Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkundu wa alikuzaaEquality before the law ni moja ya misingi ya katiba ya JMT.
Kama Mbowe alifanya kosa la uhujumu uchumi na ugaidi basi sheria ifuate mkondo.
Kuingilia mahakama kutoa uamuzi wa huruma kisa wanasiasa na watu wasio wazalendo wanamuonea huruma Mbowe sio fair.
Nazungumza kama mpenda maendeleo na mzawa wa Tanzania haki ifanyike bila kumpendelea Chairmman, kesho ruling ya High Court iwe fair kabisa.
Jikite kwenye mada.Kamanda mbona umechoka pumzi imekata
MkuuAcha upuuzi, tumia ubongo. Mimi nataka haki.
Sina hakika na unayosema.Mkuu
Haki gani unayoitaka?
Maana kukamatwa kwake mpaka anabambikiwa huo utopolo utaratibu mzima ni haramu
Sasa sijui unazungumziaje hili?
Mi nikwambie tu usitegemee vya halali ikiwa haramu imetangulia!
Independence of judiciary is one of the pillar of justice.Kwahiyo umetoa hukumu hujui unaingilia Haki zake na unaingilia Uhuru wa mahakama.
Shutup.Mkuu si tulikubaliana wewe Mada zako ni zile za size za Mikuyenge.. ?
Kusema hivyo kutasaidia nini?Equality before the law ni moja ya misingi ya katiba ya JMT.
Kama Mbowe alifanya kosa la uhujumu uchumi na ugaidi basi sheria ifuate mkondo.
Kuingilia mahakama kutoa uamuzi wa huruma kisa wanasiasa na watu wasio wazalendo wanamuonea huruma Mbowe sio fair.
Nazungumza kama mpenda maendeleo na mzawa wa Tanzania haki ifanyike bila kumpendelea Chairmman, kesho ruling ya High Court iwe fair kabisa.
Independence of judiciaryKusema hivyo kutasaidia nini?
Kama kusema hivyo ndiko kunakoleta independence of judiciary, then hakuna hiyo independence.Independence of judiciary
Wale wanaolaumu watu wale wanaotilia shaka mashtaka dhidi ya Mbowe, kwamba wao wanaamini serikali na jeshi la polisi ni watakatifu sana na hawajawahi kubambikia watu kesi, wakumbuke kuwa huyu huyu wanayehangaika naye walishampa kesi ya Aqulina na akashinda. Kama hali ndiyo hii, kwanini tusiwatilie mashaka tena?
Mbowe tangu awe mwanasiasa wa upinzani ameshawahi kupigania jambo gani na likafanikiwa?
Amewahi kupigania haki ipi na ikafanikiwa?
???
Huyu jamaa Iboya usimjibu. NI wale watoto WA mimba za bahati mbaya. Na akakumbana na kubemendwaNi akili zakoooo au umeazima za kuazima?