Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Watumiaji wa vyombo vya moto wajifunze kuzingatia sheria za usalama barabarani, hao wenye mamlaka ni binadamu kama sisi, hawataweza kudhibiti kila kitu.Sawa yetu macho ngoja tuone. Lakini tukio hili lilitakiwa liwafumbue macho wenye mamlaka