Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Niliwahi kumsikia nguli wa kiswahili, rais mstaafu akisema neno "nyimbo" halina umoja. Anayesema nyimbo hii yuko sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakela sana watu wanahalibu luga makusudi kabisa!!
Siku hizi hata ledioni unakuta wanahalibu!!
Ipitishwe shelia kukomesha iko kitu!!


Makubwa[emoji1552]‍♂️[emoji1552]‍♂️[emoji1552]‍♂️[emoji1552]‍♂️


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani sijawahi waelewa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Kweli hata "h" kwenye uandishi hata matamshi imekuwa ikipuuzwa mfano, 'hakuna kama mama' utasikia mtu anasema au kuandika ' akuna kama mama'. Vilevile imekuwa kawaida watu kuweka matumizi ya "h" ambapo hapahusiani
Ni nini kinatukumba kwenye lugha yetu ya kiswahili!?? Huu mchanganyiko wa L na R unakuwa kasi saana. Tunaelekea wapi!?


Shuklani,, gurio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…