Kisutu: Kesi ya kuvunja gereza la Segerea inayowakabili viongozi wa CHADEMA yafutwa

Kama wewe unajua zaidi si ungeenda kuwa shahidi
 
Mama samia aliishatoa muelekeo wa kuachana na kesi zote za kipumbavu zilizoanzishwa na utawala wa hovyo uliopita. kwa nini utekelezaji hauonekani?
Kesi ya kipumbavu kuvamia gereza? Kumchania afande sare?

Ulimuelewa mama alimaanisha nini?
 
Mkuu kama adi leo unaamini kwamba ni kweli walivunja sheria na wameachiwa huru itabidi ufikirie tena. Gerezani ni mahali penye ulinzi mkali haiwezekani kikundi kidogo kama hicho wakavunje geti la gereza mbele ya askari wenye silaha, tena wavunjaji wenyewe hawakuwa hata na koleo mkononi. Hayo yalikuwa maigizo yenye malengo maalum na lengo limesha timia wenye macho wameona na wenye masikio wamesikia.
 
Mkuu kuna mtu alitolewa gerezani usiku wa manane kwenda kuwa mbunge bila order ya mahakama, itoshe tu kuelewa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…