Kisutu, Dar: Robert Kisena apandishwa Kizimbani kwa Utakatishaji fedha, asomewa mashitaka 33

Milion 750 nadhani alimtapeli ndegesela.

Robert ni mjanja mjanja sana na binam yake kulwa na dogo lakd willi.
Uda nzima ilijaa watu wa malampaka.

Kama kwenye uzi huu atasoma ricardo nichek inbox
 
Huo mradi una maslahi ya umma, ni sawa na kuwekeza sokoni halafu usipende zogo na kelele, umma unataka mradi wake
 
Usimtete huyu mwizi mshirika wa Ridhwani Kikwete kwenye miradi yao ya wizi wizi!! Hawa ndio walifirisi UDA kwa mambo yao ya kifisadi enzi ya Kikwete wakishirikiana na Marehemu Idd Simba na Alhaj Profesa Juma Athumani Kapuya!! Genge la Vasco Dagama!!
 
Watu wengine huwa hawashibi pesa mpaka watakapokutana na tani saba za mchanga !! Salaaleeh !!
 
Usimtete huyu mwizi mshirika wa Ridhwani Kikwete kwenye miradi yao ya wizi wizi!! Hawa ndio walifirisi UDA kwa mambo yao ya kifisadi enzi ya Kikwete wakishirikiana na Marehemu Idd Simba na Alhaj Profesa Juma Athumani Kapuya!! Genge na Vasco Dagama!!
Mshirika kivipi halafu asumbuliwe mpaka sasa wakati washirika wenzie wameshika hatamu?
 
Milion 750 nadhani alimtapeli ndegesela.

Robert ni mjanja mjanja sana na binam yake kulwa na dogo lakd willi.
Uda nzima ilijaa watu wa malampaka.

Kama kwenye uzi huu atasoma ricardo nichek inbox

Ndegesela wa kahama kampuni ya royal anaendesha mdogo wake pamoja na viwanda vya mafuta na mabati, hapo labda akina njalu na gungu wataenda kumtoa jela
 
Mshirika kivipi halafu asumbuliwe mpaka sasa wakati washirika wenzie wameshika hatamu?
Ngoja utasikia mwendelezo wa hii kesi!! Kesi ngapi za kusisimua umezisoma magazetini halafu ziiiiiiiiii huzisikii tena? Nchi hii inaongozwa na wahuni ! Ile ya wale waliokuwa wameunganisha bomba la Mafuta Kigamboni umeisikia tena?
 
Ngoja utasikia mwendelezo wa hii kesi!! Kesi ngapi za kusisimua umezisoma magazetini halafu ziiiiiiiiii huzisikii tena? Nchi hii inaongozwa na wahuni !
Huyo jamaa amewekwa mtu kati, siku akikubali kuachia wanavyotaka wenyewe wataachana nae, na watafanya hivyo muda wowote, naamini hata hiyo kesi ni mojawapo ya njia za kumtisha ili awapishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…