Kisiasa, Kuna tofauti Gani kati ya "HAYATI" na "MWENDAZAKE"?

Kisiasa, Kuna tofauti Gani kati ya "HAYATI" na "MWENDAZAKE"?

Salaam, Shalom!!

Tukiwa msibani , kumeibuka ubishi hapa, Kuna watu wamegoma kabisa kulitumia Jina "MWENDAZAKE", kama lilivyotumika msiba wa Magu, Jina linalotumika kumtambulisha Mzee wetu marehemu Lowwassa ni "HAYATI".

Wajuvi wa mambo haya watujuze tofauti ya majina haya HAYATI na MWENDAZAKE Ili kupingana na msemo wa Mzee mmoja aliyetamka hadharani kuwa. "WAZURI HAWAFI".

Karibuni🙏
ongezea na neno marehemu.
 
Mwendazake hutumiwa na mtu ambaye humbeza marehemu kwa kujutia mabaya yake,na hayati hutumiwa na mtu mwenye kumsifia kwa mema mengi aliyotenda akiwa hai enzi za uongozi wake.
Yote kwa yote hakuna mkamilifu (wao hawakuwa malaika wala Mungu) na wote ni marehemu kuitwa mwendazake au Hayati haipindui ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli.
 
Mwendazake hutumiwa na mtu ambaye humbeza marehemu kwa kujutia mabaya yake,na hayati hutumiwa na mtu mwenye kumsifia kwa mema mengi aliyotenda akiwa hai enzi za uongozi wake.
Yote kwa yote hakuna mkamilifu (wao hawakuwa malaika wala Mungu) na wote ni marehemu kuitwa mwendazake au Hayati haipindui ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli.
Ngoja tuone ikiwa Kweli, Wazuri HAWAFI.
 
Back
Top Bottom