Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road

Imagine bata na kale kakichwa kale chake kalivo kadogo ila anakuzidi akili your head is 30times larger than a bata head ila kwa maoni yako haya am sure humzidi akili
 
Watu wanahukumu kweli kweli wakati video inatoa picha halisi ya tukio zima tusipende kuhukumu.
 
Sasa una madereva wa kike 3, huku una madereva wa kiume 300 halafu usifie hawa watatu hawajafanya ajali ila hawa 300 wanne wamefanya ajali. Anyway uko sawa.
Mkuu nchi nzima ina madereva wanawake 3? Nimesema angalia sector zote mbili; yaani binafsi na serikalini, kwa kuwa ajali ni ajali. Ajali hazitofautiani kati ya sector binafsi na serikalini.
 
Mkuu nchi nzima ina madereva wanawake 3? Nimesema angalia sector zote mbili; yaani binafsi na serikalini, kwa kuwa ajali ni ajali. Ajali hazitofautiani kati ya sector binafsi na serikalini.
Kwani nchi nzima ina madereva wanaume 300? Ni mfano tu. Anyway unaweza kuwa sahihi.
 
Kuna huyo jamaa hapo alikuwa anatembea! Dah sidhani kama kapona maana dizaini kama kabanwa hivi! Eeh MUNGU saidia awe amepona!
 
Binafsi siwezi panda bus lolote au usafiri wowote anaeendesha mwanamke

Ndo wale anaona bus Lina overtake yeye anaachia steling anafunga macho na mkono, hawana maamuzi ya haraka hawawezi kujiongeza labda kujiongeza kwenye mabwana wenye hela.
 
kuna huyo jamaa hapo alikua anatembea!dah sidhani kama kapona maana dizaini kama kabanwa hvi!eeh MUNGU saidia awe amepona!
😳😳 Mkuu upo serious kweli? Hivi kwa hiyo direct impact na damage iliyotokea hapo unafikiri mtu anatoka mzima?

Hapo wanaokota tu vipande vipande vya nyama na mifupa.
 
Aisee nimesisimka[emoji3064] kwa woga
Mungu awaponye majeruhi

Mungu atuepushe mbali na ajali[emoji120]
 
Huyo hatakaa abarizi tena maishani mwake na hata kizazi chake
Hii imenikumbusha zamani mambo ya tungi nlikuwa napenda kukaa kwenye viti vinavyowekwa pembezoni mwa Road...mk bar hyo siku nasema niende washroom nyuma huku nasikiaa yalaaaahhh gari imeacha njia
Ikawagusa watu...mwinjumq Road hyo
Nkajirudia kuwa mzee wa kaunta tu

Ova
 
Binafsi siwezi panda bus lolote au usafiri wowote anaeendesha mwanamke

Ndo wale anaona bus Lina overtake yeye anaachia steling anafunga macho na mkono, hawana maamuzi ya haraka hawawezi kujiongeza labda kujiongeza kwenye mabwana wenye hela.
Ajali ni ajali awe mwanamke au mwanaume
Juzi juzi kimara huko lori liliacha njia
Ikawafata jamaa pembeni 3 walikufa hapo hapo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…