grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
".....Nahitaji msichana mmoja single KAMA MIMI nimuimbie ............mbona kimya inamaana wote hapa mna watu....?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaelewa swali, huyo bibi kizee amesema huyo mzee wa tik tok amefungiwa kwa sababu kuna mambo ya Kiislamu amekiuka, ndio nkauliza mbona mond anakiuka mengi ya Kiislamu na hajawahi kufungiwa kutokana na yeye kukiuka mambo ya KiislamuDiamond kashafungiwa mara nyingi, na wasafinndio wanaongoza kwa kufungiwa na kuitwa Basata, pale wasafi msanii ambaye hajawahi kuwa na kesi Basata ni lavalava peke yake,
yaani mtu mmoja ndiyo u attack dini nzima?Bc anachofanya n sahihi kwenye Uislam
Angalia comment ilipoanziayaani mtu mmoja ndiyo u attack dini nzima?
Sasa hilo nalo ni kosa? Kina Diamond na Mboso si wanafanya hivyo kila siku.Kuna video ilitumwa Juzi ikiuonyesha amekaa kwenye kiti halafu kuna dada amekaa juu ya "boloyoung" akikatika huku akinyonywa kifuani na binti then demu akainama kisha Babuu kisauji akawa anamchapa makofi kwenye "MATTERCORE".
Bila video huu ni uongo na uzushi hivyo afunguliwe.Kuna video ilitumwa Juzi ikiuonyesha amekaa kwenye kiti halafu kuna dada amekaa juu ya "boloyoung" akikatika huku akinyonywa kifuani na binti then demu akainama kisha Babuu kisauji akawa anamchapa makofi kwenye "MATTERCORE".
Maadiliii, maadili!
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema limejiridhisha kuwa Seif Kassim Kisauji maarufu Babu wa TikTok ametenda kosa la kimaadili wakati akitekeleza kazi zake za sanaa na limefikia maamuzi kumfungia kutokujishughulisha kufanya kazi za sanaa ndani na nje ya Tanzania kwa kipindi cha miezi sita kuanzia leo July 22,2024 na kumtoza faini ya Tsh. milioni 3 ambayo anatakiwa kuilipa ndani ya siku 7 kuanzia leo.
Baraza limesema limefikia uamuzi huo baada ya kumuita Kisauji kuhusiana na ukiukwaji wa maadili akiwa kama Msanii aliyesajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa kwa usajili Na. BST-9684-2023-2154 ambapo ukiukwani huo wa maadili ni kinyume na Kanuni ya 25 (6) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa za mwaka 2018 na Mwongozo wa Uzingatiaji wa Maadili katika Kazi za Sanaa wa Mwaka 2023.
“Baraza la Sanaa la Taifa kupitia Sheria Na. 23 ya Mwaka 1984 na Maboresho yake ya Mwaka 2019 ina mamlaka ya kusimamia maadili ya msingi kwenye Sekta ya Sanaa kwa Kanuni ya 25(1)-(8) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa za Mwaka 2018”
“Baraza limekwishatoa na kuzindua mwongozo wa maadili katika kazi za sanaa ambao unapatikana katika tovuti yetu basata.go.tz, hivyo ni jukumu la kila Msanii na Mdau wa Sanaa na jamii kuzingatia maadili katika kazi za sanaa”
Tupe ushahidi, Uislam haukisiwi tu.Bc anachofanya n sahihi kwenye Uislam
**** mbuzi kumbe 🤣Kuna video ilitumwa Juzi ikiuonyesha amekaa kwenye kiti halafu kuna dada amekaa juu ya "boloyoung" akikatika huku akinyonywa kifuani na binti then demu akainama kisha Babuu kisauji akawa anamchapa makofi kwenye "MATTERCORE".
jina Kisauji mbona linasaundi kibashabasha hilo?Wewe humjui Babu Kisauji wewe, huwa anafanya mengi ya kishenzi. Naona wamemchoka vituko vyake ndio wamempa adhabu, ila hayo ni kawaida kwake.
Huwa najiuliza, hao wanawake wanaoshikwa shikwa naye hawana wenzi/wazazi? Ni ajabu sana.
Sio nzuri ile video aisee, na kwa umri kama wake ni upuuzi kufanya yaleWekeni hapo tuone anachofanya
sio nzuri kwako. weka na sisi tuone ndio tuamue kama sio nzuri. kwanini utulazimishe mtazamo wacha udikitetaSio nzuri ile video aisee, na kwa umri kama wake ni upuuzi kufanya yale
ukipenda alicholifanya itakiwaje sasa nawe si utaingia dhambini...??Wekeni hapo tuone anachofanya
Yeah huenda na bangi ikawa inachangia maana binadamu wa kawaida lazima awe na mshipa wa aibuBangi na ukosefu wa maadili tu.
Ukiona hiyo clip utamchukia huyo Babu maisha yako yote,hasa kama unapenda watoto!!Wekeni hapo tuone anachofanya
alikua mtu wa starehe sana akiwa Ulaya. sasa kaona hakuna namna aendeleze uzeeni 😂Huyo babu mbona kama aliruka stage...