Kisutu, Dar: Robert Kisena apandishwa Kizimbani kwa Utakatishaji fedha, asomewa mashitaka 33

Huyo jamaa amewekwa mtu kati, siku akikubali kuachia wanavyotaka wenyewe wataachana nae, na watafanya hivyo muda wowote, naamini hata hiyo kesi ni mojawapo ya njia za kumtisha ili awapishe.
Kumbuka ni kesi ya 2019 so msitake kusingizia watu
 
Lugumi, kisena, gwajima, mpina hawa ni wasukuma wajanja wajanja pamoja na lafudhi mbovu lakini wako kimjini ukizubaa unaliwa kichwa kama kawaida
Lugumi mzee wa tenda za silaha..haya majamaa yanatengezaje pesa mjini?

#MaendeleoHayanaChama
 
Usimtete huyu mwizi mshirika wa Ridhwani Kikwete kwenye miradi yao ya wizi wizi!! Hawa ndio walifirisi UDA kwa mambo yao ya kifisadi enzi ya Kikwete wakishirikiana na Marehemu Idd Simba na Alhaj Profesa Juma Athumani Kapuya!! Genge na Vasco Dagama!!
Mwendazake alimuacha pale Kwa sababu ni Msukuma wa kwao.
 
Wataachiwa, au watapigwa faini za mikioni 30 basi mchezo umeisha.
 
Mbwembwe nyingi hukumu ikitoka wanakaa gerezani miezi mitatu kisha wanaachiwa huru
 
Ngoja utasikia mwendelezo wa hii kesi!! Kesi ngapi za kusisimua umezisoma magazetini halafu ziiiiiiiiii huzisikii tena? Nchi hii inaongozwa na wahuni !
Kisha itabidi walipwe fidia kwa hasara waliyoipata !!
 
Na wale wananyonya mafuta yetu pale kigamboni na kuyafungulia ndani kwao kama maji, mliwapiga fine ya laki saba kimyakimya pale kisutu alafu mkabadilisha na RPC aliyetaka kufuatilia kipindi tukiwa busy na Sabaya Arusha..wakamatwe haraka sana.
 
Hilo pozi lake la kijinga ndio litakalowaponza yeye na wenzake.
Mahakimu wetu ni very emotional. Unaweza pewa mvua kwa kutotamka neno muheshimiwa. Hilo pozi ajiandae kuwa nalo Segerea.
Obvious hapo hakimu alikuwa hajaingia court hawezi kukaa hivyo mbele ya hakimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…