Kisutu: Kesi ya Erick Kabendera yaendelea. Jamhuri yaweka kisiki Erick kushiriki msiba wa mama yake mzazi

Well said,tatizo wananongonzwa na emotions na sio facts,Kabendera yeye ni nani hadi apate ruhusa ya kwenda kuzika mama yake?Wafungwa/Mahabusu kibao tu wanafiwa na watu wao wa karibu na hawapewi ruhusa ya kwenda kuzika.
 
Ombi limetupiliwa mbali
 
Hii ni vunga tu komando yoso anakuja hivi punde na kauli ya kusamehewa kwake ili sifa na utukufu umrudie yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe you believe in curse

Where does it come from [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]

Heri ya mwaka mpya mkuu wangu kiranga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu mtu ni mshitakiwa mama yake akizikwa hatapata tena nafasi ya kumuona zaidi ya kutembelea kaburi lake ni vema aruhusiwe apate nafasi ya mwisho kutoa heshima kwa mama yake hakuna mtu ajuaye kesho yake
Mawazo yangu Kama ya kwako,kwa mfungwa Sawa ila mahabusu!!!!!
 
Kwani Ni mfungwa huyo?
Ndo maana wanatafuta makosa kwake hivo tambua huwenda asikutwe na kosa,maana Bado Ni mtuhumiwa
 
Well said,tatizo wananongonzwa na emotions na sio facts,Kabendera yeye ni nani hadi apate ruhusa ya kwenda kuzika mama yake?Wafungwa/Mahabusu kibao tu wanafiwa na watu wao wa karibu na hawapewi ruhusa ya kwenda kuzika.
Jaribu kuwa na huruma

Mengine mezea moyoni itasaidia mkuu

Dunia ni Pana sana hii mkuu

Kuna siku utakumbuka haya maneno victorie
 
Jaribu kuwa na huruma

Mengine mezea moyoni itasaidia mkuu

Dunia ni Pana sana hii mkuu

Kuna siku utakumbuka haya maneno victorie
Nina huruma sana tu,lakini siwezi ruhusu huruma zangu zibypass facts.
 
Kabendera ni tofauti maana yeye amebambikiwa kesi ili akomolowe ili kumfurahisha rais. Kwahiyo jitahidi kuelewa hilo.
Haya ya kubambikwa kesi bado hayajathibitishwa na mahakama.
Ni mahakama ndio itatafsiri sheria kuonesha kama kabambikwa au ana hatia
 
Kuna mtuhumiwa aliwahi kwenda kumzika mama au babake yake akiwa mahabusu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said,tatizo wananongonzwa na emotions na sio facts,Kabendera yeye ni nani hadi apate ruhusa ya kwenda kuzika mama yake?Wafungwa/Mahabusu kibao tu wanafiwa na watu wao wa karibu na hawapewi ruhusa ya kwenda kuzika.

We ajuza kaa kwa kutulia, huyo Kabendera hana kosa bali kosa lake ni kukosoa, hivyo anakomolewa. Pamoja na kukomolewa kwa kesi za kubambikiwa, bado aliomba alipe plea bargaining ili alipe kama wengine, lakini kwakuwa lengo ni kumkomoa bado walimgomea. Isitoshe unaenda mwezi wa sita huu, mbona hahukimiwi? Ww leta sura yako mbaya iliyokunjamana kaa ngozi ya goti, huku ukijifanya unajua sheria kumbe ni muuza mbunye tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…