Maisha ni yake ila hayo anayofanya mbele ya jamii sio suala la maisha yake ndo maana ukijiuza unashtakiwa hata kama maisha ni yakoo..! ukivuta bhangi unashikwa hata kama mapafu ni yakoo.. so huyu mzee upumbavu wake na kutokujielewa kwake isiwe sababu ya kuharibu jamii inayomzungukaAs long as ana furaha na maisha yake sioni tatizo.
kwa hiyo wewe ukimpa hela mwanafunzi ukamlaa akipata mimba ndo utajitetea huu utumbo mahakamani??Sasa hapo Mwanaume anakosa gani?
Mwanamke kajileta mwenyewe kwa Umalaya wake na tamaa ya fedha.
Basi mwanamke nae apewe adhabu yake kwa kile kitendo alichoenda kumfanya bamdogo.
Kwanini mwanamke ambae ndie alienda kuanzisha kitendo ameachwa bila adhabu?
Kwanini adhabu irgΔ mer kwa Mwanaume tu?
Mbona wala rushwa hawastakiwi kwa kuharibu jamii yetu??Maisha ni yake ila hayo anayofanya mbele ya jamii sio suala la maisha yake ndo maana ukijiuza unashtakiwa hata kama maisha ni yakoo..! ukivuta bhangi unashikwa hata kama mapafu ni yakoo.. so huyu mzee upumbavu wake na kutokujielewa kwake isiwe sababu ya kuharibu jamii inayomzunguka
Sheria haifanyi kazi hivyoo kijanaa...!Mbona wala rushwa hawastakiwi kwa kuharibu jamii yetu??
Mm sio kijana..Sheria haifanyi kazi hivyoo kijanaa...!
Ndo maana unatetea ufuska wa mzee mwenzio?? wazee ambao hamtaki kuzeeka kimaadili mnapoteza jamii yetuMm sio kijana..
Ni mstaafu wa umma miaka kadha nyuma,naomba heshima yangu.
Kwani kahukumiwa na uislamu? Basata ni Bakwata?Matendo yake yapo kinyume na Uislam. Kwenye Uislam huyo ni asi.
Mwenyezi Mungu amjaalie, hiyo miezi sita arudi kwa Muumba wake afanye toba.
Naona uelewa wako ni finyu sana.Kwani kahukumiwa na uislamu? Basata ni Bakwata?
Eti matendo yake yapo kinyume na uislam, kwahiyo basata wamekonsida uislam kwenye kutoa adhabu?
Mlichokosa ninyi wafuasi wa marehem mudi ni elimu, na akili hence uwezo mdogo wa kujenga na kupambanua hoja, nguruwe kabisa ww
Ukizeeka afu bado unatoa tackle kwa mashekhe akili unakuwa hauna.Naona uelewa wako ni finyu sana.
nani alikudanganya basata na bakwata zinaendeshwa Kiislam?
kanisome upya utaelewa tu.
Kanisome tena, unaonesha huelewi unachokisoma.Ukizeeka afu bado unatoa tackle kwa mashekhe akili unakuwa hauna.
Basata limemhukumu, ukaja na hoja eti yupo kinyume na uislamu ndo maana kahukumiwa.
Kwamba Basata ni chombo cha nyie magaidi sasa hivi? Ajuza usiye na akili
Zingatia malezi ya wazazi/walezi wako ya walimwengu waachie wenyewe.Ndo maana unatetea ufuska wa mzee mwenzio?? wazee ambao hamtaki kuzeeka kimaadili mnapoteza jamii yetu
msituaribie watoto wetuu tuliowalelea vyema kisa mna vipensheniii uchwaraaZingatia malezi ya wazazi/walezi wako ya walimwengu waachie wenyewe.
Utapata taabu sana kufuata maisha ya sisi wazee.
Wewe mwenyewe unalelewa hao watoto umewatoa wapi?msituaribie watoto wetuu tuliowalelea vyema kisa mna vipensheniii uchwaraa
Pitia "nardrionews"pale telegram..... Ujionee dhambi mpendwaWekeni hapo tuone anachofanya
Huyo mtoto unamfahamu?Sasa hapo Mwanaume anakosa gani?
Mwanamke kajileta mwenyewe kwa Umalaya wake na tamaa ya fedha.
Basi mwanamke nae apewe adhabu yake kwa kile kitendo alichoenda kumfanya bamdogo.
Kwanini mwanamke ambae ndie alienda kuanzisha kitendo ameachwa bila adhabu?
Kwanini adhabu irgΔ mer kwa Mwanaume tu?
Huyo mtoto unamfahamu?
Kwa ile video alipaswa kuwa jela huyu mpuuziBasata! Hukumu bila kuujulisha umma kosa lilikuwa nini..