Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nadhani hakimu kauliza swali moja tu, aoneshwe hiyo sehemu iliyovunjwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana hii ndio sababu kubwa ya kesi kufutwaWaliovunja kina Khalima wote walikuwa upande wa Magufuli na aliwapa ubunge yeye na sasa wanalindwa na ndugai
Tumswalie Mtume JamaniUko alipo Jiwe anachezea mijeredi mwanzo mwisho
Naona mazao ya dikiteeta yanakauka kwa speed ya 5G.
Hongera zake mama yetu kwa angalu kuonyesha kuwa anauchungu wa mzazi.
Roho mbaya iliyo kithiri
Jiwe kafa hivyo mtu wa kuamrisha mahakama kutenda ndivyo sivyo hayupo tena. Kesi za kijinga zilizokuwepo kwa Maslahi ya jiwe zote zitatupiliwa mbaliWasirudie tena huo ujinga
Hakuna kitu kama hichoImefutwa sababu ya akina Halima wapo upande wa Ndugai
Na wewe unaamini walivunja gereza kweli? Walinzi walikuwa wapi na bunduki zao wkt gereza linavunjwa?Wasirudie tena huo ujinga
Taifa limetulia, hali ni tulivu, hyo ni baada ya yule yona muasisi wa haya yote kutoswa baharini. Bahari sasa imetulia, mambo ni shwari, maisha yanaendelea.HAKI HUINUA TAIFA
TAIFA LIKIINULIWA WATU WAKE HUPATA UTULIVU
Sababu nini?Hakuna kitu kama hicho
Wewe mbona umeandika "ata" badala ya "hata"!!!Ata kuandika ni shida!
nimeandika kusudi tufauti na huyo bwanakoWewe mbona umeandika "ata" badala ya "hata"!!!
Kweli wajane wa shetani mnateseka sana.
Dah, Jiwe bwana! Eti kuvunja gereza!
Nchi imepitia hali tata sana miaka mitano iliyopita!
Msirudie tena huo upumbavu.Wasirudie tena huo ujinga
Hivi nyie watu, Jiwe kufa juzi tu kila kitu chake mnakitengua siyo. Mungu anawaona
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde
=====
Hii ni baada ya Upande wa Mashitaka kushindwa kuleta mashahidi mbele ya Hakimu Huruma Shaidi kwa ajili ya usikilizaji wa kesi hiyo leo tarehe 5 May 2021 .
Walioachiwa huru ni Watu 27 akiwemo Halima Mdee , ambaye ni Mbunge asiye na Chama chochote , wote hawa walishitakiwa kwa kosa la kufanya mkusanyiko usio halali na kutotii amri halali katika geti la gereza la Segerea .
"tufauti" ndio nini?nimeandika kusudi tufauti na huyo bwanako