Wasingeweza maana mama kesha sema hataki uonevu!!! Dhamira zingewasuta!!!Lkn pia kama mahakama au waendesha mashitaka wangetaka kuwakomalia cdm wangeweza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasingeweza maana mama kesha sema hataki uonevu!!! Dhamira zingewasuta!!!Lkn pia kama mahakama au waendesha mashitaka wangetaka kuwakomalia cdm wangeweza tu.
Yani mtu asiye hata na nyundo atavunjaje yale mamawe yaliyojenga magereza... huku askari magereza wakiwaangalia tu yani...Hawajawai kuvunja gereza hizo zilikua siasa chafu.
Yaani Jiwe kulikua na namna tu ya kumuingia, ilikua ukimuweza tu basi unamuingiza "KINGI" kiulaiiini!Meko bhana.... eti ukiyachenjua yale makinikia malori 37 ya tani saba yangejaa....
Hahahha kweli jamaa alituona sisi mazwazwa sana...
Yale maprofesa sijui yako wapi hivi sasa... maana yalimdanganya mwendazake kama mtoto wa chekechea
Asante sana mkuu pia shukrani nyingi sana zimwendee mama yetu angalau hadi hapa tulipo fikia.Wasingeweza maana mama kesha sema hataki uonevu!!! Dhamira zingewasuta!!!
Malaika wanakiona cha moto wallah...Sasa anawahenyesha malaika huko.
Ina maana umeamini kuwa kweli walivunja gereza? Mtu anavunjaje gereza kwa mfano!!! Unataka kifo!!!!Wasirudie tena huo ujinga
Kama Kina Bashite waliweza kumkamata, basi jiwe lilikuwa jepesi sanaYaani Jiwe kulikua na namna tu ya kumuingia, ilikua ukimuweza tu basi unamuingiza "KINGI" kiulaiiini!
Si ndio hapa sasa! Na askari magereza walivyo katili chini ya mwendazake leo hii hao viongozi wa Chadema wangekua historia.Yani mtu asiye hata na nyundo atavunjaje yale mamawe yaliyojenga magereza... huku askari magereza wakiwaangalia tu yani...
Uko alipo Jiwe anachezea mijeredi mwanzo mwishoSasa anawahenyesha malaika huko.
Nani kama mama!!! Mama ana uchungu wa mwanae kila siku!!!! Tunakupenda raisi wetu Sammy Hassan!!!Asante sana mkuu pia shukrani nyingi sana zimwendee mama yetu angalau hadi hapa tulipo fikia.
Kwa anavyoenda bado tunaimani naye sana.Nani kama mama!!! Mama ana uchungu wa mwanae kila siku!!!! Tunakupenda raisi wetu Sammy Hassan!!!
Mkuu habadiliki huyu. Kaletwa na Mungu baada ya kuona watoto wake tunateseka na hatuna msaada. Tunamuombea kwa Mungu bila hata yeye kuomba tumwombee.Kwa anavyoenda bado tunaimani naye sana.
Labda abadilike
shetani mwenyewe alikuwa ameziwa cheo na huyo mzeeAlikuwa ni shetani sn huyo mzee
Ila tuliambiwa kua Yohana huyu atatubatiza kwa moto!Waliokuwa hawakubaliani na mwazo ya jiwe tumepitia kwenye tanuru la ndimi za moto.
Hakika Mungu amjalie afya njema kwa kututoa kwenye tanuru la motoMkuu habadiliki huyu. Kaletwa na Mungu baada ya kuona watoto wake tunateseka na hatuna msaada. Tunamuombea kwa Mungu bila hata yeye kuomba tumwombee.
Nashangaa vifaa vyakuvunja nikama nyundo kubwa.shoka.sururu .msumeno wachuma. Chuma kinacho itwa fatuma.tindo.bunduki.sasa najiuliza walitumia kifaa gani kati yahivi ?na walipita navyo vipi? Nikijibiwa nitachangia asante kwa maana akili yangu sishikiwi namtu naituma mwenyewe initumikie.Hivi unalijua Gereza?,
Acheni utani,Gereza siyo Kama zizi au kibanda Cha kuku.
Nakweli katunatiza kweeeeeriii kweeeriii kwa kutuita jina la Wanyonge.Ila tuliambiwa kua Yohana huyu atatubatiza kwa moto!
😁😁😁Hakika Mungu amjalie afya njema kwa kututoa kwenye tanuru la moto