Kisauji (babu wa TikTok) afungiwa miezi sita

Kisauji (babu wa TikTok) afungiwa miezi sita

Yes kwa maadili yetu ni sawa kufungiwa.
Nq bado yapo yale matamasha ya baikoko sjui kanga moja
Huko watu wanabanduana wanawake wanakalia mpaka chupa mknddd ---n na kwenye k
Hii baikoko sjui kanga moja ni hatari sana
Mule ni zaidi ya sodoma na gomorrah

Kuna huyu dada wa kuitwa masha love anaanda sex party
Huko watu wanafl#nnnn na kuti@n mwanzo mwishoooo
Anatumia mgongo wa wale wasf
Mpaka nchi kufika 2035 itakuwa nyakanyaka

Ova
 
Kuna video ilitumwa Juzi ikiuonyesha amekaa kwenye kiti halafu kuna dada amekaa juu ya "boloyoung" akikatika huku akinyonywa kifuani na binti then demu akainama kisha Babuu kisauji akawa anamchapa makofi kwenye "MATTERCORE".
Hilio nalo ni kosa,mbona aslay tumemuona akifanya ngono na hakuna hukumu yoyote dhidi yake
 
Hujaelewa swali, huyo bibi kizee amesema huyo mzee wa tik tok amefungiwa kwa sababu kuna mambo ya Kiislamu amekiuka, ndio nkauliza mbona mond anakiuka mengi ya Kiislamu na hajawahi kufungiwa kutokana na yeye kukiuka mambo ya Kiislamu
Wewe ndo hujaelewa, huyo Faiza alimquote mjinga mmoja alisema hayo maneno ambapo ilikuwa ni katika kumweka sawa mjinga huyo juu ya uislamu na alichoandika. Sijui kwanini mnalisha watu maneno
 
Kwa wale ambao wanasema sijui kuruka stage ya ujana.......

Niwaambie kitu kimoja ni kuwa moyo hauzeeki....matamanio na msukumo wa nafsi viko pale pale......kinachomzuia mtu kufanya mambo ya kipuuzi na yenye aibu ni kuitanguliza akili kabla ya matamanio........

Iwe kijana au Mzee siku jitahidi sana akili yako iwe mbele kabla ya matamanio yako..... matamanio yakitangulia utafuata msukumo wa nafsi na msukumo wa nafsi unaambatana na ibilisi ndani yake(Kwa wenye kuamini) kinachofuata ni majuto.......

Wale wote waliofuata matamanio na msukumo wa nafsi wameangamia lakini kabla ya kuangamia inaanza fedheha na aibu........

NB;
Yule ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake.......
 
Alishakuwa maarufu.. ameshindwa kuplay smart.

Angeanza kuvaa manguo ya CCM na kumsifu HANGAYA angekula sana pesa mwaka huu coming election next year.
Alishafikiwa mpaka na BBC Swahili..si kitu kidogo.

Ona sasa ujinga wake.
 
Huyu mzee amekuwa takataka uzeeni, yaani hajui anapunguza customer base yake.

Namuonaga maharusini akipewa kazi ya kuimba anataka kukumbatia wake za watu wa watoto wa kike wa watu, hovyo kabisa.

Miezi sita hiyo atapigika kabisa, kwa hiyo watu wake watamshughulikia mno, anaweza kurudi kiuno kimevunjika au kiko upande upande
 

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema limejiridhisha kuwa Seif Kassim Kisauji maarufu Babu wa TikTok ametenda kosa la kimaadili wakati akitekeleza kazi zake za sanaa na limefikia maamuzi kumfungia kutokujishughulisha kufanya kazi za sanaa ndani na nje ya Tanzania kwa kipindi cha miezi sita kuanzia leo July 22,2024 na kumtoza faini ya Tsh. milioni 3 ambayo anatakiwa kuilipa ndani ya siku 7 kuanzia leo.

Baraza limesema limefikia uamuzi huo baada ya kumuita Kisauji kuhusiana na ukiukwaji wa maadili akiwa kama Msanii aliyesajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa kwa usajili Na. BST-9684-2023-2154 ambapo ukiukwani huo wa maadili ni kinyume na Kanuni ya 25 (6) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa za mwaka 2018 na Mwongozo wa Uzingatiaji wa Maadili katika Kazi za Sanaa wa Mwaka 2023.

“Baraza la Sanaa la Taifa kupitia Sheria Na. 23 ya Mwaka 1984 na Maboresho yake ya Mwaka 2019 ina mamlaka ya kusimamia maadili ya msingi kwenye Sekta ya Sanaa kwa Kanuni ya 25(1)-(8) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa za Mwaka 2018”

“Baraza limekwishatoa na kuzindua mwongozo wa maadili katika kazi za sanaa ambao unapatikana katika tovuti yetu basata.go.tz, hivyo ni jukumu la kila Msanii na Mdau wa Sanaa na jamii kuzingatia maadili katika kazi za sanaa”
Ile video tu ndo imfanye afungiwe hawa basata nao
 
Back
Top Bottom