Juzi ikiuonyesha amekaa kwenye kiti halafu kuna dada amekaa juu ya "boloyoung" akikatika huku akinyonywa kifuani na binti then demu akainama kisha Babuu kisauji akawa anamchapa makofi kwenye "MATTERCORE".
Yule sio mwanamke. Ni mtoto. Tena asingefungiwa na BASATA ingetakiwa ashtakiwe na kupelekwa Segerea kama Bob role model wake cocastic pamoja na BICHWA KOMWE - bila kumsahau wizo wake Lamomy au ukipenda muite Mrs. 100 others alivyofanyiwaJe mwanamke asingeenda kupanda juu ya kiuno cha Mwanaume ingekuwaje?
Mwanaume amesababibishiwa kufanya vile na yule mwanamke .
Amemponza mwenzie.
Adhabu hiyo ni kubwa sana ya milioni 3 ,
Igawanywe.
Mwanamku alipe milioni 2
Mwanaume milioni 1
Hahaaaa hajafungwa jela mkuu. Kafungiwa na BASATA tu.Huyu mzee amekuwa takataka uzeeni, yaani hajui anapunguza customer base yake.
Namuonaga maharusini akipewa kazi ya kuimba anataka kukumbatia wake za watu wa watoto wa kike wa watu, hovyo kabisa.
Miezi sita hiyo atapigika kabisa, kwa hiyo watu wake watamshughulikia mno, anaweza kurudi kiuno kimevunjika au kiko upande upande
Mzee wa hovyo mwenzako wewe na mwenzako Mzee wa hovyo wa JF.Na Uzee Ule Dar kweli Pesa Inapumbaza
😅😅Mzee wa hovyo mwenzako wewe na mwenzako Mzee wa hovyo wa JF.
Sio demu swma mtoto. Uzee bila hekima wala hofu ya Mungu ni ukichaa.
Sidhani kama ni kuhusu hilo, fikiria sawia. Nadhani aliyepewa adhabu ni mwenye account hiyo ya ticktock. Aliyepost video ya namna ile.Sasa hapo Mwanaume anakosa gani?
Mwanamke kajileta mwenyewe kwa Umalaya wake na tamaa ya fedha.
Basi mwanamke nae apewe adhabu yake kwa kile kitendo alichoenda kumfanya bamdogo.
Kwanini mwanamke ambae ndie alienda kuanzisha kitendo ameachwa bila adhabu?
Kwanini adhabu irgę mer kwa Mwanaume tu?
As long as ana furaha na maisha yake sioni tatizo.Cha ajabu Mzee kazeeka Ila anakwambia bado anaishi kwao na yeye sio Mzee yeye ni Babu