Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Kituo kipo ilipokuwa stand ya mabasi kisutu kwa sasa ni soko karibu na mtendeniMwenye taarifa za huyo mpita njia yu hai au amekufa atujuze maana nawa ambia watu hapa kua taarifa ya polisi imeonyesha hakuna Kifo.....
Mm nikiangalia tukio naona kama jamaa Ali escape Kwa kurukia ndani ya jengo la mwendokasi ndani