Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Watumiaji wa vyombo vya moto wajifunze kuzingatia sheria za usalama barabarani, hao wenye mamlaka ni binadamu kama sisi, hawataweza kudhibiti kila kitu.Sawa yetu macho ngoja tuone. Lakini tukio hili lilitakiwa liwafumbue macho wenye mamlaka
Ulichoandika sahihi kabisa, kama uongozi wa DAT, wanasoma hii unatakiwa kuwadhiti madereva, barabara iko karibu sana na makazi, madereva wanatakiwa kuendesha gari pole pole, siyo muda wote kasi tu bila kuangalia mazingira Derefa anayopita eti tu sababu watu wanaita mwendo kasi.Hii mitaa huwa ni Mungu tu anaepusha ajali ni hatari sana, nyumba ziko karibu sana na barabara, jioni hasa kuanzia saa moja kuna ombaomba wegi sana, tena vingine ni vitoto vidogo vinazurura ovyo, sasa kibaya mabasi ya mwendo kasi kwakuwa ni barabara yao mwendo wanaotembea kwakweli si rafiki kabisa, yaani kama una ma stress yako ya familia usipende sana kukatiza hayo maeneo.
Halafu utakuta huyu dereva bado ana leseni yake na bado yupo kwenye hiyo kampuni anafanya kazi. Upumbavu kabisa.
Huyo akamatwe, afutiwe leseni akaombe upya na afukuzwe kazi kabisa katika taasisi yoyote ya Serikali asijekuajiriwa. Na akome kabisa.
Ni Simu sisi mbona tunakunywa na tunaendesha hapahapa Dar tena nite mbaya😎
Angalieni video hii ya chanzo cha ajali hapo dereva wa mwendokasi hana makosa aiseeJuzi afande IGP ametoka kuongelea haya mambo ya ajali na competency ya madereva wa vyombo vya moto
Angalia video apo juu mkuu nani mwenye makosaUlichoandika sahihi kabisa, kama uongozi wa DAT, wanasoma hii unatakiwa kuwadhiti madereva, barabara iko karibu sana na makazi, madereva wanatakiwa kuendesha gari pole pole, siyo muda wote kasi tu bila kuangalia mazingira Derefa anayopita eti tu sababu watu wanaita mwendo kasi.
Unaweza kuchunguza hata sector binafsi kuona trend ya ajali zinayosababishwa na wanawake.Kuna wanawake wangapi kulinganisha na wanaume kwenye hii fani ya usafiri wa umma?
Yaani Kuna watu wajinga humu. Hiyo gari ndogo iliyogonga basi hamuioni?Hii haina ubishi ndugu dereva alikuwa Kitungi...Pole kwa wahanga.
Thank you.I second you with vivid support of 100%
exactlyNi kweli hii mkuu?
Idadi ya madereva wa kike kwenye ajira za udereva ni negligible hivyo hata ajali watakazosababisha ni negligibleUnaweza kuchunguza hata sector binafsi kuona trend ya ajali zinayosababishwa na wanawake.
Yaani Kuna watu wameanza kukomenti bila kuangalia video. Hii nchi Ina vilaza wengi sans😂Angalia video apo juu mkuu nani mwenye makosa
Huyo mwenda kwa miguu kama amepona basi akatoe sadakaImeripotiwa kutokea majeruhi kadhaa.
Wengi walikoment kwa kuhukumu biLa hata ya kutumia akili ya ziada wameanza kumpa malalamiko dereva wa mwendo kasi tuna safar ndefu kama nchiYaani Kuna watu wameanza kukomenti bila kuangalia video. Hii nchi Ina vilaza wengi sans😂
Uyo aende kutoa fungu la kumi aiseeHuyo mwamba kakaa kwenye kiti katoka speed ya ajabu
Ova
Mwamba katisha sana huyo wa kwny kiti...Huyo mwamba kakaa kwenye kiti katoka speed ya ajabu
Ova
Daah pole sana! Yaani uzembe wa wengine unauwa mtembea kwa miguu asiye na leseni wala idea na magari!Amekufaa jamaa
Kwani amekufa?Mpeni pole dereva wakuu kosa sio lake kuna gari ndogo ilichomeka ghafla ikabd akwepee upande huo mana upande aliokuewpo nasikia kulikua na watoto wadogo...
Wote tunajua ugumu uliopo kugongesha upande wako ila jamaa kajitoa kafara watoto wapone.... Hakua kalewa
Haya mambo ya kukaa pembezoni mwa barabar htr sanaMwamba katisha sana huyo wa kwny kiti...
Ana bahat aliona buyu linavotokea