Haya nisaidie na mie ili niache sasa!!!Aahahahahahah ahsante kaka...mimi niliona hamna faida ninayoipata nikaamua kuacha kabisa kuhudhuria kwenye viti virefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno dharura ni Kiarabu 100%okonkwo jr miye siyo kilaza wa Lugha hii adhimu. Dharula ndiyo neno sahihi na wala siyo "dharura". Nikwambie tu wengine tulishiriki kwenye vita kati ya siye tuliokuwa tunadhani matumizi sahihi ya neno linalotakiwa kuashiria uelekeo ni "onyesha" na siyo "onesha" na wale waliokuwa wanaamini kinyume chake, bahati mbaya sana tulishindwa vita ile baada ya mapambano mengi sana. Kama una ushahidi kuwa neno sahihi ni DHARURA na siyo DHARULA basi uuweke hapa Jamvini.
Preta, bitimkongwe 42_007 nziriye Manyunchwi Zamaulid SaaMbovu Kaboom hii lugha ya Kiswahili tunaitumia kwa mazoea lakini wakati mwingine huwa tunaipotoa!! Nimeona brawn shao kaathiriwa labda na lugha yake ya asili badala ya kuandika "thamani" akaandika "dhamani" Tujifunze wote kwa pamoja!!
Pole madam, tumeharibu kiswahili chetu wenyeweAu
hipo......ipo
Huniletee........uniletee.......
hawa ndio huwa wananifanya nijisikie kukabwa kabisa........sipumui......
Duh, kilaza unakosoa kilaza mwenzako: Ni Werevu na sio WaelevuKilaza anaelevusha waelevu,DHARULA=DHARURA
Kama mchafukogeKiswahili kweli kimechafukwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ✓
Hi - HiiHabari wakuu?
Unakuta mtu anafuma uzi wake anatuchunganya yeye na wachangiajiaji wake
Unakuta kwenye kuandika l anaandika R na R anaandika L najiuliza Hawa watu Wana misabiati yao au?
Msamiati hauna wingiHi - Hii
Anatuchunganya - Anatuchanganya
Wachangiajiaji - Wachangiaji
Misabiati - Misamiati
Kasoro zenye kasoro.
sisi sio warimu wa shure ya kiswahiri ira tunauerewa wa maswara mbari-mbari ya rugha na tunaijua kweri-kweri.Wazee wa L kuwa R na R kuwa L naona mmekuja walimu wa shule za kiswahili za kata!
Mmenichambua haswa
Hili sasa hivi ni tatizo la kitaifa,zamani ilikuwa inafuatiliwa hasa level ya primary na secondary lakini sasa hivi naona hakuna ufuatiliaji ni free range...Habari wakuu?
Unakuta mtu anafuma uzi wake anatuchunganya yeye na wachangiajiaji wake
Unakuta kwenye kuandika l anaandika R na R anaandika L najiuliza Hawa watu Wana misabiati yao au?
[emoji3][emoji3][emoji3]'Anatuchunganya' ni nini?
'wachangiajiaji' ??
'anaandika' ??
'Misabiati' ??