Kisutu: Kesi ya kuvunja gereza la Segerea inayowakabili viongozi wa CHADEMA yafutwa

Kisutu: Kesi ya kuvunja gereza la Segerea inayowakabili viongozi wa CHADEMA yafutwa

Huyu kaka alieshika kidevu ni nani.

Nimependa muonekano wake.

Kama ananiangalia vile anataka anikonyeze. 🥰🥰🥰
 

Taarifa zaidi zitawajia hivi punde

=====
Hii ni baada ya Upande wa Mashitaka kushindwa kuleta mashahidi mbele ya Hakimu Huruma Shaidi kwa ajili ya usikilizaji wa kesi hiyo leo tarehe 5 May 2021 .

Walioachiwa huru ni Watu 27 akiwemo Halima Mdee , ambaye ni Mbunge asiye na Chama chochote , wote hawa walishitakiwa kwa kosa la kufanya mkusanyiko usio halali na kutotii amri halali katika geti la gereza la Segerea , Jambo lililotafsiriwa kama nia ovu ya kutaka kuvunja Gereza
Bahati yao kwa sababu wakina Mdee wameshaacha ujinga wao wa zamani wakisaccos ndiyo maana wameachiwa lakini wasirudie.
 
Dah, Jiwe bwana! Eti kuvunja gereza!

Nchi imepitia hali tata sana miaka mitano iliyopita!
Wale wapiga kelele za LEGACY ... mnasikia !!!??? Hizo ndio LEGACY alizoacha MWANAKWENDAZAKE zenye kufahamika ambazo zitabaki kwenye vitabu vya HISTORIA na kwenye MIOYO ya watanzania

Lakini yale madaraja ya Ubungo na Tazara kuna siku yatabomolewa ila HISTORIA ya CHADEMA kutaka kuvunja gereza la Segerea itabaki kwenye maandishi, picha mnato, video clips na hata kwenye mioyo ya watanzania huku wakirithishana taarifa vizazi kwa vizazi

Kwakweli bora ALIVYOKWENDAZAKE MWANAKWENDA
 
Wale wapiga kelele za LEGACY ... mnasikia !!!??? Hizo ndio LEGACY alizoacha MWANAKWENDAZAKE zenye kufahamika ambazo zitabaki kwenye vitabu vya HISTORIA na kwenye MIOYO ya watanzania

Lakini yale madaraja ya Ubungo na Tazara kuna siku yatabomolewa ila HISTORIA ya CHADEMA kuataka kuvunja gereza la Segerea itabaki kwenye maandishi, picha mnato, video clips na hata kwenye mioyo ya watanzania huku wakirithishana taarifa vizazi kwa vizazi

Kwakweli bora ALIVYOKWENDAZAKE MWANAKWENDA
Hujui kitu. Wawashukuru wakina Mdee kwa sababu wametubu!
 
Wale wapiga kelele za LEGACY ... mnasikia !!!??? Hizo ndio LEGACY alizoacha MWANAKWENDAZAKE zenye kufahamika ambazo zitabaki kwenye vitabu vya HISTORIA na kwenye MIOYO ya watanzania

Lakini yale madaraja ya Ubungo na Tazara kuna siku yatabomolewa ila HISTORIA ya CHADEMA kuataka kuvunja gereza la Segerea itabaki kwenye maandishi, picha mnato, video clips na hata kwenye mioyo ya watanzania huku wakirithishana taarifa vizazi kwa vizazi

Kwakweli bora ALIVYOKWENDAZAKE MWANAKWENDA
Aiseeeee !!!
 
Serikali yenye maadili hulinda na kuitetea katiba na huhakikisha kuwa hakuna mtu anaekuwa juu ya sheria. Hii ina maana kuwa mtu akivunja sheria anapelekwa mahakamani na kisha anapata haki yake.

Watu walifanya vurugu na kuingia eneo la gereza lisiloruhusiwa. Ushahidi upo na mbaya zaidi walimchania sare askari magereza. Mashahidi wakuu ni haohao maaskari magereza.

Kwa nini msipeleke mashahidi ili waliovunja sheria wapate haki zao?

Au sababu mmewapa ubunge wa kwenye sinia ndio maana mnawabeba hata wakivunja sheria?

Huku ni kukosa maadili ambako hakufai kabisa.
 
Mama samia aliishatoa muelekeo wa kuachana na kesi zote za kipumbavu zilizoanzishwa na utawala wa hovyo uliopita. kwa nini utekelezaji hauonekani?
 
Wakishatofautiana hapo mbeleni utaskia mahakama ilikosea kuhukumu, kesi itaanza kuunguruma tena upyaaa...!

OIT...!
 
Serikali yenye maadili hulinda na kuitetea katiba na huhakikisha kuwa hakuna mtu anaekuwa juu ya sheria. Hii ina maana kuwa mtu akivunja sheria anapelekwa mahakamani na kisha anapata haki yake.

Watu walifanya vurugu na kuingia eneo la gereza lisiloruhusiwa. Ushahidi upo na mbaya zaidi walimchania sare askari magereza. Mashahidi wakuu ni haohao maaskari magereza.

Kwa nini msipeleke mashahidi ili waliovunja sheria wapate haki zao?

Au sababu mmewapa ubunge wa kwenye sinia ndio maana mnawabeba hata wakivunja sheria?

Huku ni kukosa maadili ambako hakufai kabisa.
Kwanini wewe usipeleke huo ushahidi ili sheria ichukue mkondo wake? Jinai haifi
 
Mataga mnaweweseka acheni vinyongo mliambiwa ni mwiko kurithi wabaya wa mwenzako .....mkamtoa babu seya sasa leo mmesahau ....mama hataki hayo pia...hata masheikh watatoka soon
 
Back
Top Bottom