Huko uongo ndiko ulianzia kwenye hiyo mikutano kama uongo mwingine ule wa.kusema kanisa la kwanza lilianzia Roma na sio Uyahudi alikozaliwa Yesu na mitumeHuwa nawashauri watu kabla.ya kuingia kwenye Mijadala.ya Kielimu wajielimishe kwanza kiasi cha kuweza kufanya Confrotation..
Kasome kuhusu Council of Jamnia (au Yavneh) cha mwaka 90CE
Ni jina moja kama ilivyo PETER,PETRO,PEDRO, PIERRE,PIETRE.etcKwani ni Enocko au Enock?
Halafu fungueni hizo code. Zimekuwa ngumu sana.
Hayo ya Henoko yalikuwa mahubiri yasiyo na ushahidi wa kimaandikoyako.
Shotocan umeutupiga kamba kuwa Jewish Bible ndio original word of God ya agano la kale, kwa nini unataka wanajukwaa wakuamini kuwa na yale ya Henoko yalikuwa mahubiri tu yaliyorithishwa (madai yasiyo na ushahidi wa kimaandiko) na sio unabii (jambo lenye ushahidi wa kimaandiko) na hata kitabu chake kipo.
Nakubaliana na Wewe Kabisa Huko ndiko Uongo ulikozaliwa!Huko uongo ndiko ulianzia kwenye hiyo mikutano kama uongo mwingine ule wa.kusema kanisa la kwanza lilianzia Roma na sio Uyahudi alikozaliwa Yesu na mitume
Kitabu cha Yuda KimeQoutes Kitabu cha Henock (Enock)..Ina maana kama Kitabu cha Enock ni kitabu cha Shetani kwanini Yuda Mtakatifu atoe Baadhi ya Mistari kwenye Kitabu cha Shetani na akielezee kama msingi wa imani yake?Hayo ya Henoko yalikuwa mahubiri yasiyo na ushahidi wa kimaandiko
Hata mahubiri ya Yesu sio yote yako kwenye Biblia yalichukuliwa machache tu yakawekwa kwenye Biblia sio yote
Hayo ya Henoko pia hayana ushahidi wa kimaandiko ila ni mahubiri mazuri hayapingani na Original Bible wala kinyume na Mungu
Kuna mambo mengi yaliachwa, kwa mfano barua aliyoiandika Ponsio Pilato akijuta kumhukumu yesu kifo, Ni barua genuine, lakini haimo kwny vitabu vya Biblia.📌🔨Siyo kuchuja agano la kale tu, hata agano jipya.
Biblia haikushushwa kama Quruani.
Biblia imeandikwa kwa mfumo wa filtration. Kuchuja.
Maandishi yalikuwa yanakutwa kwenye magome ya miti, kwny ngozi za wanyama nk, yanakusanywa na kuamuliwa kipi ni sahihi.
Kuna mambo mengi yaliachwa, kwa mfano barua aliyoiandika Ponsio Pilato akijuta kumhukumu yesu kifo, Ni barua genuine, lakini haimo kwny vitabu vya Biblia.
Naona hoja za msingi unazikimbia, unaleta tu porojo hapa za kunipotezea muda ilhali huna ushahidi wowote wa kimaandiko. Jielimishe kwanza ndio ujenge hoja kwenye issue serious.Hayo ya Henoko yalikuwa mahubiri yasiyo na ushahidi wa kimaandiko
Hata mahubiri ya Yesu sio yote yako kwenye Biblia yalichukuliwa machache tu yakawekwa kwenye Biblia sio yote
Hayo ya Henoko pia hayana ushahidi wa kimaandiko ila ni mahubiri mazuri hayapingani na Original Bible wala kinyume na Mungu
Huyu jamaa, nimempa hilo andiko huko juu kwenye post # 36, akawa anarukaruka tu. Ni mweupe na hajui kitu. Huna haja ya kupoteza muda wako maana anabishana kwa asichokijua.Kitabu cha Yuda KimeQoutes Kitabu cha Henock (Enock)..Ina maana kama Kitabu cha Enock ni kitabu cha Shetani kwanini Yuda Mtakatifu atoe Baadhi ya Mistari kwenye Kitabu cha Shetani na akielezee kama msingi wa imani yake?
.Jude 1:14-15 (KJV):
"And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, "Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints, To execute judgment upon all, and to convince all that are ungodly among them of all their ungodly deeds which they have ungodly committed, and of all their hard speeches which ungodly sinners have spoken against him."
Umeona hiyo Passage Imetolewa kwenye Kitabu cha Enock Thanks kwa yuda kwa Kutaja kabisa maana asingetaja maybe tungesema Vingine
1 Enoch 1:9 (Au simply the Book of Enock 1:9)
"And behold! He cometh with ten thousand of His holy ones to execute judgment upon all, and to destroy all the ungodly: and to convict all flesh of all the works of their ungodliness which they have ungodly committed, and of all the hard things which ungodly sinners have spoken against Him."
Mwanzo 5:24Umekisoma?
Ukisoma Biblia kwny agano la kale wanaeleza habari za Henoko.
Biblia inakiri kwamba hakufa, bali alinyakuliwa, na hii ni baada ya kufanya maajabu hadi Mungu 'akazima fegi'!.
Kwa kifupi ilikuwa ni hivi...
Kwanza, Henoko (Enock) ni kizazi cha 7 toka kwa Adamu lakini Henoko alipokuwa mkubwa alimkuta Adamu akiwa hai.
Siku moja alimuuliza Adamu, ''Babu nasikia zamani ulikuwa unaongea na Mungu moja kwa moja, kwa nini siku hizi hatuongei nae?''
Adamu akamjibu ni kwa sababu tumekuwa na dhambi nyingi. Henoko akasema, ''mimi sina dhambi, na kuanzia leo nitaanza kuongea nae''
Henoko akatenga muda wa kuongea na Mungu kila siku.
Akawa anaenda sehemu, anaanza kuongea na Mungu, kama vile anaongea tu na rafiki yake. Atamueleza matatizo yake, mawazo yake, mambo aliyofanya na atakayofanya, atamuomba ushauri nk nk, yaani anakuwa anaongea peke yake kama anapiga stori na mtu kwa muda mrefu.
Ataongea kisha atasema, ''Haya Mungu kwa heri, kawasalimie huko mbinguni''.
Au ataenda kidogo kisha atasema ''Mungu samahani kuna kitu nimesahau kukwambia''. Atarudi sehemu aliyokuwa, kisha ataongea alichosahau!
Henoko alifanya hivyo kila siku kwa muda mrefu sana bila kuacha.
Hatimae Mungu aliliona hilo tukio, akawaambia Malaika, ''Kuna mtu huko duniani anafanya kituko, akiendelea hivi, nitafanya kitu ambacho sijawahi kufanya''
Henoko alifanya hivyo kila siku, bila kuchoka, kusahau au kuahirisha kwa muda wa miaka 300. (Miaka mia tatu).
Na ulipofika mwaka wa 300, Mungu aliamua kumnyakua.
Jee hii picha ya enoko baka walipiga wapi?Ukisoma kitabu cha Enoko, anasimulia kuanzia mwanzo mpaka mwisho, jinsi alivyotokewa na malaika wawili, na kama ilivyo kwa malaika wote wanapowatokea wanadamu huanza na neno “Usiogope”.
Kwa nini?
Ni kwa sababu malaika ana muonekano wa kutisha, kwa binadamu, huwezi kuwa kawaida tu unapomuona malaika ametokea mbele yako, ndiyo maana husema usiogope.
Aliambiwa Mariamu Magdalena pia.
Enoko alianza kuwaelezea malaika ambao walikwenda chumbani kwake wakati amelala.
Kwanza walikuwa wakubwa, wenye mbawa lakini sura zao zilikuwa na mng’ao mkubwa kama jua lakini macho yao yalikuwa yanawaka kama taa.
Katika maisha yake, anasema hakuwahi kuwaona viumbe wakubwa namna hiyo.
Lipsi zao zilikuwa na moto, mbawa zao zilikuwa na mchanganyiko wa rangi mbili, zambarau na dhahabu inayong’aa kupita kawaida, mikono yao ilikuwa ni meupe kama theluji.
Hebu fikiria unakutana na kiumbe kama hicho, hutoogopa? Ndiyo maana walimwambia kwanza, usiogope.
Anasema malaika hao walisimama pembeni ya kitanda chake na kumuita kwa jina lake, Enoko akainuka na kuwaangalia.
Enoko aliogopa, anasema uso wake ulitetemeka mno lakini malaika mmoja akamwambia: “Usiogope”.
Walimwambia walitumwa na Mungu kumchukua na kumpeleka mbinguni, kwa yote ambayo angekutana nayo huko basi angewaambia watoto wake, wajukuu na vizazi vyote mbeleni.
Anasema hakutaka kuwapinga, akatoka na kwenda kuonana na watoto wake, Mathusal, Regim na Gaidad, akawaambia kuhusu malaika hao na kile walichomwambia, baada ya hapo, wakamchukua na kuanza kupaa naye kwa kumbeba kwenye mbawa zao.
View attachment 3134566
Sasa kama umenielewa fungua code😄Nimekuelewa vizuri sana mtani😁
Umekisoma?
Ukisoma Biblia kwny agano la kale wanaeleza habari za Henoko.
Biblia inakiri kwamba hakufa, bali alinyakuliwa, na hii ni baada ya kufanya maajabu hadi Mungu 'akazima fegi'!.
Kwa kifupi ilikuwa ni hivi...
Kwanza, Henoko (Enock) ni kizazi cha 7 toka kwa Adamu lakini Henoko alipokuwa mkubwa alimkuta Adamu akiwa hai.
Siku moja alimuuliza Adamu, ''Babu nasikia zamani ulikuwa unaongea na Mungu moja kwa moja, kwa nini siku hizi hatuongei nae?''
Adamu akamjibu ni kwa sababu tumekuwa na dhambi nyingi. Henoko akasema, ''mimi sina dhambi, na kuanzia leo nitaanza kuongea nae''
Henoko akatenga muda wa kuongea na Mungu kila siku.
Akawa anaenda sehemu, anaanza kuongea na Mungu, kama vile anaongea tu na rafiki yake. Atamueleza matatizo yake, mawazo yake, mambo aliyofanya na atakayofanya, atamuomba ushauri nk nk, yaani anakuwa anaongea peke yake kama anapiga stori na mtu kwa muda mrefu.
Ataongea kisha atasema, ''Haya Mungu kwa heri, kawasalimie huko mbinguni''.
Au ataenda kidogo kisha atasema ''Mungu samahani kuna kitu nimesahau kukwambia''. Atarudi sehemu aliyokuwa, kisha ataongea alichosahau!
Henoko alifanya hivyo kila siku kwa muda mrefu sana bila kuacha.
Hatimae Mungu aliliona hilo tukio, akawaambia Malaika, ''Kuna mtu huko duniani anafanya kituko, akiendelea hivi, nitafanya kitu ambacho sijawahi kufanya''
Henoko alifanya hivyo kila siku, bila kuchoka, kusahau au kuahirisha kwa muda wa miaka 300. (Miaka mia tatu).
Na ulipofika mwaka wa 300, Mungu aliamua kumnyakua.
Kwa hiyo enock alikuwa mwananamke?Hapo hapo walipokuwa