Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Pole Kaka jamani kabla ya kufanya upumbavu muwage mnafikiria na watoto wenu. Sasa watoto wanateseka kisa ujuaji wa baba yao. Yaani huyu hana tofauti na Victoire wa Rwanda aliecha familia yake Uholanzi kisa kwenda kumpinga Kagame. If you cant beat them,then join them.
Madame Victoire... unaita taaluma ya Kabendera upumbavu? Kosa lake liko wapi? Yeye ni muandishi wa habari za kiuchunguzi, aliandika kadiri ya uchunguzi wake ulipofikia.
Kosa lake ni kuandika kwa kutumia taaluma yake?
Na kama kila mmoja akifikiria familia yake tutajenga Taifa la namna gani?